Maisha ya Afrika Kusini siyo poa

Maisha ya Afrika Kusini siyo poa

Shida ni income disparity-Nelson Mandela watu wanamuona shujaa kutokana na kuwakumbatua makaburu lakini kwa sisi wabobezi wa mambo hapo ndio tunaona alichemka.

S.A means of production zote zina milikiwa na makaburu na mbaya zaidi wameenda mpaka level ya chini-unategemea watu wako wataishi vipi?

Hata hapa Tanzania ni bahati tu kuwa ardhi getu ni mkubwa kuliko population tuliyonayo-subiri baada ya miaka 30-50 ijayo hiyo crime rate ya South itakuwa cha mtoto.
 
Nilienda Gaborone na jamaa angu,ndugu yangu mmoja yuko Joburg akasema sio mbali fanyeni muje.
Ile kipindi cha Covid19 daah!
Joz ni mji uko busy watu wanatafuta pesa kwa kila namna, ule mji aina za watu unaokutana nao tuu ni balaa.
It was a road trip siku nitaleta uzi hapa
Tunduma, Nakonde- Lusaka,Livingstone, Kazungura-Gaborone, Tlokweng,Jorburg
 
tafadhali nifafanulie khs 26 group
Nafikilia kuanzisha Uzi hapa kuzungumzia nguvu ya hizi numbers kwenye Maisha ya kila siku ya SA, Mitaani na Gerezani...!

26 ni Gang crew, kama ilivyo 27 na 28, hizo numbers zina nguvu sana Gerezani, Maisha yako yatakua ya dhiki kubwa kama ukienda Jela hafu ukawa sio member wa hizo numbers, japo huku Mtaani number zinageuka na kuwa na Majina ya Crew, miongoni mwa kundi Hatari na kubwa hapa Cape town, ni Americano, Mongolos, Yankees, School Boy etc.

Hawa wanauana dairy kwa kutafuta himaya ya kuuza Madawa, Wanaiba, wanakaba mtaani na kila aina ya Ufedhuri, Mf. Ndani ya Americano kuna 26, 27 na 28 wanapambana na Mongolos yenye 26, 27 na 28 pia, ila wakienda Jela, hakuna Americano, hakuna Mongolos wala majina mengine, ila wanaishi pamoja kwa numbers zao!
Japo kwenye Jela moja kubwa inaitwa Possmall, kuna mtu hatari sana, anamiliki Number 28 anaitwa John Mongol, ambaye ndo mwanzirishi wa kundi la Mongolos ambalo linasebenza Mtaani, huyu Mtu ni mtu ambaye sio mtu mzuri hata ukimtizama.

Wana salamu zao za ishara, means mtaani mtu akikusalimia unajua huyu ni 26, 27 au 28, wanaenda mbali wana Lugha yao wanaelewana wenyewe, inaitwa Sabela, hakuna mtu anaelewa hiyo Lugha zaidi yao wenyewe.

Member wa kundi lolote hajakukaba au kukuibia mpaka ajitamburishe kuwa yeye anamiliki number ipi, atapiga mguu chini, salamu ikiambatana na Kujitamburisha kwake kwako na Lugha yao ya Sabela, kama wewe unamiliki namba pia means utajibu na yeye atajua huyu ni mwenzagu, kama katika kusalimiana anatambua wewe ni mkubwa kuliko wewe, atapiga Saluti, otherwise, utaenda kuhadithia Nyumbani.
(Wako vyeo vyao ambavyo wanajichora kama Tatoo)

26- Ni Watu watafutaji pesa, Brothermen wanapenda kupendeza na wanajua kutafuta pesa.

27. Ni Wauaji straight, akipewa Amri akuue, harudi nyuma, mpaka akuue, na ni mbaya kama amri ikitoka Jela, coz asipokuua atauwawa yeye, na yeye hawezi kukubari kufa kwa ajiri yako. Kuua kunampa Cheo zaidi kwenye Crew aliyopo.

28. Wanajihusisha na Mapenzi hata ya jinsia Moja, lakini pia anaweza kuua....

Hawa ndo wanaifanya SA iwe na Ushenzi tunaousikia, Hawa wanauza Madawa straigjt kwa watu wao, lipo kundi moja lipo Cape town, town kabisa, linaitwa UnderWorld Cape gang, hili kundi lina Connection mpaka na makundi Makubwa ya kuuza Unga toka Latin America, linaingiza madawa Cape town tokea Brazil....!

Sawa Wabongo wanauza madawa, na Wanigeria pia, ila Wabongo wengi na Wanigeria wengi ni kama Machinga wa madawa mbele ya hawa Raia wa Kirangirangi.

Wageni wanaofanya kazi halali ni wengi kuliko wanaofanya Mazabe.
 
Usijidanganye kwenda bondeni kutafuta maisha kama huna msingi, wala kibali. Kama unaweza kulipa nyumba Milioni kwa mwezi hapa Tanzania basi unaweza kuishi huko.

Kama unaweza kuishi masaki na mbezi beach basi unaweza kuishi huko sababu tabia za huko mazoea ya uswahilini hakuna, ukiweza kuishi south africa na ndio umeweza kuishi nchi yoyote iliyopo ulaya na pengine.

South africa gredi ya uhalifu ni kubwa sana, kesi za kufa watu zipo nyingi kuliko kesi nyengine, ingekuwa tz kila siku kamanda wa polisi anatangaza mwisho hata choka.

Ngono kule ni kitu cha kawaida yani unatongoza mchana usiku unapewa, sio huku kwetu mpaka uchunwe kwanza.

Ukiwa na misosi ya kutosha na nyumba utachagua wanawake mpaka UKIMWI ukufikie, wanathamini kula sana maana maisha magumu kwao. Wezi, wauza madawa, wakwepa kodi na n.k wanaogopa kuweka pesa zao benki sababu benki za huku ni kama TRA kukuchunguza, Rais Ramaphosa ni mfano tosha.

Wizi wa magari ni kama wizi wa simu, gari nyingi zinazoingia hapa kwetu nyingi za wizi zinatoka huko. Vigogo wakubwa na wauza ngada hapa tz wanaishi huko au kuwa na makazi ni wengi tu.

Msidanganye na wasanii wanasema wamenunua nyumba bali kule nyumba unaweza kununu tena nzuri ila ni kama umekodi, tofauti ya tanzania ardhi ina bei utazani unanunua madini.

Kuvamiwa ni jambo la kawaida, wezi wakule usumbufu hawataki unaenda kwa order ukileta ubishi ni kugusa kaburini.

Huwezi kuchezea simu ovyo maana mitaa yote kuna wahalifu usipo kuwa makini unaweza kuona benzi kali inapita kumbe wapo wezi, ukifika nyumbani kama kuna geti lazima uchunguze mbele na nyuma nani anakufata ijalishi gari au mtembea miguu na hatua kidogo kabla ujafika getini, unaingia nao.

Vijana wetu waliozamia ukiona kaenda karudi katoboa maisha, mawili ni mchomoko au madawa.

Mchomoko ni kuvizia nyumba wenyewe hawapo tena nyumba hizi kama nilivosema wanaoweka pesa za kutakatisha.

South sio poa.
Mkuu mkifanya kazi za kuokota chupa au usafi barabarani, si utaishi kwa Amani tu bila kufatiliwa na waharifu ?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho... danganya danganya tu.... Sababu kubwa ya crime SA ni miafrika yote kujazana ..... hawan vibali Joburg Kuna wageni wengi kuliko wenyeji...

and all these foreign nationals have got no papers, majority are rejects in their countries and are drug dealers.

Jozi imeharibiwa na wageni... nenda Hillbrow utakutana na wahuni wote wa Kariakoo na miNijeria imejazana. Na Hawa ndio wezi wa kutupwa. Tusiwalaumu Wasouth kwenye hili... wakijaribu kuchukua nchi Yao tunasema ni mibaguzi. Is it even fair? would Tanzanians allow such huge number of foreign nationals in their capital, Dar es Salaam? South Africans are so creative and intelligent. Wqmeshindwa kucontrol nchi Yao sababu ya wageni.... na Sasa hivi nadhani wageni ni wengi kuliko wenyeji... na wakianza kuwafukuza utaskia tuliwasaidia kupambana na ubaguzi... viongozi wanakuwa wapole.


Nina mengi ya kuandika saana maana niweza kujionea kwa macho yangu.
Kwanin wasitumie sheria A nchi kuwarudisha wageni wasio na vibali makwao, wanatakiwa kuanzisha operation ya kurudisha wageni makwao

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Wakati wa ubaguzi polisi walitesa sana weusi. Weusi waliposhika madaraka waliona wawapunguzie nguvu na kuwadhibiti polisi, kumbe wanajichimbia kaburi. Kubana polisi huwa kuna madhara makubwa kuliko faida.
Kwa hiyo ni bora mara mia mkawa mnawalalamikia Polisi huku mkiwaacha huru na kazi zao, kuliko kuwabana kwa kudhani kuwa wanawaonea. Una hekima sana.
Just imagine a single day without a Police in the street, hata hapa kwetu tu, achliia mbali huko kwa Madiba
 
Wengi ni wageni... especially dirty and armed robbery.

Kwani Kuna nchi isiyo na wahalifu? Jibu ni hakuna. Hivyo hata Wasouth wahalifu wapo.

Sasa tunajadili kwanini imekuwa kwa kiasi hicho hapo SA...

Mitanzania inatoka Kariakoo haijui inaenda kufanya nini SA! Kwasababu ya soko la ajira kubana ... for the survival wanaengage kwenye uhalifu.... Hao ni wabongo tu Kuna Mikenya, Nigerians, Zimbabweans... kila nchi ipo SA.
Serikali ya south Afrika inatakiwa itumie akili kudili na wageni, Wageni wasio kuwa na vibali wakamatwe wote wawapeleke Somalia au nchi yoyote ngumu iwatelekeze uko

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Nimekaa 4 yrs. Nilifikia Hillbrow then Sunyside Pretoria kisha Sandton. So napajua South Kuliko Maelezo. Hillbrow nilikuwa nakaa Flamingo Hotel Jengo la Tatu toka Mnara unaoitambulisha Johanesburg. Kanisa nililokuwa Nasali hizi ndo picha za baba Askofu wetu
Mkuu askofu mbona ana mwagilia moyo?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Umesahau na rape, hii kule wahalifu wanaona ni kawaida kubaka.
South carjacking, house robbery, murder and rape ujitayarishe navyo.
Sehemu salama kwako, labda uende sehemu za utalii. Kidogo huko polisi wanapalinda sana.

Sababu ya crime kuwa juu, South Africa. Wanasema baadhi tu ni Unemployment, Ufisadi mkubwa wa Serikali, hawajali tabaka la chini na Alcohol.
South Africa idadi ya security guards (walinzi) ni over 2.4 million. Imagine. Walinzi wamewazidi polisi kwa namba ya mbali mno na bado wanakuambia kuna uhitaji sana.

Hili tu linatosha kukuonyesha kuna hali gani.
 
Nipo Eastern cape kuna mdada kapata tuzo ya ubunifu device ya kukamata wabakaji....kama ushaona Watoto wa shule wa SA wanavyovaa,pia sheria inaruhusu MTU mzima Ku consent kingono na binti wa miaka 16,chini ya hapo Kosa kisheria..
Na maumbile yao hao mabinti na wanawake wa kisouth yanashawishi , wana maumbile makubwa na mazuri yanayoshawishi kingono , unakuta binti mdogo ana msambwanda huoo , sasa hata rapist wanashawishika ,hata wanafunzi nguo zao wanazovaa ,visketi vifupi viko juu ya magoti ,mapaja na vishundu nje nje ,tena hizo ni uniforms sasa
 
Back
Top Bottom