DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Hio ndo icon yako kwa sasaSema kumbe huo msemo Ume kuwa mkubwa jf🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio ndo icon yako kwa sasaSema kumbe huo msemo Ume kuwa mkubwa jf🤣😂
Avoiding all distraction 💪🙏Maisha ni kuhakikisha una fikia malengo yake. Ni kuhakikisha unaepuka forces zinazoweza kudistact usifike ulipokusudia.
Yeah Kuna member Sina interaction nao, ila una shangaa we Mr no malice to nobody 💪😀.Hio ndo icon yako kwa sasa
InshallahTuombeane kheri mkuu🙏🙏🙏, ameen nusu albino😀🙏
Tuzidi kuzingatia yaliyo muhimu kwetu sote 🙏.Yeah kuna kitu kama hicho
Mkuu SI unajua mi nilisoma chini ya mbutu, na hiyo lugha ya maliia kwangu ni sumu😀.There is nothing of value that pierces the monotony of life:the eye is not satisfied by seeing or the ear by hearing.🤔
Mmh nimesikia mkiwa wawili na best yako huko pm unanisagia kunguni😁Ehhh kabisa, au una jifanya hujui😀
Dah mhh tukuzungumzie kisa nini 🤔😀Mmh nimesikia mkiwa wawili na best yako huko pm unanisagia kunguni😁
Kwamba nina sura ngumu kuliko maisha yangu,tena nina ufupi kama mbilimbi bila kusahau ni single mamaziii🤨🐒🐒Dah mhh tukuzungumzie kisa nini 🤔😀
Kwani kuwa single mama ni dhambi??Kwamba nina sura ngumu kuliko maisha yangu,tena nina ufupi kama mbilimbi bila kusahau ni single mamaziii🤨🐒🐒
Halafu ukifika jukwaani eti crush wangu ya kwiiooo🐒🐒Kwani kuwa single mama ni dhambi??
👉Sura ni sura bhana, sinaga muda wa kumjadili mtu
Huyu kaka huwa namfatilia sana,Ana chakula cha ubongo.
Acha kunisingizia, kana Yule jamaa aliye sema namtaka gf wake😂😀Halafu ukifika jukwaani eti crush wangu ya kwiiooo🐒🐒