Duniatunapita man
Senior Member
- May 5, 2024
- 181
- 252
Ni sahihi,. Na hapo kama mwenyezimungu atatupa umri,. Vinginevyo tunaondoka na ujana hivihivi. Wangapi wameondoka wakiwa watoto au vijana? Wanaofikia uzee ni wachache sanaNa miaka 30 tu ijayo, wote ambao sasahivi unawaona watu wazima kuanzia viongozi serikalini, watu wazima wote unaowasalimia shkamoo, wajomba, mashangazi, baba wakubwa, wasanii maarufu, nk wote watakua hawapo! Wewe ndio utakua unaitwa babu.
MshikemshikeImagine leo hii wale wababe tunaowasoma kwenye biblia like Goliath na wengine wangekua bado wako hai dunia ingekuaje?
We acha tuu mkuu,juzi niliugua nikajua Sasa huku ndio kukata moto!Hela niliificha Sehemu mwenyewe niliionyesha ili waniwahishe hospital,kwa kweli Namshuru sana Mungu.View attachment 3102734
Picha ya kwanzailipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka.#Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.
Swali zuriWalikufa kwa ajali au? Hao watoto je!?
Ama HakikaView attachment 3102734
Picha ya kwanzailipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka.#Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.
Cha muhimu hapa tuchukue TU ujumbe kuwa kifo kinatusubiri sote. Japo picha imewaondoa waliokuwa watoto na kuwaacha watu wazima kwahyo haimek sense.Wengine labda wapo mashariki ya mbali, ila hao wakubwa wengi washakufa maana miaka iyo app wengi walikuwa 30 na 20z
Nani huyo?Hao madogo wa chini walikuwa nobody na picha ya pili wamewakata tu, na Kuna wengine madirishani wamekatwa tu na dirisha limefungwa, hapa targeted ni somebody
Ni 40 toa mbili =38 ni umri wa kuwa na mjukuu kama via vya uzazi vina afya.58-96 Ni pafupi kweli?
View attachment 3102734
Picha ya kwanzailipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka.#Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.
π€£π π π πBila shaka hili ni tangazo la ponda mali kufa kwa njaa
Me nitakuwa na 74 aisee naweza kuwepo inshaallah...ila nitakuwa yatima.Pamoja na factors mbalimbali hata ujitunze kiasi gani, wengi humu hatutakwepo Mwaka 2070
Let's enjoy life as we perish π₯
Mungu akusaidieMe nitakuwa na 74 aisee naweza kuwepo inshaallah...ila nitakuwa yatima.
Rejuvenation process ndio imesababisha awe hivyombona huyo mtu aliyekaa hapo chini mbele, yule wa mwaka 1958 ni mzee kuliko huyu wa 1996
Wewe wasemaAma Hakika
NdioUna uhakika hao waliokaa chini mstari wa mbele hio 1996 hakuwepo hata mmoja?
Buriani. Mungu aendelee kumpumzisha kwa amaniMiaka michache iliyopita nilikua na mama yangu leo hayupo