Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Le Mutuz ni chawa tu hana hata umilionea sembuse ubilioneaView attachment 2265791
Hapa Lemutuz (wa pili kushoto) akiwa na rafiki yake mkubwa (wa kwanza) wakiwa bado vijana wadogo kabisa wakiwa wanaanza maisha miaka ya 80 na wakiwa hawana ukwasi mwingi kivile.
View attachment 2265792
Miaka kadhaa mbele vijana hao hao wawili wote wamekuwa wafanyabiashara wakubwa na mabilionea huku wakiwa na majina makubwa hapa mjini.
Lemutuz ni bilionea mkubwa aliyewekeza kwenye mitandao ya kijamii na vyombo kadhaa vya habari huku mwenzie akiwa yuko Upande wa manufacturing na michezo.
Kesho pia tutawaletea walipotoka mzee Bakhresa na Lembabaz
Anakula nayo middle mpaka kesho, unapiga muziki hatari utadhani gari ya matangazo ya Twanga Pepeta maana anapenda mabolingo kinyama.🤣Nimecheka,hivi hiyo Noah Bado anaipost ?
🤣Hahahaha, alikuaga anaiita le super noah'z ,ila yule Mzee Ni burudani aiseAnakula nayo middle mpaka kesho, unapiga muziki hatari utadhani gari ya matangazo ya Twanga Pepeta maana anapenda mabolingo kinyama.
[emoji28] [emoji28]Kuongezea nyama tu, aliwekeza kwenye soft porn pia, pale alipotoa exclusive video yake ya utupu japo haikupata reception aliyodhamiria sababu maungo yake ya siri si rafiki sana kimtazamo wa size.
All in all, Le Mutuz ni akili kubwa anaemiliki penthouse downtown kwenye nyumba za msajili pamoja na Limited Edition Special version Toyota Noah, ambayo ni vintage ya mwaka 1997 iliyotengenezwa moja tu kwa ajili yake.
Kitu hujajua hakuna u serious kwenye huu Uzi,mleta mada anapenda kumtania Le mutuz humu JF na sisi tunapenda kusoma utani huoLemutuz bilionea kwa kumiliki blogu?
Mtu analelewa na baba yake leo unamuita bilionea seriously?
Hata kama ndio uhuru wa kutoa maoni,tafadhali acheni kusifia mambo ya kikoromije!!
Wazee wa Ukwasi wa baba, ila ndo ivo pesa ni pesa tu, ukishakua nazo unazo.View attachment 2265791
Hapa Lemutuz (wa pili kushoto) akiwa na rafiki yake mkubwa (wa kwanza) wakiwa bado vijana wadogo kabisa wakiwa wanaanza maisha miaka ya 80 na wakiwa hawana ukwasi mwingi kivile.
View attachment 2265792
Miaka kadhaa mbele vijana hao hao wawili wote wamekuwa wafanyabiashara wakubwa na mabilionea huku wakiwa na majina makubwa hapa mjini.
Lemutuz ni bilionea mkubwa aliyewekeza kwenye mitandao ya kijamii na vyombo kadhaa vya habari huku mwenzie akiwa yuko Upande wa manufacturing na michezo.
Kesho pia tutawaletea walipotoka mzee Bakhresa na Lembabaz
Baada ya kifo cha Mengi na Mufuruki anashika namba 3Lemutuz ni bilionea namba ngapi hapa bongo?
Kweri kweri kweri kweri kweriLemutuz ni bilionea mkubwa aliyewekeza kwenye mitandao ya kijamii na vyombo kadhaa vya habari huku mwenzie akiwa yuko Upande wa manufacturing na michezo.
Kesho pia tutawaletea walipotoka
🤣🤣🤣Le mutuz nae ni billionaire? 😂😂😂
Baada ya dada yake MWELE kutangulia mbele ya haki naona le mbebez hana kipingamizi kwenye urithi wa mzee samwel
Anasubir urithi tu labda mama ANNE KILANGO amuwekee kauzibe
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app