Maisha ya Afrika Kusini siyo poa

Hii ni true stori [emoji2] ina chekesha na ina sikitisha sana. [emoji24] ila ni life tu
 
Hivi hayo makundi yanayo kaba ni ya wazawa wa Sauzi au ni wageni wanao jitafuta ku make money nahitaji kujulidhwa hilo maana wanasemaga wenyeji wanachukazi kazi zao
 

Dah eti wez hawatak usumbufu.. yaan univamie kwangu mali/pesa zangu alafu useme hutak usumbufu nisibishane nitii Amri

Dah sio poa
 
Dah eti wez hawatak usumbufu.. yaan univamie kwangu mali/pesa zangu alafu useme hutak usumbufu nisibishane nitii Amri

Dah sio poa
Wana bunduki na ni full zimejaa risasi uta miminiwa za kitosha na hela mali zako zitaenda sasa hapo utachagua mwenyewe upotezwe na mali zako zipotee au mali ziende wewe ubaki kazi kwako [emoji3064] kule hawatanii kama huku kwetu
 
Daaah mzee una nondo nzito sana [emoji23] uliwahi kuishi bondeni nini.. story yako ina vutia sana msomaji na shangaa ghafla tu imekata.
 
Nimesoma uzi wote,aisee..... nimejifunza kutokana na komenti kuwa sehemu za blacks,kuna rate kubwa ya uhalifu,ngono ni rahisi na ukimwi upo wa kutosha na mengineyo.
 
Mwizi jambazi ni mtu anaeomba kuuwawa so kumuacha hai ni kumkosea MUNGU. Mwizi na mchawi hawana adhabu nyingine zaidi ya kupewa haki yao ya kifo.
Mchawi? Ndio nyinyi mnaua vikongwe kwa imani za kishirikina ,uwa mwizi ,ua jambazi achana na imani za kufikirika ambazo hazipo

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Tuliowahi kuishi huko tunaafiki na uliyoyasema. Hilo la kuingia ndani ya nyumba ni muhimu sana. Nyumba nyingi mageti hufunguliwa na kufungwa kwa remote control kuepukana na wezi wanaoweza kukufuatilia nyuma. Adha niliyoipata kule ni kuwa jitahidi kuwa nyumbani mapema kabla ya jua kuzama. Baada ya hapo usije ukajilaumu. Hapo nazungumzia Joburg.
 
Crime rate hapo SA sio poa
Kwa jinsi Wazulu walivyo makatiri, wanakupiga kabari ya "form four" waziwazi kabisa na jua linawaka, wakati huo polisi wanatizama upande wa pili kana kwamba hawajaona kitu kabisa. Kiukweli Tshaka aliwapa ujasiri hatari sana, hakikisha unarudi na assegai yako, ukirudi mikono mitupu basi kifo ni juu yako.
 
south Africa sehemu ambayo sio salama ni kwa mablacks tu, ukienda maeneo ya wazungu kupo salama sana.
Wanaopiga mchomoko wanavizia huko nyumba za wazungu ndio kuna hela, kote hakufai south sio salama, juzi rafiki yangu polisi south anarudi home wamemkaba kaleta ubishi wakamshtua na risasi ya mkono
 
Daaah mzee una nondo nzito sana [emoji23] uliwahi kuishi bondeni nini.. story yako ina vutia sana msomaji na shangaa ghafla tu imekata.
Aisee ni kisanga mwanangu yaani kuna maujuzi tuna oewa humu ni balaaa 😂🤒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…