Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #361
Dah nasikia Maumivu mpaka kwenye unyayo😀🤣😂, huna huruma kwangu🤣Msaliti kwa lipi😁😁,Jamaa alinipenda kweli sema maneno ya waja akanipiga kibuti🐒🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah nasikia Maumivu mpaka kwenye unyayo😀🤣😂, huna huruma kwangu🤣Msaliti kwa lipi😁😁,Jamaa alinipenda kweli sema maneno ya waja akanipiga kibuti🐒🐒
Fanya kurudia majibu mwakani mwezi wa 12Aisee kweli ma jobless hatu aminiki🤣😀, oya crown au premio kwa 8 sipati mjuba🤔.
👉Mwakani mwezi wa 12 niji lipue 😂
Kwani we una huruma kwangu🤨Dah nasikia Maumivu mpaka kwenye unyayo😀🤣😂, huna huruma kwangu🤣
Let's keep grinding and aiming high,hakika sana hii ndio yenyewe.
Tuombeane kheri mkuu🙏🙏🙏, ameen nusu albino😀🙏Fanya kurudia majibu mwakani mwezi wa 12
Watu hawana habarI na sisi tukiwa Masikini, ila ukitoboa kila mtu ata taka kukuzungumzia🤔Nakumbuka kipindi naanza kujitegemea kwenye biashara, nimepitia changamoto nyingi kidogo. Kuna watu hawakuamini kama mimi kwa umri wangu mdogo naweza kufikia malengo yale.
Maswali na wivu usiokuwa na maana yalitawala kwenye vichwa vya vijana wengi.
Mti wenye matunda hupigwa mawe, tusi Kate tamaa ndugu.Nakumbuka kipindi naanza kujitegemea kwenye biashara, nimepitia changamoto nyingi kidogo. Kuna watu hawakuamini kama mimi kwa umri wangu mdogo naweza kufikia malengo yale.
Maswali na wivu usiokuwa na maana yalitawala kwenye vichwa vya vijana wengi.
Ehhh kabisa, au una jifanya hujui😀Kwani we una huruma kwangu🤨
Usingemaliza hivi Uzi ungekua batili👉 I MEAN NO MALICE TO NOBODY
Let's keep grinding and aiming highSalute sana Mkuu.
Forever I will be Mr no malice to nobody.Usingemaliza hivi Uzi ungekua batili
Asante kwa kutambua hiloAsante kwa ushauri mzuri
InterestingForever I will be Mr no malice to nobody.
Sema kumbe huo msemo Ume kuwa mkubwa jf🤣😂Interesting
Sema kumbe huo msemo Ume kuwa mkubwa jf🤣😂Interesting
Hio ndo icon yako kwa sasaSema kumbe huo msemo Ume kuwa mkubwa jf🤣😂