Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Now I'm doing 50+
Leo nimesoma Bible nikaona umri wa binadamu kuishi ni miaka 70
Nimegundua I have only 20 yrs kuwepo hapa Jamvini na duniani.
Nilichoamua kufanya nimeona nianze Kuwa Karibu na jamii na kuangalia namna ya kuacha legacy yoyote ile.
Leo nimesoma Bible nikaona umri wa binadamu kuishi ni miaka 70
Nimegundua I have only 20 yrs kuwepo hapa Jamvini na duniani.
Nilichoamua kufanya nimeona nianze Kuwa Karibu na jamii na kuangalia namna ya kuacha legacy yoyote ile.