Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Habari za jioni wakubwa zangu?
Mimi nimiongoni mwa watu wanao amini kwamba dunia haikutokea yenyewe" Nina kataa.
.Isipo kuwa Nina amini Kuna Kiumbe/viumbe/mungu/miungu wenye hakili kuliko sisi walio iumba dunia yetu nzuli
Kwani ingetosha dunia kutokea ikiwa na jua tu lakini kwanini ikatokea na mwezi na faida za mwezi Zina onekana?
Ingetosha dunia kutokea/kuonekana au kuwa na umbo la pembe nne lakini kwanini mvilingo nafaida zake Zina onekana?
Inge tosha dunia kuwa na vumbi tu lakini kwanini majani,maji,mvua,kiangazi,masika,vuri,mito,maziwa na bahari na faida zake Zina onekana???
Nilazima Kuna mjenzi mkuu mjenzi mwenye hakili,mjenzi mbunifu,mjenzi mwenye busara aliye yafanya yote hayo. Haiingii hakilini kwamba yalitokea yenyewe
Hivyo Maswali hayo na mengine yanayo fanana na hayo majibu yake yana niambia
yupo mwenye dunia yake aliye iumba dunia yetu tunayo iishi/mungu
huyu ndiye mmiliki wavitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana tukiwemo sisi wenyewe Wana wa adamu
hivyo Basi dunia niyetu sote tumepewa na muumbaji wa vyote
ndugu zangu maisha sio magumu isipokuwa Kuna watu wachache wanao yafanya maisha yetu kuwa magumu
na wamejipanga miaka na miaka kuhakikisha dunia haiji kulipinga hilo na naomba uelewe kwamba
Visu,mapanga,mabomu,risasi,kamikaze drones, mpaka nucrea weapons,jera,police stations,
Hivi vyote nikuku tishia wewe uogope na kuitii mifumo yao inayo kukandamiza wewe Kama vile
Nilazima ukubali kununua alidhi uliyo pewa bule na muumba wako
kwa kipande Cha karatasi/pesa kilicho letwa na kuku baliwa na wao wachache Hawa
Nilazima ukubali kununua maji uliyo pewa na mungu wako bule kwa kipande Cha kalatasi/pesa kilicho tengenezwa na wao
Usisahau kina tengenezwa na wao zingatia hili kipande hicho Cha karatasi/pesa. kina tengenezwa na wao
Hivyo Wana machines za kuki tengeneza kitu ambacho wewe unakitafuta kwa njia yoyoye
Njia yoyote nipamoja na kuiba,kutapeli,kudhulumu,kuuwa kukaba,kusaliti n.k
hivyo wao wata tengeneza hizo karatasi kwa wingi na kuzitumia kidogo kidogo kutu tumikisha na kununua alidhi yote ya dunia
Wakati huo wewe ambaye hutengenezi hizo karatasi/pesa uta hangaika miaka mingi
kuzipata karatasi hizo kutokea kwao hao wanao zitengeneza kwa ajili ya kununulia alidhi kwa ajiri ya kilimo,ujenzi,mifugo,nk
nahapo ndipo chanzo Cha umasikini na utarijiri kilipo anzia hapo hapo ndipo chanzo Cha watu kulala nje kilipo anzia
na ndio chanzo Cha humans classification zilipo anzia unakuta Kuna matajiri,masikini,omba omba,mafukara,makapuku,mpaka kajamba Nani ndipo walipo zaliwa
Tulipaswa kuishi popote bila passports
Tulipaswa kutembelea popote bila passports
Tulipaswa kulima popote bila kununua
Tulipaswa kujenga popote bila kunua Wala kulipia
Tulipaswa kufuga samaki kuku ng'ombe"mbuzi bila kulipishwa
Lakini Hawa watu tayali karatasi zao/pesa zao zimekublika na sisi wenyewe
Wametuwekea police na mahakama na jera zao kusudi tukizikataa karatasi zao watukamate watuhukumu Kisha watufunge
Wametuwekea Sheria zao zinazo watetea wenye uafadhari au walioko karibu na watengeza karatasi/pesa zinazo tawala ulimwengu
lakini Zina tukanda miza sisi tunao zitafuta Kila siku kwa namna yoyote na katika namna yoyote hiyohiyo wame tuwekea sheria za kuhakikisha namna yoyote hiyo haifanyi kazi
Na iwapo uta lazimisha kuzitumia hiyo namna yoyote Basi jiandae kuitwa majina yafwatayo..
Malaya,kibaka,mwizi,jambazi,muasi na hatimaye gaidi
majina yote hayo utaitwa baada tu ya kuanza kuitambua haki yako uliyo pewa bule na muumba wako
Labda niseme kwamba
maisha Ni rahisi bila pesa Wala serikali
maisha niragisi bila technology Wala elimu
Maisha Ni rahisi tukiishi kiasiri
Fikilia tu kwa mfano..
mto unatoa maji bule mtu mmoja mwenye pesa zake anakuja anatega water pump na pipes tu
Kisha ana unganisha maji toka mtoni /chanzo Cha maji mpaka dsm mjini kwa kutumia umeme wa 50tsh kwa lita
Cha ajabu anamlipisha mtumiaji wa maji hayo 500 kwa lita moja kitu ambacho mungu amekitoa bule
Hivyo maisha sio magumu Isipo kuwa mifumo Inafanya maisha kuwa magumu
Mimi nimiongoni mwa watu wanao amini kwamba dunia haikutokea yenyewe" Nina kataa.
.Isipo kuwa Nina amini Kuna Kiumbe/viumbe/mungu/miungu wenye hakili kuliko sisi walio iumba dunia yetu nzuli
Kwani ingetosha dunia kutokea ikiwa na jua tu lakini kwanini ikatokea na mwezi na faida za mwezi Zina onekana?
Ingetosha dunia kutokea/kuonekana au kuwa na umbo la pembe nne lakini kwanini mvilingo nafaida zake Zina onekana?
Inge tosha dunia kuwa na vumbi tu lakini kwanini majani,maji,mvua,kiangazi,masika,vuri,mito,maziwa na bahari na faida zake Zina onekana???
Nilazima Kuna mjenzi mkuu mjenzi mwenye hakili,mjenzi mbunifu,mjenzi mwenye busara aliye yafanya yote hayo. Haiingii hakilini kwamba yalitokea yenyewe
Hivyo Maswali hayo na mengine yanayo fanana na hayo majibu yake yana niambia
yupo mwenye dunia yake aliye iumba dunia yetu tunayo iishi/mungu
huyu ndiye mmiliki wavitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana tukiwemo sisi wenyewe Wana wa adamu
hivyo Basi dunia niyetu sote tumepewa na muumbaji wa vyote
ndugu zangu maisha sio magumu isipokuwa Kuna watu wachache wanao yafanya maisha yetu kuwa magumu
na wamejipanga miaka na miaka kuhakikisha dunia haiji kulipinga hilo na naomba uelewe kwamba
Visu,mapanga,mabomu,risasi,kamikaze drones, mpaka nucrea weapons,jera,police stations,
Hivi vyote nikuku tishia wewe uogope na kuitii mifumo yao inayo kukandamiza wewe Kama vile
Nilazima ukubali kununua alidhi uliyo pewa bule na muumba wako
kwa kipande Cha karatasi/pesa kilicho letwa na kuku baliwa na wao wachache Hawa
Nilazima ukubali kununua maji uliyo pewa na mungu wako bule kwa kipande Cha kalatasi/pesa kilicho tengenezwa na wao
Usisahau kina tengenezwa na wao zingatia hili kipande hicho Cha karatasi/pesa. kina tengenezwa na wao
Hivyo Wana machines za kuki tengeneza kitu ambacho wewe unakitafuta kwa njia yoyoye
Njia yoyote nipamoja na kuiba,kutapeli,kudhulumu,kuuwa kukaba,kusaliti n.k
hivyo wao wata tengeneza hizo karatasi kwa wingi na kuzitumia kidogo kidogo kutu tumikisha na kununua alidhi yote ya dunia
Wakati huo wewe ambaye hutengenezi hizo karatasi/pesa uta hangaika miaka mingi
kuzipata karatasi hizo kutokea kwao hao wanao zitengeneza kwa ajili ya kununulia alidhi kwa ajiri ya kilimo,ujenzi,mifugo,nk
nahapo ndipo chanzo Cha umasikini na utarijiri kilipo anzia hapo hapo ndipo chanzo Cha watu kulala nje kilipo anzia
na ndio chanzo Cha humans classification zilipo anzia unakuta Kuna matajiri,masikini,omba omba,mafukara,makapuku,mpaka kajamba Nani ndipo walipo zaliwa
Tulipaswa kuishi popote bila passports
Tulipaswa kutembelea popote bila passports
Tulipaswa kulima popote bila kununua
Tulipaswa kujenga popote bila kunua Wala kulipia
Tulipaswa kufuga samaki kuku ng'ombe"mbuzi bila kulipishwa
Lakini Hawa watu tayali karatasi zao/pesa zao zimekublika na sisi wenyewe
Wametuwekea police na mahakama na jera zao kusudi tukizikataa karatasi zao watukamate watuhukumu Kisha watufunge
Wametuwekea Sheria zao zinazo watetea wenye uafadhari au walioko karibu na watengeza karatasi/pesa zinazo tawala ulimwengu
lakini Zina tukanda miza sisi tunao zitafuta Kila siku kwa namna yoyote na katika namna yoyote hiyohiyo wame tuwekea sheria za kuhakikisha namna yoyote hiyo haifanyi kazi
Na iwapo uta lazimisha kuzitumia hiyo namna yoyote Basi jiandae kuitwa majina yafwatayo..
Malaya,kibaka,mwizi,jambazi,muasi na hatimaye gaidi
majina yote hayo utaitwa baada tu ya kuanza kuitambua haki yako uliyo pewa bule na muumba wako
Labda niseme kwamba
maisha Ni rahisi bila pesa Wala serikali
maisha niragisi bila technology Wala elimu
Maisha Ni rahisi tukiishi kiasiri
Fikilia tu kwa mfano..
mto unatoa maji bule mtu mmoja mwenye pesa zake anakuja anatega water pump na pipes tu
Kisha ana unganisha maji toka mtoni /chanzo Cha maji mpaka dsm mjini kwa kutumia umeme wa 50tsh kwa lita
Cha ajabu anamlipisha mtumiaji wa maji hayo 500 kwa lita moja kitu ambacho mungu amekitoa bule
Hivyo maisha sio magumu Isipo kuwa mifumo Inafanya maisha kuwa magumu