Maisha ni mafupi sana, ona huu uthibitisho wa picha

Maisha ni mafupi sana, ona huu uthibitisho wa picha

Mkuu maisha ni mafupi sana... Ngoja nikupe kisa kimoja hapa ujue maisha ni mafupi sana....

Mimi nakumbuka enzi nasoma shule karibia Kila likizo nilikua naenda kuwatembelea Babu na bibi yangu kijijini... Ile moment nilikua na-enjoy sana Kwa sababu tulikua tunaishi communally yaani wale agemate wangu pamoja na bibi zao na wengine... Nakumbuka last time nimemaliza form six 2009 pia nikaenda kuwatembelea wazee kule kijijini nilikaa sana mpaka matokeo yakatoka nikaenda chuo mpaka Leo mi ni mtu mzima Niko na maisha yangu..

Sasa mwezi wa 11 mwaka Jana(2023) nimeenda kule kijijini Kwa wazee wangu, nime-note kitu kikubwa kilichonishangaza... Wale wote ambao generation yangu walikua ndo Babu na bibj zetu wote washakufa... Sasa wewe just imagine hiyo 2009 nimemaliza form six Leo 2024 wale wote tuliokuwa tunawa-consider kama Babu na bibi washatangulia mbele za haki...
 
View attachment 3102734

Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka. #Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.
Ukiangalia interval ya muda ni kama miaka 40 na ukiangalia original picture ya mwaka 1958 walikua tayari ni watu wazima wa 30+ hadi 40+ hivyo 40 years later tayari walikua ni wazee, watu wazima sana hivyo ni lazima wangine wawe wametangulia.

Nakubaliana na wewe maisha ni mafupi sana. Miaka michache iliyopita nilikua na mama yangu leo hayupo, miaka kadhaa huko mbele na mimi naweza nisiwepo hapa Duniani. Tuishi leo, tuishi sasa.
 
Mkuu maisha ni mafupi sana... Ngoja nikupe kisa kimoja hapa ujue maisha ni mafupi sana....

Mimi nakumbuka enzi nasoma shule karibia Kila likizo nilikua naenda kuwatembelea Babu na bibi yangu kijijini... Ile moment nilikua na-enjoy sana Kwa sababu tulikua tunaishi communally yaani wale agemate wangu pamoja na bibi zao na wengine... Nakumbuka last time nimemaliza form six 2009 pia nikaenda kuwatembelea wazee kule kijijini nilikaa sana mpaka matokeo yakatoka nikaenda chuo mpaka Leo mi ni mtu mzima Niko na maisha yangu..

Sasa mwezi wa 11 mwaka Jana(2023) nimeenda kule kijijini Kwa wazee wangu, nime-note kitu kikubwa kilichonishangaza... Wale wote ambao generation yangu walikua ndo Babu na bibj zetu wote washakufa... Sasa wewe just imagine hiyo 2009 nimemaliza form six Leo 2024 wale wote tuliokuwa tunawa-consider kama Babu na bibi washatangulia mbele za haki...
Na miaka 30 tu ijayo, wote ambao sasahivi unawaona watu wazima kuanzia viongozi serikalini, watu wazima wote unaowasalimia shkamoo, wajomba, mashangazi, baba wakubwa, wasanii maarufu, nk wote watakua hawapo! Wewe ndio utakua unaitwa babu.
 
Na miaka 30 tu ijayo, wote ambao sasahivi unawaona watu wazima kuanzia viongozi serikalini, watu wazima wote unaowasalimia shkamoo, wajomba, mashangazi, baba wakubwa, wasanii maarufu, nk wote watakua hawapo! Wewe ndio utakua unaitwa babu.
Mkuu umemaliza kila kitu... Inafikirisha sana..
 
View attachment 3102734

Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka. #Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.
Una uhakika hao waliokaa chini mstari wa mbele hio 1996 hakuwepo hata mmoja?
 
Mbona msitari wa mbele wote wamekufwa, kwa nn wao tu
 
Ilikuwaje watoto wadogo wakafariki wote kuliko wazee?labda kama walitekwa kama watch100 anavyowateka na kuwauwa ili asikosolewe.
 
Kwa staili hiyo ikipigwa leo 2024 hakutakuwa na mtu hata hilo jengo kuna uwezekano nalo halipo
 
Na mwanadam alivyokuwa jeuri
Anguished milele dunia kungewa na tabu mara milion za tabu zilizokuwepo sahv
Kuna watu sahvi tu wanaishi wanajiona mounfu watu ndomana wakikaribia kukata roho
Huwa wana weweseka sana

Ova
Imagine leo hii wale wababe tunaowasoma kwenye biblia like Goliath na wengine wangekua bado wako hai dunia ingekuaje?
 
Back
Top Bottom