Maisha ni yako, usikubali kutolewa mchezoni

Maisha ni yako, usikubali kutolewa mchezoni

Dr hyperkid vipi tuzungumzie kuhusu ujasusi was kwenye dawa??
šŸ‘‰Mna walinda vipi wananchi, dhidi ya kusingiziwa dawa feki??
šŸ‘‰Mna jua kuna umafia wa nchi za kiafrika, kufanyiwa majaribio ya dawa fulanišŸ¤”
 
Dah mzee it seems, we SI level yangu katika ufikiriaji(uko nyuma Sana).
šŸ‘‰ Teknolojia Ina kuwa kwa Kasi Sana, vijana wata jiajiri vipi au kutafuta maarifa ikiwa internet iko juu??.
šŸ‘‰Vijana Wana miliki channel za online, ila ndo hivyo nako mmepiga Pini aiseešŸ¤”.
šŸ‘‰Gb moja una nunua kwa 2500, halafu still Kuna maeneo internet haina Kasi?
šŸ‘‰Mme shindwa kuifanya ttcl I we competitive, ikiwa Ina minara kabisašŸ¤”
wewe nimekuliza una TIN ukajibu ndio sasa unanunua vipi GB kwa 2500 wewe kichwa yako imelala.. alafu namna hii hutaweza kuishi na wazee nama hutaki kuliza wewe unashikilia gb2500 wakati wenzako wamewekwa kwenye mfumo wana chanja mbuga kwa 30k kwa mwezi gb sijui 30+..na wanafanya miamala ya simu kwa lipa namba kwa makato sawa nabure kabisa..hapo sijazungumzia habari ya Building a Better Tomorrow-YOUTH INITIATIVE FORAGRIBUSINESS (BBT-YIA) huko vijana ndio wanagaragara kwenye pesa sasa
 
wewe nimekuliza una TIN ukajibu ndio sasa unanunua vipi GB kwa 2500 wewe kichwa yako imelala.. alafu namna hii hutaweza kuishi na wazee nama hutaki kuliza wewe unashikilia gb2500 wakati wenzako wamewekwa kwenye mfumo wana chanja mbuga kwa 30k kwa mwezi gb sijui 30+..na wanafanya miamala ya simu kwa lipa namba kwa makato sawa nabure kabisa..hapo sijazungumzia habari ya Building a Better Tomorrow-YOUTH INITIATIVE FORAGRIBUSINESS (BBT-YIA) huko vijana ndio wanagaragara kwenye pesa sasa
30 k kwa gb 30, mtandao upi huošŸ¤”.
šŸ‘‰Let's talk with evidence, sio porojo
 
Back
Top Bottom