Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #201
Mambo single mwenzagu 😀🤣🤣🤣
Abee umeniita?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo single mwenzagu 😀🤣🤣🤣
Abee umeniita?
Niko gud gud, SI unajua tena 😀Poa mzima wew
Hilo ndo la muhimu mpendwa 🙏.Mi fresh...uhai tu🙏
Ndiyo ivo mkuuHilo ndo la muhimu mpendwa 🙏.
Weee si umeona comment ya Half american?Mambo single mwenzagu 😀
Sawa coach🤗Ndiyo ivo mkuu
Kumbe we ni msaliti😀, uta pigwa radi uanguke mbele ya kanisa😀🤣Weee si umeona comment ya Half american?
Nadhani soon nitakuacha mwenyewe kwenye hiko chama🤣
Usingle unazeesha bana, me nataka kunawiriKumbe we ni msaliti😀, uta pigwa radi uanguke mbele ya kanisa😀🤣
Yes nimekukumbuka, wazungu wanasemaga i miss you🤣🤣🤣
Abee umeniita?
Muache ataabike na mapengo yake 😂Weee si umeona comment ya Half american?
Nadhani soon nitakuacha mwenyewe kwenye hiko chama🤣
PoaNiko gud gud, SI unajua tena 😀
Uki uliza chini chini, Uta sikia ni Cha mtoto wa balozi fulani🤔.juzi tuh hapa tumetoka Tanzania tumezindua Kiwanda Kikubwa cha Vioo Afrika Mashariki na Kati
Missing you more mmarekani nusu 🤗Yes nimekukumbuka, wazungu wanasemaga i miss you
Okoa pesa zako, epuka stress Ali sikika mwenyekiti wa chama Cha mkono bao dronedrake 😀🤣Usingle unazeesha bana, me nataka kunawiri
Intelligent businessman soma hiyooo🤣Muache ataabike na mapengo yake 😂
Hakuna Cha mmarekani hapo, huyo ni nusu albino namjua😀🤣🤣Missing you more mmarekani nusu 🤗
Weekend unaimalizia wapi
Kanuni za kujifariji tu hizo 😂Okoa pesa zako, epuka stress Ali sikika mwenyekiti wa chama Cha mkono bao dronedrake 😀🤣
shida kubwa vijana wa kitanzania bongo zimelala... nikulize swali una TIN nambaUki uliza chini chini, Uta sikia ni Cha mtoto wa balozi fulani🤔.
👉Pesa Wana chuma, Kisha Wana fuja😪.
👉Shida ya umeme Ina sababisha na nini??
👉Gharama za internet nazo jau tu