Maisha ya Afrika Kusini siyo poa

Nakubaliana na ww, wahuni wengi wilaya ya temeke wamekimbilia south. ..ninao wajua ni zaidi ya kumi.
Mbagala ndio usiseme wanaanza na kazi ya bodaboda then wanauza pikipiki za maboss na kukimbilia south.
Wakifika huko wanapokelewa na wahuni wenzao walioko huko muda mrefu
 
Mkuu tukiiongelea Tanzania ni hivi
Madini yanamilikiwa na nani,mbuga, gas
Hizo resources za Tanzania ni mali ya wazungu na zinawafaidisha wao na nchi zao na yote ni kwaakili mbovu ya ngozi nyeusi tu
South Afrika wana bahati kwa kuwa wazungu wanachangia pato la palepale na hela wanairudisha kwenye mzunguka wa palepale
Kuna huduma zote muhimu za kijamii kwa uhakika kabisa ni kazi ya wazungu hiyo

Wangekuwa Tanzania tungefaidika pakubwa sana na resources zetu na hata tusikuwa na njaa badala yake tungekuwa tunauza chakula nje kwa uhakika kabisa

South Afrika baadhi ya wazungu wanaofanya kazi sehemu za weusi huomba kuacha kazi au kubadilishwa vituo kutokana na urasimu wa ngozi nyeusi wanashindwa kufanya nao kazi
Kwa sasa kwenye serikali mambo ni hivyo sana
Kwa sababu wenye maamuzi zaidi ni weusi
Mfano makampuni ya kulisha wafungwa watu wanakula percent
huko majela kwa sasa hali ni mbaya tofauti na zamani
wafungwa hawapati huduma nzuri kama zamani, mtaani ni kawaida kukuta taka zinakaa hata wiki tofauti na zamani
Zikitokea ajali ilikuwa dakika tano hazifiki bila huduma kuja (kwenye majiji) kwa sasa mambo ni hovyo sana
Sababu madaraka ngozi nyeusi
BIG UP MADIBA angalau kwa kuwakumbatia hao jamaa na kujua umuhimu wao
 
South Africa idadi ya security guards (walinzi) ni over 2.4 million. Imagine. Walinzi wamewazidi polisi kwa namba ya mbali mno na bado wanakuambia kuna uhitaji sana.

Hili tu linatosha kukuonyesha kuna hali gani.
Alafu bora ukamatwe na polisi kuliko hao jamaa
 

[emoji102][emoji30]
 
Bila kuwataja Pagad bado hujui historia ya Cape town na mtandao wa madawa.
 
Bila kuwataja Pagad bado hujui historia ya Cape town na mtandao wa madawa.
Sasa Pagad sio Wauzaji wa Madawa, Pagad sio Gang Crew, Pagad ni Waislam ambao waliamua kupambana na hayo Magenge ya Kihuni, Member alikua anauliza kuhusu 26, nikaamua nipe info japo kwa uchache kuhusu hizo number, hakukuwa na sehemu ningeweza kuwazungumzia Pagad, labda siku nikizungumzia Historia ya haya Makundi, then Pagad wana nafasi ya kuzungumziwa.
 
Nipo Eastern cape kuna mdada kapata tuzo ya ubunifu device ya kukamata wabakaji....kama ushaona Watoto wa shule wa SA wanavyovaa,pia sheria inaruhusu MTU mzima Ku consent kingono na binti wa miaka 16,chini ya hapo Kosa kisheria..

Inasikitisha sana,,,ila Wanawake wasouth yale maumbo yao Mashallah na wanavyopenda kuvaa uchi sasa Yan hadi wanafunzi sijui kama ubakaji utaisha kule
 
Nakubaliana n ww kiongozi.
Mapambano yaendelee
Tunachokijua:
 

Sasa mkuu unasema baada ya hiyo miaka 30-50 crime rate ya Tanzania itakuwa kubwa na ya South itakuwa cha mtoto...!

maana yake crime rate ya South yenyewe itakuwa imeganda tu au ina decline? Kwamba rate yao haiongezeki ila ya Tanzania ndio inaongezeka tu hadi kupita crime rate ya South?
 
South Africa inahitaji msaada Mkubwa sana wa kiroho nchi Iko kwenye vita
 
Hili la income disparity na kutopenda kufanya Kazi unaliungishaje.
Mandela alihofia kufanya mistake aliyofanya Mugabe kuwapora wenye uwezo wa kuzalisha mali na kuwapa wasio na uwezo wa kuzalisha mali then uchumi ukafa, angalau hata hio Sauzi hao wachache uwabeba wengi kupitia wao ajira,kodi,bidhaa zinapitakana. Sisi tuna ardhi kubwa lakini ni useless kwetu hatunufaiki nayo, ni bora wapewe wachache wenye kumudu wazalishe Ili walishe wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…