Maisha ni yako, usikubali kutolewa mchezoni

Dr hyperkid vipi tuzungumzie kuhusu ujasusi was kwenye dawa??
👉Mna walinda vipi wananchi, dhidi ya kusingiziwa dawa feki??
👉Mna jua kuna umafia wa nchi za kiafrika, kufanyiwa majaribio ya dawa fulani🤔
 
wewe nimekuliza una TIN ukajibu ndio sasa unanunua vipi GB kwa 2500 wewe kichwa yako imelala.. alafu namna hii hutaweza kuishi na wazee nama hutaki kuliza wewe unashikilia gb2500 wakati wenzako wamewekwa kwenye mfumo wana chanja mbuga kwa 30k kwa mwezi gb sijui 30+..na wanafanya miamala ya simu kwa lipa namba kwa makato sawa nabure kabisa..hapo sijazungumzia habari ya Building a Better Tomorrow-YOUTH INITIATIVE FORAGRIBUSINESS (BBT-YIA) huko vijana ndio wanagaragara kwenye pesa sasa
 
30 k kwa gb 30, mtandao upi huo🤔.
👉Let's talk with evidence, sio porojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…