Maisha ya Biashara Bongo ni magumu kumaintain, Yapo Overrated kwa kuangalia wachache waliopiga mshindo, nasisitiza ajira serikalini ndio mpango

Maisha ya Biashara Bongo ni magumu kumaintain, Yapo Overrated kwa kuangalia wachache waliopiga mshindo, nasisitiza ajira serikalini ndio mpango

Kazi pekee inayozidi biashara ni UFISADI, hapa unajipigia tu bilioni zako kadhaa, unahamishwa kitengo maisha yanaendelea.

Lakini duniani kote, hata hapa Tanzania, huwezi kukuta mfanyakazi akamtambia mfanyabiashara. Unataka ushahidi tuanzie Kariakoo, maghorofa yote unayoyaona yanamilikiwa na wafanyabiashara!

TUKIONDOA WIZI SERIKALINI! utarudi hapa kutengua kauli!
Hujasoma uzi wote, Ni kweli kuna wafanyabiashara matajiri lakini wapo wachache, mfano hapo Kariakoo unaweza kuta mtu moja anamiliki maghorofa 20, Lakini kuna wafanyabiashara wengi sana wanaishi maisha magumu kuzidi watumishi wa serikalini wanaosemwa wanaishi maisha magumu.

Biashara zina tamaa, mfanyabiashara yupo radhi afaidike peke yake wenzake mia walale njaa, Ni tofauti na serikalini mishahara inaendelea kuingia .
 
Biashara ni nzuri na inakutoa haraka kwenye umasikini tofauti na mtumishi labda awe mkurugenzi wa shirika au waziri.kinachosumbua ni mazingira tu Kwa tz siyo rafiki Kwa wafanyabiashara.yote haya yamesababishwa na wabunge vichaa kama mbunge msukuma ambaye hana ajualo.mfano umeagiza mizigo nje ya Nchi,Tra watakujadiria Kwa kukukomoa lakini wakati huohuo watumishi wa TRA wakiagiza bidhaa wao Hawa hawalipi hata centi Moja yaani ni upuuzi kabisa.
 
Hujasoma uzi wote, Ni kweli kuna wafanyabiashara matajiri lakini wapo wachache, mfano hapo Kariakoo unaweza kuta mtu moja anamiliki maghorofa 20, Lakini kuna wafanyabiashara wengi sana wanaishi maisha magumu kuzidi watumishi wa serikalini wanaosemwa wanaishi maisha magumu.

Biashara zina tamaa, mfanyabiashara yupo radhi afaidike peke yake wenzake mia walale njaa, Ni tofauti na serikalini mishahara inaendelea kuingia .
Wewe utakuwa unawzungumzia machinga watembeza bidhaa,mama ntilie,wauza mihogo ya kukaa etc.
 
Ukiwa mtumish na ukafanya BIASHARA unakuw na win rate kubwa kikubwa upate mtu sahihi wakuw kwenye biashara yako wakat upo Kazn

Tz mifumo yetu ni migumu ukikurupuka kuacha kaz udandie BIASHARA unawez kuumia pia (kuangukia pua
 
Ukiwa mtumish na ukafanya BIASHARA unakuw na win rate kubwa kikubwa upate mtu sahihi wakuw kwenye biashara yako wakat upo Kazn

Tz mifumo yetu ni migumu ukikurupuka kuacha kaz udandie BIASHARA unawez kuumia pia (kuangukia pua
Kabisa Tz muda wowote mambo yanakubadilikia kama ni mtumish fungua na biashara.
 
Hahaaa hajui mfanya biashara wewe unapata muda wa kwenda mpaka Dubai. Mtumishi wa Vikindu Primary hata Kkoo ana miezi 7 hajafikapo 😂😂😂
Juzi nimekataa mkataba wa ajira kwa mara nyingine tena.

Nafanya biashara na ninafurahia maisha.

Mtu anaedhani kuwa biashara ni ''kuuza vitu'' kweli aachane na biashara akatafute ajira.

Ndio maana anatoa mfano kuwa watu hawauzi kitu hawana hata 50,000 ya kulipia fremu.

Huyu yeye anajua biashara ni kuweka fremu na kuuza.
 
Ukiwa mtumish na ukafanya BIASHARA unakuw na win rate kubwa kikubwa upate mtu sahihi wakuw kwenye biashara yako wakat upo Kazn

Tz mifumo yetu ni migumu ukikurupuka kuacha kaz udandie BIASHARA unawez kuumia pia (kuangukia pua
Kabisa Tz muda wowote mambo yanakubadilikia kama ni mtumish fungua na biashara.
 
Back
Top Bottom