Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Serikali nikikundi Cha watu wachache walio amua kuwa tawala wengine kwa kuwa tumikisha na kunyang'anya sehemu jasho lao kwa kutumia nguvu ya bunduki nawaoInafikirisha sana
Wewe unashauri vipi sasa?Serikali nikikundi Cha watu wachache walio amua kuwa tawala wengine kwa kuwa tumikisha na kunyang'anya sehemu jasho lao kwa kutumia nguvu ya bunduki nawao
kuishi Kama wako peponi kwa jasho la wengine
Na wamekula kiapo kumfanya chochote mtu yeyote atakaye tishia masrahi yao au kumtishia Maisha mmoja wao
Binafsi sijaja kutoa ushauri Ila nime zungumzia kuhusu kile ninacho kionaWewe unashauri vipi sasa?
Dunia siyo ya kwetu wote. As a matter of fact, Dunia haina mwenyewe. Ukiangalia na kugundua ukubwa wa solar system, ukubwa wa Galaxy na ukubwa wa Universe nzima inayopanuka per second as I wrote this. Basi utagundua uwezekano wa maisha duniani kwa asilimia 100% unaweza kuwa ni coincidence tu.
Na wachache pekee wanaoelewa uhalisia wakaamua kuchukua hatua. Wengine mtafuata mstari.
Hakika kuchangia ni mhimu mkuuMkuu uko sawa lakini si sawa
Mfano hiyo pampu ya kusukuma maji ni ubunifu wa mtu haikushushwa ujue,
Uendeshaji wake ni gharama kwa hiyo kuchangia ni muhimu mkuu
Hebu fikilia umenunua ng'ombe wako umemfuga akakua lakiniUmaskini ni wakutengenezwa , watu wanatumia trillion of money kuchochea vita huku kuna watu wana njaa .
Sheria za dunia ili umaskini uendelee kuna sheria ya aliye nacho aongezewe .
Ukisoma uchumi hauna uhalisia , mambo kama riba ni njia kandamizi za kitapeli kupitia mabank.
Na kwa hakiri zako unaamini unaishi Maisha rahisi saizi kuliko Bibi na Babu zakoMtoa mada anamaanisha kugombana na Simba na machui hili kumpata Swala kwake ndio masiaha rahisi, yaani aamke asubui akawainde swala porini huku na yeye akiwindwa na chatu na Simba ndio urahisi wa maisha.
Mkuu ilibidi serikali iwe inatupa wananchi pesa sio..?Kwakifupi wale tunao waita waasi sio waasi Mimi huwa nawaita wapigania haki na usawa
Kwasababu serikali inamiliki migodi yote ya madini yote tuliyo barikiwa lakini Maisha yetu ndio haya
Serikali inamiliki vivuyio vyote vya utarii lakini Maisha yetu ndio haya
Serikali Ina miliki maziwa na mito na sehemu ya bahari lakini Maisha yetu ndio haya
Ushuru Kodi mbalimbali zote unazo zijua wewe Wana kusanya wao
lakini hapo hapo wanaendelea kukopa na tuna lipa sisi kwa kujua ama kuto kujua
Unaweza kujiuliza pesa zote hapo juu zinaenda wapi?
Watanzania hatukupaswa kuishi Maisha tunayo ishi kwa jinsi mungu alivyo tubariki
Unaonekana una penda Sana comedy sio?Mtoa mada anamaanisha mfano sisi watu wa DSM wote Milioni 6.5 kilasiku tukisikia kiu tupige mguu mpaka mto RUVU tunywe maji na kuoga then tunarudi DSM.
Sio pesa Bali mazingira mazuri ya raia wake kupata pesaMkuu ilibidi serikali iwe inatupa wananchi pesa sio..?
Daaah mkuu mambo haya basi tuuu.....Sio pesa Bali mazingira mazuri ya raia wake kupata pesa
Babu zako walikwambia waliishi maisha rahisiNa kwa hakiri zako unaamini unaishi Maisha rahisi saizi kuliko Bibi na Babu zako
Hoja yako maisha rahisi au rate ya kuishi, mbona uelewi hata hoja yako, anyway rate ya kuishi inahusiana vipi na urahisi wa maisha.Hebu angalia late yako ya kuishi Sasa ni miaka mingapi Kisha linganisha na zamani waliishi miaka mingapi
Kutokishi bila umeme inahusiana vipi na suala la urahisi wabmaisha, anyway kuishi na koroboi ndio urahisi wa maisha kwako.Hapo ndipo utagundua kwamba kadri dunia inavyo noga ndivyo Maisha yanavyo kuwa magumu zaidi
na hapo ndipo utagundua kwamba wewe Sasa hivi nikama kuku wa kisasa kwani hauwezi kuishi bila umeme/SIMU
Umeandika nini.Tumeleweshwa na technology tume wekwa kwenye cages na zime pigwa kufuri Sasa subili ulevi uishe tuone tuta tokaje hapa tulipo
Your kind of Stupidity, nakuwekea mfano wa unachievable unaita comedy huu si upuuzi.Unaonekana una penda Sana comedy sio?
AiseMimi nazungumzia kwamba hatupaswi kuutumia ujuzi,uwezo,vipaji,na malaka zetu kuwatesa wengine kwa vitu ambavyo hatukuviumba sisi sjui utakiwa umeniekewa?
Always Moto unazimwa kwa MotoYour kind of Stupidity, nakuwekea mfano wa unachievable unaita comedy huu si upuuzi.
Aise
*Hivi Kati ya mtu anaye ishi mjini na yule anaye ishi kijijini kwa hakiri zako unadhani yupi anaishi Manisha rahisi?Babu zako walikwambia waliishi maisha rahisi
Hoja yako maisha rahisi au rate ya kuishi, mbona uelewi hata hoja yako, anyway rate ya kuishi inahusiana vipi na urahisi wa maisha.
Kutokishi bila umeme inahusiana vipi na suala la urahisi wabmaisha, anyway kuishi na koroboi ndio urahisi wa maisha kwako.
Umeandika nini.
Unaandika hisia hisia tu, husiamami na hoja wala kujua hoja yako.
ππHabari za jioni wakubwa zangu?
Mimi nimiongoni mwa watu wanao amini kwamba dunia haikutokea yenyewe" Nina kataa.
.Isipo kuwa Nina amini Kuna Kiumbe/viumbe/mungu/miungu wenye hakili kuliko sisi walio iumba dunia yetu nzuli
Kwani ingetosha dunia kutokea ikiwa na jua tu lakini kwanini ikatokea na mwezi na faida za mwezi Zina onekana?
Ingetosha dunia kutokea/kuonekana au kuwa na umbo la pembe nne lakini kwanini mvilingo nafaida zake Zina onekana?
Inge tosha dunia kuwa na vumbi tu lakini kwanini majani,maji,mvua,kiangazi,masika,vuri,mito,maziwa na bahari na faida zake Zina onekana???
Nilazima Kuna mjenzi mkuu mjenzi mwenye hakili,mjenzi mbunifu,mjenzi mwenye busara aliye yafanya yote hayo. Haiingii hakilini kwamba yalitokea yenyewe
Hivyo Maswali hayo na mengine yanayo fanana na hayo majibu yake yana niambia
yupo mwenye dunia yake aliye iumba dunia yetu tunayo iishi/mungu
huyu ndiye mmiliki wavitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana tukiwemo sisi wenyewe Wana wa adamu
hivyo Basi dunia niyetu sote tumepewa na muumbaji wa vyote
ndugu zangu maisha sio magumu isipokuwa Kuna watu wachache wanao yafanya maisha yetu kuwa magumu
na wamejipanga miaka na miaka kuhakikisha dunia haiji kulipinga hilo na naomba uelewe kwamba
Visu,mapanga,mabomu,risasi,kamikaze drones, mpaka nucrea weapons,jera,police stations,
Hivi vyote nikuku tishia wewe uogope na kuitii mifumo yao inayo kukandamiza wewe Kama vile
Nilazima ukubali kununua alidhi uliyo pewa bule na muumba wako
kwa kipande Cha karatasi/pesa kilicho letwa na kuku baliwa na wao wachache Hawa
Nilazima ukubali kununua maji uliyo pewa na mungu wako bule kwa kipande Cha kalatasi/pesa kilicho tengenezwa na wao
Usisahau kina tengenezwa na wao zingatia hili kipande hicho Cha karatasi/pesa. kina tengenezwa na wao
Hivyo Wana machines za kuki tengeneza kitu ambacho wewe unakitafuta kwa njia yoyoye
Njia yoyote nipamoja na kuiba,kutapeli,kudhulumu,kuuwa kukaba,kusaliti n.k
hivyo wao wata tengeneza hizo karatasi kwa wingi na kuzitumia kidogo kidogo kutu tumikisha na kununua alidhi yote ya dunia
Wakati huo wewe ambaye hutengenezi hizo karatasi/pesa uta hangaika miaka mingi
kuzipata karatasi hizo kutokea kwao hao wanao zitengeneza kwa ajili ya kununulia alidhi kwa ajiri ya kilimo,ujenzi,mifugo,nk
nahapo ndipo chanzo Cha umasikini na utarijiri kilipo anzia hapo hapo ndipo chanzo Cha watu kulala nje kilipo anzia
na ndio chanzo Cha humans classification zilipo anzia unakuta Kuna matajiri,masikini,omba omba,mafukara,makapuku,mpaka kajamba Nani ndipo walipo zaliwa
Tulipaswa kuishi popote bila passports
Tulipaswa kutembelea popote bila passports
Tulipaswa kulima popote bila kununua
Tulipaswa kujenga popote bila kunua Wala kulipia
Tulipaswa kufuga samaki kuku ng'ombe"mbuzi bila kulipishwa
Lakini Hawa watu tayali karatasi zao/pesa zao zimekublika na sisi wenyewe
Wametuwekea police na mahakama na jera zao kusudi tukizikataa karatasi zao watukamate watuhukumu Kisha watufunge
Wametuwekea Sheria zao zinazo watetea wenye uafadhari au walioko karibu na watengeza karatasi/pesa zinazo tawala ulimwengu
lakini Zina tukanda miza sisi tunao zitafuta Kila siku kwa namna yoyote na katika namna yoyote hiyohiyo wame tuwekea sheria za kuhakikisha namna yoyote hiyo haifanyi kazi
Na iwapo uta lazimisha kuzitumia hiyo namna yoyote Basi jiandae kuitwa majina yafwatayo..
Malaya,kibaka,mwizi,jambazi,muasi na hatimaye gaidi
majina yote hayo utaitwa baada tu ya kuanza kuitambua haki yako uliyo pewa bule na muumba wako
Labda niseme kwamba
maisha Ni rahisi bila pesa Wala serikali
maisha niragisi bila technology Wala elimu
Maisha Ni rahisi tukiishi kiasiri
Fikilia tu kwa mfano..
mto unatoa maji bule mtu mmoja mwenye pesa zake anakuja anatega water pump na pipes tu
Kisha ana unganisha maji toka mtoni /chanzo Cha maji mpaka dsm mjini kwa kutumia umeme wa 50tsh kwa lita
Cha ajabu anamlipisha mtumiaji wa maji hayo 500 kwa lita moja kitu ambacho mungu amekitoa bule
Hivyo maisha sio magumu Isipo kuwa mifumo Inafanya maisha kuwa magumu
ππHabari za jioni wakubwa zangu?
Mimi nimiongoni mwa watu wanao amini kwamba dunia haikutokea yenyewe" Nina kataa.
.Isipo kuwa Nina amini Kuna Kiumbe/viumbe/mungu/miungu wenye hakili kuliko sisi walio iumba dunia yetu nzuli
Kwani ingetosha dunia kutokea ikiwa na jua tu lakini kwanini ikatokea na mwezi na faida za mwezi Zina onekana?
Ingetosha dunia kutokea/kuonekana au kuwa na umbo la pembe nne lakini kwanini mvilingo nafaida zake Zina onekana?
Inge tosha dunia kuwa na vumbi tu lakini kwanini majani,maji,mvua,kiangazi,masika,vuri,mito,maziwa na bahari na faida zake Zina onekana???
Nilazima Kuna mjenzi mkuu mjenzi mwenye hakili,mjenzi mbunifu,mjenzi mwenye busara aliye yafanya yote hayo. Haiingii hakilini kwamba yalitokea yenyewe
Hivyo Maswali hayo na mengine yanayo fanana na hayo majibu yake yana niambia
yupo mwenye dunia yake aliye iumba dunia yetu tunayo iishi/mungu
huyu ndiye mmiliki wavitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana tukiwemo sisi wenyewe Wana wa adamu
hivyo Basi dunia niyetu sote tumepewa na muumbaji wa vyote
ndugu zangu maisha sio magumu isipokuwa Kuna watu wachache wanao yafanya maisha yetu kuwa magumu
na wamejipanga miaka na miaka kuhakikisha dunia haiji kulipinga hilo na naomba uelewe kwamba
Visu,mapanga,mabomu,risasi,kamikaze drones, mpaka nucrea weapons,jera,police stations,
Hivi vyote nikuku tishia wewe uogope na kuitii mifumo yao inayo kukandamiza wewe Kama vile
Nilazima ukubali kununua alidhi uliyo pewa bule na muumba wako
kwa kipande Cha karatasi/pesa kilicho letwa na kuku baliwa na wao wachache Hawa
Nilazima ukubali kununua maji uliyo pewa na mungu wako bule kwa kipande Cha kalatasi/pesa kilicho tengenezwa na wao
Usisahau kina tengenezwa na wao zingatia hili kipande hicho Cha karatasi/pesa. kina tengenezwa na wao
Hivyo Wana machines za kuki tengeneza kitu ambacho wewe unakitafuta kwa njia yoyoye
Njia yoyote nipamoja na kuiba,kutapeli,kudhulumu,kuuwa kukaba,kusaliti n.k
hivyo wao wata tengeneza hizo karatasi kwa wingi na kuzitumia kidogo kidogo kutu tumikisha na kununua alidhi yote ya dunia
Wakati huo wewe ambaye hutengenezi hizo karatasi/pesa uta hangaika miaka mingi
kuzipata karatasi hizo kutokea kwao hao wanao zitengeneza kwa ajili ya kununulia alidhi kwa ajiri ya kilimo,ujenzi,mifugo,nk
nahapo ndipo chanzo Cha umasikini na utarijiri kilipo anzia hapo hapo ndipo chanzo Cha watu kulala nje kilipo anzia
na ndio chanzo Cha humans classification zilipo anzia unakuta Kuna matajiri,masikini,omba omba,mafukara,makapuku,mpaka kajamba Nani ndipo walipo zaliwa
Tulipaswa kuishi popote bila passports
Tulipaswa kutembelea popote bila passports
Tulipaswa kulima popote bila kununua
Tulipaswa kujenga popote bila kunua Wala kulipia
Tulipaswa kufuga samaki kuku ng'ombe"mbuzi bila kulipishwa
Lakini Hawa watu tayali karatasi zao/pesa zao zimekublika na sisi wenyewe
Wametuwekea police na mahakama na jera zao kusudi tukizikataa karatasi zao watukamate watuhukumu Kisha watufunge
Wametuwekea Sheria zao zinazo watetea wenye uafadhari au walioko karibu na watengeza karatasi/pesa zinazo tawala ulimwengu
lakini Zina tukanda miza sisi tunao zitafuta Kila siku kwa namna yoyote na katika namna yoyote hiyohiyo wame tuwekea sheria za kuhakikisha namna yoyote hiyo haifanyi kazi
Na iwapo uta lazimisha kuzitumia hiyo namna yoyote Basi jiandae kuitwa majina yafwatayo..
Malaya,kibaka,mwizi,jambazi,muasi na hatimaye gaidi
majina yote hayo utaitwa baada tu ya kuanza kuitambua haki yako uliyo pewa bule na muumba wako
Labda niseme kwamba
maisha Ni rahisi bila pesa Wala serikali
maisha niragisi bila technology Wala elimu
Maisha Ni rahisi tukiishi kiasiri
Fikilia tu kwa mfano..
mto unatoa maji bule mtu mmoja mwenye pesa zake anakuja anatega water pump na pipes tu
Kisha ana unganisha maji toka mtoni /chanzo Cha maji mpaka dsm mjini kwa kutumia umeme wa 50tsh kwa lita
Cha ajabu anamlipisha mtumiaji wa maji hayo 500 kwa lita moja kitu ambacho mungu amekitoa bule
Hivyo maisha sio magumu Isipo kuwa mifumo Inafanya maisha kuwa magumu