Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Weee sema kweli? Nisije kuingia cha kike jamani nitalia🤣🤣Hakuna Cha mmarekani hapo, huyo ni nusu albino namjua😀🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee sema kweli? Nisije kuingia cha kike jamani nitalia🤣🤣Hakuna Cha mmarekani hapo, huyo ni nusu albino namjua😀🤣🤣
Ninayo, Hadi leseni ya biashara.shida kubwa vijana wa kitanzania bongo zimelala... nikulize swali una TIN namba
Huyu hapa 🤣😀, nusu albino Half americanWeee sema kweli? Nisije kuingia cha kike jamani nitalia🤣🤣
Nili kukumbuka🤗
Wikiend naimalizia maeneo fulani iv nangojea my wetu aje nimgonge nikalaleMissing you more mmarekani nusu 🤗
Weekend unaimalizia wapi
Dah kweli we msaliti 😀🤣Kanuni za kujifariji tu hizo 😂
Aah sio kweliiii😂
Sio ukalale naeWikiend naimalizia maeneo fulani iv nangojea my wetu aje nimgonge nikalale
Aje abishe nimu umbue😀🤣🤣Aah sio kweliiii😂
Half american eti hii ni kweli?Aje abishe nimu umbue😀🤣🤣
sasa internet kwa nini iwe kikwazo kwako wakati serikali imeweka mfumo mzuri kwa wafanyabiashara kufanya miamala kwa lipa namba na huduma za internet kwa kiwango kidogo ili kuinua sekta ya bishara ikiwa ni pamoja na huduma za kupiga simu kwa bei ndogo kabisaNinayo, Hadi leseni ya biashara.
👉Nime Sajili Hadi jina la biashara na kampuni brela.
Uyo ni nusu albino, wa kwenda🤣😀Half american eti hii ni kweli?
Niuongo usikazie🤣Half american eti hii ni kweli?
😎 hapanaSio ukalale nae
Nipo rafikiyangu mambo yalikuwa mengi kidogoNili kukumbuka🤗
Dah mzee it seems, we SI level yangu katika ufikiriaji(uko nyuma Sana).sasa internet kwa nini iwe kikwazo kwako wakati serikali imeweka mfumo mzuri kwa wafanyabiashara kufanya miamala kwa lipa namba na huduma za internet kwa kiwango kidogo ili kuinua sekta ya bishara ikiwa ni pamoja na huduma za kupiga simu kwa bei ndogo kabisa
Au ndo uli kuwa honey moon 😀Nipo rafikiyangu mambo yalikuwa mengi kidogo
Hapana bhana😀Au ndo uli kuwa honey moon 😀
Ataenda kulala kwa wengine ohoo😎 hapana