Maisha sio magumu tumechezewa akili tu

Maisha sio magumu tumechezewa akili tu

Dunia siyo ya kwetu wote. As a matter of fact, Dunia haina mwenyewe. Ukiangalia na kugundua ukubwa wa solar system, ukubwa wa Galaxy na ukubwa wa Universe nzima inayopanuka per second as I wrote this. Basi utagundua uwezekano wa maisha duniani kwa asilimia 100% unaweza kuwa ni coincidence tu.

Na wachache pekee wanaoelewa uhalisia wakaamua kuchukua hatua. Wengine mtafuata mstari.
 
Inafikirisha sana
Serikali nikikundi Cha watu wachache walio amua kuwa tawala wengine kwa kuwa tumikisha na kunyang'anya sehemu jasho lao kwa kutumia nguvu ya bunduki nawao

kuishi Kama wako peponi kwa jasho la wengine

Na wamekula kiapo kumfanya chochote mtu yeyote atakaye tishia masrahi yao au kumtishia Maisha mmoja wao
 
Serikali nikikundi Cha watu wachache walio amua kuwa tawala wengine kwa kuwa tumikisha na kunyang'anya sehemu jasho lao kwa kutumia nguvu ya bunduki nawao

kuishi Kama wako peponi kwa jasho la wengine

Na wamekula kiapo kumfanya chochote mtu yeyote atakaye tishia masrahi yao au kumtishia Maisha mmoja wao
Wewe unashauri vipi sasa?
 
Wewe unashauri vipi sasa?
Binafsi sijaja kutoa ushauri Ila nime zungumzia kuhusu kile ninacho kiona
Kwamba..

raisi nikama mfugaji

na jeshi nikama mbwa wa raisi

na raia nikama mbuzi,kondoo au ng,'ombe wa mfugaji ambaye ni raisi

Kwahiyo mfugaji huamua leo mbwa ale au asile.

leo Leo nimchinje yupi yupi nimwache yupi

Kwakifupi mifugo huaminishwa na Banda na kulindwa kwa kichungwa lakini mwisho wa siku ni chakula Cha mfugaji

So nazungumzia kuhusu usawa, haki, na Uhuru,
 
Dunia siyo ya kwetu wote. As a matter of fact, Dunia haina mwenyewe. Ukiangalia na kugundua ukubwa wa solar system, ukubwa wa Galaxy na ukubwa wa Universe nzima inayopanuka per second as I wrote this. Basi utagundua uwezekano wa maisha duniani kwa asilimia 100% unaweza kuwa ni coincidence tu.

Na wachache pekee wanaoelewa uhalisia wakaamua kuchukua hatua. Wengine mtafuata mstari.

Mkuu uko sawa lakini si sawa
Mfano hiyo pampu ya kusukuma maji ni ubunifu wa mtu haikushushwa ujue,
Uendeshaji wake ni gharama kwa hiyo kuchangia ni muhimu mkuu
Hakika kuchangia ni mhimu mkuu

lakini zingatia kuchangia Kama ulivyo sema ni tofauti na kutozwa

Kuchangia hakuna kiwango/lazima

lakini kutozwa Kuna kiwango na nilazima
 
Umaskini ni wakutengenezwa , watu wanatumia trillion of money kuchochea vita huku kuna watu wana njaa .

Sheria za dunia ili umaskini uendelee kuna sheria ya aliye nacho aongezewe .

Ukisoma uchumi hauna uhalisia , mambo kama riba ni njia kandamizi za kitapeli kupitia mabank.
Hebu fikilia umenunua ng'ombe wako umemfuga akakua lakini

kumuuza mpaka upate kibari kwa mtendaji au afisa kilimo
 
Mtoa mada anamaanisha kugombana na Simba na machui hili kumpata Swala kwake ndio masiaha rahisi, yaani aamke asubui akawainde swala porini huku na yeye akiwindwa na chatu na Simba ndio urahisi wa maisha.
Na kwa hakiri zako unaamini unaishi Maisha rahisi saizi kuliko Bibi na Babu zako

Hebu angalia late yako ya kuishi Sasa ni miaka mingapi Kisha linganisha na zamani waliishi miaka mingapi

Hapo ndipo utagundua kwamba kadri dunia inavyo noga ndivyo Maisha yanavyo kuwa magumu zaidi

na hapo ndipo utagundua kwamba wewe Sasa hivi nikama kuku wa kisasa kwani hauwezi kuishi bila umeme/SIMU

Tumeleweshwa na technology tume wekwa kwenye cages na zime pigwa kufuri Sasa subili ulevi uishe tuone tuta tokaje hapa tulipo
 
Kwakifupi wale tunao waita waasi sio waasi Mimi huwa nawaita wapigania haki na usawa

Kwasababu serikali inamiliki migodi yote ya madini yote tuliyo barikiwa lakini Maisha yetu ndio haya

Serikali inamiliki vivuyio vyote vya utarii lakini Maisha yetu ndio haya

Serikali Ina miliki maziwa na mito na sehemu ya bahari lakini Maisha yetu ndio haya

Ushuru Kodi mbalimbali zote unazo zijua wewe Wana kusanya wao

lakini hapo hapo wanaendelea kukopa na tuna lipa sisi kwa kujua ama kuto kujua

Unaweza kujiuliza pesa zote hapo juu zinaenda wapi?

Watanzania hatukupaswa kuishi Maisha tunayo ishi kwa jinsi mungu alivyo tubariki
Mkuu ilibidi serikali iwe inatupa wananchi pesa sio..?
 
Mtoa mada anamaanisha mfano sisi watu wa DSM wote Milioni 6.5 kilasiku tukisikia kiu tupige mguu mpaka mto RUVU tunywe maji na kuoga then tunarudi DSM.
Unaonekana una penda Sana comedy sio?

Mimi nazungumzia kwamba hatupaswi kuutumia ujuzi,uwezo,vipaji,na malaka zetu kuwatesa wengine kwa vitu ambavyo hatukuviumba sisi sjui utakiwa umeniekewa?
 
Na kwa hakiri zako unaamini unaishi Maisha rahisi saizi kuliko Bibi na Babu zako
Babu zako walikwambia waliishi maisha rahisi
Hebu angalia late yako ya kuishi Sasa ni miaka mingapi Kisha linganisha na zamani waliishi miaka mingapi
Hoja yako maisha rahisi au rate ya kuishi, mbona uelewi hata hoja yako, anyway rate ya kuishi inahusiana vipi na urahisi wa maisha.
Hapo ndipo utagundua kwamba kadri dunia inavyo noga ndivyo Maisha yanavyo kuwa magumu zaidi

na hapo ndipo utagundua kwamba wewe Sasa hivi nikama kuku wa kisasa kwani hauwezi kuishi bila umeme/SIMU
Kutokishi bila umeme inahusiana vipi na suala la urahisi wabmaisha, anyway kuishi na koroboi ndio urahisi wa maisha kwako.
Tumeleweshwa na technology tume wekwa kwenye cages na zime pigwa kufuri Sasa subili ulevi uishe tuone tuta tokaje hapa tulipo
Umeandika nini.

Unaandika hisia hisia tu, husiamami na hoja wala kujua hoja yako.
 
Babu zako walikwambia waliishi maisha rahisi

Hoja yako maisha rahisi au rate ya kuishi, mbona uelewi hata hoja yako, anyway rate ya kuishi inahusiana vipi na urahisi wa maisha.

Kutokishi bila umeme inahusiana vipi na suala la urahisi wabmaisha, anyway kuishi na koroboi ndio urahisi wa maisha kwako.

Umeandika nini.

Unaandika hisia hisia tu, husiamami na hoja wala kujua hoja yako.
*Hivi Kati ya mtu anaye ishi mjini na yule anaye ishi kijijini kwa hakiri zako unadhani yupi anaishi Manisha rahisi?

*kwahiyo Kwa hakiri yako kuubwa iliyo tukuka una Amini mda wakuishi kwa mda mlefu au kufa mapema hau husiani na Hari ya maisha na mazingira unayo ishi?

* Mh eti una andika nini"?

so Unawezaje kujibu/to comment maandiko ambayo hujui ninini?

Wakati mwingine kukaa kimya ni busara then sorry Kama ntakuwa nimekujibu vibaya lakini
 
Habari za jioni wakubwa zangu?

Mimi nimiongoni mwa watu wanao amini kwamba dunia haikutokea yenyewe" Nina kataa.

.Isipo kuwa Nina amini Kuna Kiumbe/viumbe/mungu/miungu wenye hakili kuliko sisi walio iumba dunia yetu nzuli

Kwani ingetosha dunia kutokea ikiwa na jua tu lakini kwanini ikatokea na mwezi na faida za mwezi Zina onekana?

Ingetosha dunia kutokea/kuonekana au kuwa na umbo la pembe nne lakini kwanini mvilingo nafaida zake Zina onekana?

Inge tosha dunia kuwa na vumbi tu lakini kwanini majani,maji,mvua,kiangazi,masika,vuri,mito,maziwa na bahari na faida zake Zina onekana???

Nilazima Kuna mjenzi mkuu mjenzi mwenye hakili,mjenzi mbunifu,mjenzi mwenye busara aliye yafanya yote hayo. Haiingii hakilini kwamba yalitokea yenyewe

Hivyo Maswali hayo na mengine yanayo fanana na hayo majibu yake yana niambia
yupo mwenye dunia yake aliye iumba dunia yetu tunayo iishi/mungu

huyu ndiye mmiliki wavitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana tukiwemo sisi wenyewe Wana wa adamu

hivyo Basi dunia niyetu sote tumepewa na muumbaji wa vyote

ndugu zangu maisha sio magumu isipokuwa Kuna watu wachache wanao yafanya maisha yetu kuwa magumu

na wamejipanga miaka na miaka kuhakikisha dunia haiji kulipinga hilo na naomba uelewe kwamba

Visu,mapanga,mabomu,risasi,kamikaze drones, mpaka nucrea weapons,jera,police stations,

Hivi vyote nikuku tishia wewe uogope na kuitii mifumo yao inayo kukandamiza wewe Kama vile

Nilazima ukubali kununua alidhi uliyo pewa bule na muumba wako

kwa kipande Cha karatasi/pesa kilicho letwa na kuku baliwa na wao wachache Hawa

Nilazima ukubali kununua maji uliyo pewa na mungu wako bule kwa kipande Cha kalatasi/pesa kilicho tengenezwa na wao

Usisahau kina tengenezwa na wao zingatia hili kipande hicho Cha karatasi/pesa. kina tengenezwa na wao

Hivyo Wana machines za kuki tengeneza kitu ambacho wewe unakitafuta kwa njia yoyoye

Njia yoyote nipamoja na kuiba,kutapeli,kudhulumu,kuuwa kukaba,kusaliti n.k

hivyo wao wata tengeneza hizo karatasi kwa wingi na kuzitumia kidogo kidogo kutu tumikisha na kununua alidhi yote ya dunia

Wakati huo wewe ambaye hutengenezi hizo karatasi/pesa uta hangaika miaka mingi

kuzipata karatasi hizo kutokea kwao hao wanao zitengeneza kwa ajili ya kununulia alidhi kwa ajiri ya kilimo,ujenzi,mifugo,nk

nahapo ndipo chanzo Cha umasikini na utarijiri kilipo anzia hapo hapo ndipo chanzo Cha watu kulala nje kilipo anzia

na ndio chanzo Cha humans classification zilipo anzia unakuta Kuna matajiri,masikini,omba omba,mafukara,makapuku,mpaka kajamba Nani ndipo walipo zaliwa

Tulipaswa kuishi popote bila passports

Tulipaswa kutembelea popote bila passports

Tulipaswa kulima popote bila kununua

Tulipaswa kujenga popote bila kunua Wala kulipia

Tulipaswa kufuga samaki kuku ng'ombe"mbuzi bila kulipishwa

Lakini Hawa watu tayali karatasi zao/pesa zao zimekublika na sisi wenyewe

Wametuwekea police na mahakama na jera zao kusudi tukizikataa karatasi zao watukamate watuhukumu Kisha watufunge

Wametuwekea Sheria zao zinazo watetea wenye uafadhari au walioko karibu na watengeza karatasi/pesa zinazo tawala ulimwengu

lakini Zina tukanda miza sisi tunao zitafuta Kila siku kwa namna yoyote na katika namna yoyote hiyohiyo wame tuwekea sheria za kuhakikisha namna yoyote hiyo haifanyi kazi

Na iwapo uta lazimisha kuzitumia hiyo namna yoyote Basi jiandae kuitwa majina yafwatayo..

Malaya,kibaka,mwizi,jambazi,muasi na hatimaye gaidi

majina yote hayo utaitwa baada tu ya kuanza kuitambua haki yako uliyo pewa bule na muumba wako

Labda niseme kwamba

maisha Ni rahisi bila pesa Wala serikali

maisha niragisi bila technology Wala elimu

Maisha Ni rahisi tukiishi kiasiri

Fikilia tu kwa mfano..

mto unatoa maji bule mtu mmoja mwenye pesa zake anakuja anatega water pump na pipes tu

Kisha ana unganisha maji toka mtoni /chanzo Cha maji mpaka dsm mjini kwa kutumia umeme wa 50tsh kwa lita

Cha ajabu anamlipisha mtumiaji wa maji hayo 500 kwa lita moja kitu ambacho mungu amekitoa bule

Hivyo maisha sio magumu Isipo kuwa mifumo Inafanya maisha kuwa magumu
👏👏
Habari za jioni wakubwa zangu?

Mimi nimiongoni mwa watu wanao amini kwamba dunia haikutokea yenyewe" Nina kataa.

.Isipo kuwa Nina amini Kuna Kiumbe/viumbe/mungu/miungu wenye hakili kuliko sisi walio iumba dunia yetu nzuli

Kwani ingetosha dunia kutokea ikiwa na jua tu lakini kwanini ikatokea na mwezi na faida za mwezi Zina onekana?

Ingetosha dunia kutokea/kuonekana au kuwa na umbo la pembe nne lakini kwanini mvilingo nafaida zake Zina onekana?

Inge tosha dunia kuwa na vumbi tu lakini kwanini majani,maji,mvua,kiangazi,masika,vuri,mito,maziwa na bahari na faida zake Zina onekana???

Nilazima Kuna mjenzi mkuu mjenzi mwenye hakili,mjenzi mbunifu,mjenzi mwenye busara aliye yafanya yote hayo. Haiingii hakilini kwamba yalitokea yenyewe

Hivyo Maswali hayo na mengine yanayo fanana na hayo majibu yake yana niambia
yupo mwenye dunia yake aliye iumba dunia yetu tunayo iishi/mungu

huyu ndiye mmiliki wavitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana tukiwemo sisi wenyewe Wana wa adamu

hivyo Basi dunia niyetu sote tumepewa na muumbaji wa vyote

ndugu zangu maisha sio magumu isipokuwa Kuna watu wachache wanao yafanya maisha yetu kuwa magumu

na wamejipanga miaka na miaka kuhakikisha dunia haiji kulipinga hilo na naomba uelewe kwamba

Visu,mapanga,mabomu,risasi,kamikaze drones, mpaka nucrea weapons,jera,police stations,

Hivi vyote nikuku tishia wewe uogope na kuitii mifumo yao inayo kukandamiza wewe Kama vile

Nilazima ukubali kununua alidhi uliyo pewa bule na muumba wako

kwa kipande Cha karatasi/pesa kilicho letwa na kuku baliwa na wao wachache Hawa

Nilazima ukubali kununua maji uliyo pewa na mungu wako bule kwa kipande Cha kalatasi/pesa kilicho tengenezwa na wao

Usisahau kina tengenezwa na wao zingatia hili kipande hicho Cha karatasi/pesa. kina tengenezwa na wao

Hivyo Wana machines za kuki tengeneza kitu ambacho wewe unakitafuta kwa njia yoyoye

Njia yoyote nipamoja na kuiba,kutapeli,kudhulumu,kuuwa kukaba,kusaliti n.k

hivyo wao wata tengeneza hizo karatasi kwa wingi na kuzitumia kidogo kidogo kutu tumikisha na kununua alidhi yote ya dunia

Wakati huo wewe ambaye hutengenezi hizo karatasi/pesa uta hangaika miaka mingi

kuzipata karatasi hizo kutokea kwao hao wanao zitengeneza kwa ajili ya kununulia alidhi kwa ajiri ya kilimo,ujenzi,mifugo,nk

nahapo ndipo chanzo Cha umasikini na utarijiri kilipo anzia hapo hapo ndipo chanzo Cha watu kulala nje kilipo anzia

na ndio chanzo Cha humans classification zilipo anzia unakuta Kuna matajiri,masikini,omba omba,mafukara,makapuku,mpaka kajamba Nani ndipo walipo zaliwa

Tulipaswa kuishi popote bila passports

Tulipaswa kutembelea popote bila passports

Tulipaswa kulima popote bila kununua

Tulipaswa kujenga popote bila kunua Wala kulipia

Tulipaswa kufuga samaki kuku ng'ombe"mbuzi bila kulipishwa

Lakini Hawa watu tayali karatasi zao/pesa zao zimekublika na sisi wenyewe

Wametuwekea police na mahakama na jera zao kusudi tukizikataa karatasi zao watukamate watuhukumu Kisha watufunge

Wametuwekea Sheria zao zinazo watetea wenye uafadhari au walioko karibu na watengeza karatasi/pesa zinazo tawala ulimwengu

lakini Zina tukanda miza sisi tunao zitafuta Kila siku kwa namna yoyote na katika namna yoyote hiyohiyo wame tuwekea sheria za kuhakikisha namna yoyote hiyo haifanyi kazi

Na iwapo uta lazimisha kuzitumia hiyo namna yoyote Basi jiandae kuitwa majina yafwatayo..

Malaya,kibaka,mwizi,jambazi,muasi na hatimaye gaidi

majina yote hayo utaitwa baada tu ya kuanza kuitambua haki yako uliyo pewa bule na muumba wako

Labda niseme kwamba

maisha Ni rahisi bila pesa Wala serikali

maisha niragisi bila technology Wala elimu

Maisha Ni rahisi tukiishi kiasiri

Fikilia tu kwa mfano..

mto unatoa maji bule mtu mmoja mwenye pesa zake anakuja anatega water pump na pipes tu

Kisha ana unganisha maji toka mtoni /chanzo Cha maji mpaka dsm mjini kwa kutumia umeme wa 50tsh kwa lita

Cha ajabu anamlipisha mtumiaji wa maji hayo 500 kwa lita moja kitu ambacho mungu amekitoa bule

Hivyo maisha sio magumu Isipo kuwa mifumo Inafanya maisha kuwa magumu
👏👏
 
Back
Top Bottom