Maisha sio magumu tumechezewa akili tu

Maisha sio magumu tumechezewa akili tu

Hakuna cha bure duniani. Hata porini kwenye vya bure kwamba maji utayakuta mtoni ila gharama yake ni kupigana na mamba.

Unapozaliwa na kuikuta jamii yako ipo kuna nyumba za kuishi, hukimbizani na fisi wako huko porini, kuna hospitali na mashule havijaja tu, kuna watu wamefanya kazi kubwa vikawepo hapo huwezi pewa tu bure. Wewe umeleta nini?
Mtoa mada anamaanisha kugombana na Simba na machui hili kumpata Swala kwake ndio masiaha rahisi, yaani aamke asubui akawainde swala porini huku na yeye akiwindwa na chatu na Simba ndio urahisi wa maisha.
 
Mtoa mada anamaanisha kugombana na Simba na machui hili kumpata Swala kwake ndio masiaha rahisi, yaani aamke asubui akawainde swala porini huku na yeye akiwindwa na chatu na Simba ndio urahisi wa maisha.
Hahaha
 
Inasikitisha, watu wengi wasomi kwa mbumbumbu hawajui kuandika Kiswahili sanifu
Hata mzungu msomi na mbumbumbu hajui kuandika na sio kuandika tu Bali hata kutamka kiingereza sanifu

Na nime shuhudia wanafunzi wengi wa swahili wakishindwa vibaya kwenye mtihani wa kiswahili na kufanya vizuri kwenye mitihani ya kiingereza

Sjui kwanini mkuu unaweza kuni toa tongo tongo katika hili?
 
Mtoa mada anamaanisha kugombana na Simba na machui hili kumpata Swala kwake ndio masiaha rahisi, yaani aamke asubui akawainde swala porini huku na yeye akiwindwa na chatu na Simba ndio urahisi wa maisha.
Unahitaji hakiri na utulivu kidogo kunielewa

Ninacho kizungumzia hapa nikwamba kwamfano

Unanunua/kuagiza gari Japan kwa 28mil Kisha gari hiyo inafika tz unaenda kuichukua pale bandarini wana kuambia bwana Ina takiwa utoe pesa ya ziada ya kodi 29mil jumla wakati huo huo gari ume inunua kwa 28mil

Sasa nikuulize ndugu yangu wewe unadhani tatizo hapo litakuwa niwewe mnunuzi?wa
uzaji?au serikali yako?

Je! unafikiri/unadhani nisahihi Hari kuwa hivyo?

Na unafikiri chanzo Cha hayo yote nikipi?
 
Nilazima ukubali kununua maji uliyo pewa na mungu wako bule kwa kipande Cha kalatasi/pesa kilicho tengenezwa na wao
Hayo maji uliyopewa na Muumba mbona hayako kila mahali?

Mbona hakuna Mto Mkubwa na visima vya kumwaga maji Jijini Dar?

Sasa mtu akiyayoa Pwani huko Ruvu akuletee wewe na Mkeo mmelala hapo Manzese upewe bure?
 
Kitendo cha kuniambia "ludia kusoma" badala ya rudia kusoma tayari umenikimbiza�
Hayo maji uliyopewa na Muumba mbona hayako kila mahali?

Mbona hakuna Mto Mkubwa na visima vya kumwaga maji Jijini Dar?

Sasa mtu akiyayoa Pwani huko Ruvu akuletee wewe na Mkeo mmelala hapo Manzese upewe bure?
Uwezo wake wa kifikiri una matatizo kihas
Sizungumzii kuhusu bule na zungu mzia kuhusu ki hasi Kama ulivyo andika
 
Kitendo cha kuniambia "ludia kusoma" badala ya rudia kusoma tayari umenikimbiza�
Hayo maji uliyopewa na Muumba mbona hayako kila mahali?

Mbona hakuna Mto Mkubwa na visima vya kumwaga maji Jijini Dar?

Sasa mtu akiyayoa Pwani huko Ruvu akuletee wewe na Mkeo mmelala hapo Manzese upewe bure?
Uwezo wake wa kifikiri una matatizo kihas
Sizungumzii kuhusu bule na zungu mzia kuhusu ki hasi Kama ulivyo andika
 
Unahitaji hakiri na utulivu kidogo kunielewa

Ninacho kizungumzia hapa nikwamba kwamfano

Unanunua/kuagiza gari Japan kwa 28mil Kisha gari hiyo inafika tz unaenda kuichukua pale bandarini wana kuambia bwana Ina takiwa utoe pesa ya ziada ya kodi 29mil jumla wakati huo huo gari ume inunua kwa 28mil

Sasa nikuulize ndugu yangu wewe unadhani tatizo hapo litakuwa niwewe mnunuzi?wa
uzaji?au serikali yako?

Je! unafikiri/unadhani nisahihi Hari kuwa hivyo?

Na unafikiri chanzo Cha hayo yote nikipi?
Kutoka kwako mpaka hapo bandari ulitumia usafiri gani na huo usafiri ulipopita ulijenga wewe.
 
Kutoka kwako mpaka hapo bandari ulitumia usafiri gani na huo usafiri ulipopita ulijenga wewe.
Bahari ilijengwa na Bibi yako?

Nahuyo aliye pita juu ya bahari hiyo na Meri yake akaleta mzigo bandarini amelipia kwa Nan?

Je huyo aliye lipwa ndiye chanzo Cha bahari/muumba/mjenzi wa bahari?

Kama siye kwanini alipwe?

Na Kama Kuna sababu yoyote ile kwanini atoze kiasi kiubwa hivyo Ana pungukiwa na nini?
 
Back
Top Bottom