Bajaji kwasasa bei ni kati ya 10M -12M kwa ya mafuta na petroli.Biashala za wabongo
"Nunua bajaji moja, milioni 7, mpe dreva, kila siku atakuletea elfu 30, kwa wiki laki 2, kwa mwezi kwa mwaka utakua umetusua kimaisha.."
Kuna biashara za aina mbili mkuu, kuuza bidhaa na kutoa huduma.Hakuna mfanyabiashara tajiri duniani matajiri wote ni service provider.
Biashara kichaa kwaniniHiyo ni biashara kichaaa 🤣
Ndio maana kina hata Fenandes wa Nala kahamishia biashara yake Kenya, kapata udhamini wa dola za kimarekani milioni 40 (shilingi za kitanzania bilioni 105)
Tupe idadi ya wafanyabiashara tuone uchache wao pia idadi ya watumishi tulinganisheHujasoma uzi wote, Ni kweli kuna wafanyabiashara matajiri lakini wapo wachache, mfano hapo Kariakoo unaweza kuta mtu moja anamiliki maghorofa 20, Lakini kuna wafanyabiashara wengi sana wanaishi maisha magumu kuzidi watumishi wa serikalini wanaosemwa wanaishi maisha magumu.
Biashara zina tamaa, mfanyabiashara yupo radhi afaidike peke yake wenzake mia walale njaa, Ni tofauti na serikalini mishahara inaendelea kuingia .
Biashara sio ngumu shida ni sisi Watanzania kufanya biasbara za kizamani za kuigana Biashara za Frame economy,Biashara za kichuuzi tu, Wewe hapo ukipewa mtaji leo hii utataja biashara moja kati ya zifuatazo;Na kama unadhani ajira zenye mishahara midogo serikalini wana maisha magumu (mfano uliozoeleka walimu), basi hujui chochote kuhusu biashara, kuna watu wiki nzima hawauzi chochote, Maduka yanafungwa kila kukicha mtu hawezi lipa hata elf 50 ya frem, kufilisiwa nyumba za urithi kwa kushindwa kulipa madeni, n.k.
mifano iliyozoeleka ya kina Mo, Bakhresa na GSM hizo ni ligi nyingine kabisa, Biashara ni za vizazi, Kwa asili hao watu ni foreigners sio wabongo, wana umoja ndugu wote wanaishi nyumba moja, connections za ndugu wa nje, n.k. kutaja hio mifano sio feasible kwa hapa bongo.
Sina maana ya kuziponda biashara ni kweli zinawatoa watu lakini uwanja wa biashara wa Bongo upo tofauti sana, Hata ukichukua ushauri wa mfanyabiashara wa Marekani au ulaya mazingira ni tofauti, huko kwao sheria zinawalinda na kuwasapoti ni tofauti na hapa kwetu sheria zinaminya na kukandamiza na siasa kibao ndani yake, mfanoa mdogo tu kodi zetu zipo juu sana itabidi uzikwepe tu, Rushwa, kwenye ukusanyaji wa kodi watu wanalalamika TRA wanachota pesa zote kwenye account za benki, Polisi wanaweza kukusumbua sana na huna cha kuwafanya, n.k.
Lakini pia ili utusue kwenye biashara on average unahitaji backup ya kutosha mfano mentors kama ndugu au wazazi wa kukufundisha biashara kwa vitendo, Umoja wa kubebana kwenye familia, Mitaji, connections, n.k. ubaya ni kwamba inakuwa ngumu sababu watanzania wengi tuna ubinafsi, umoja wa kinafki, uchoyo wa connections, mitaji midogo, uvumilivu mdogo wa kuchapwa na hasara, tamaa za mashemeji na ndugu zao zimeharibu biashara kibao, n.k. exceptions ni chache sana tena ni kwa baadhi ya mambo mfano wachaga na wengine wakinga, waha, n.k. na bado ni baadhi sio wote.
Kingine ni kwamba kwenye biashara mafanikio ni kuteka soko, kufa kufaana !! mfanyabiashara yupo radhi ateke soko muda huo wenzake mia wanalala njaa na familia zao, unapomsifia mfanyabiashara flani ni tajiri kuna uwezekano mkubwa tu kalikamata soko kuna watu kibao walishafunga biashara zao, walifirisika, n.k. na kwa hali ilivyo kwa hapa Tz mambo ya Rushwa, siasa, n.k. haya mambo si ya ajabu.
hadi sasa Tanzania ni nchi masikini yenye mamilioni ya wafanyabiashara wakiwemo wachache sana waliofanikiwa na kumaintain, Kwa upande wa waajiriwa serikalini wapo wachach zaidi lakini wao wana uwakilishi mkubwa kwa idadi kwenye kundi la watanzania wachache wanaoishi walau maisha mazuri
- Mitaa mingi sana yenye nyumba bora mijini wanaojenga na kuishi wengi ni watumishi wa serikalini.
- Shule za private watoto wengi wanaosoma ni watoto wa watumishi wa serikalini
- asilimia kubwa ya wenye magari ni watumishi wa serikalini
- Watumishi wanaongoza kwa kuwa na muda mwingi wa kufanya shughuli zao nyingine ama kupumzika na familia zao tofauti na wafanyabiashara wenaondoka makwao asubuhi mpaka usiku kila siku kasoro jumapili na Idi au krismasi
- watumishi wanaweza kufanya biashara huku wakiendelea na ajira, pia kupata mikopo kwa wepesi, wengine waliamua kuacha ajira mfano ni kina Mengi (rip), vunja bei, n.k.
MUHIMU: Ukiingia mitandaoni usijae upepo kirahisi ukimuona mfanyabiashara wa Marekani au Ulaya anatoa hamasa / motivation ya kufanya biashara, Inabidi utambue kwamba mazingira yao na yetu ni tofauti sana.
Wabongo tunajua biashara? au unazungumzia biashara za kuigana za kichuuziTuulizane Kwanini watanzania wenye asili ya wahindi, waarabu hawaombi ajira serikalini?? Je tukilinganisha maisha yao na ya wafanyakazi yapi bora?
Hata mishahara mnayolipwa ni pesa za kodi 😂No biashara =No kodi =No ajira, biashara ndiyo boss.
Jiulize kwanini wastaafu hujitahidi kuanzisha biashara?? 😃😃Usiseme hukuambiwa.
Swala sio mtaji swala ni kwamba Watanzania Biashara tunaso zijuia ni za uchuuzi za kuwa na Frame katikati ya mjiHii mada inawez kuwa na hoj nzuri ikibeba layers.. biashara ya mtaji na return kias gan inayozungunzwa hapa. Huwez kuzungumza biashara ya mtaji million 2 ikaleta tija dhidi ya kuajiriwa serikalin mshahara 600+ mada automatic hii biashara ikileta faida kubwa kwa mwez ni 400.
Mtoa mada unaipambanisha biashara ya mtaji kias gani dhidi ya muajiriwa levo gan serikalin
Mkuu shida inayo yufanya tusitoboe Tanzania ni biashara za kuigana, asilimia 80 ya biashara zetu ni za kuigana hapo lazima tuloganeNasoma bandiko hili huku nikiwa kwenye pilika za biashara zangu hadi muda huu karibu saa 12 jioni bilabila...dah..nguvu zaniisha kabisaa..!
Wakati huohuo napigiwa simu na bro angu mtumishi wa umma cheo cha kawaida tu jw ananiambia anakuja kufuata gari lake amenunua lingine..
Hii ndio bongo!
Si ndo biashara ndogondogo? Biashara nyingine ipi ndogo ndogo inayofanywa mjini bila uchuuzi?Swala sio mtaji swala ni kwamba Watanzania Biashara tunaso zijuia ni za uchuuzi za kuwa na Frame katikati ya mji
Una idea ya biashara mpya kabisa haijawah kufanyika tanzania uiseme hapa?Mkuu shida inayo yufanya tusitoboe Tanzania ni biashara za kuigana, asilimia 80 ya biashara zetu ni za kuigana hapo lazima tulogane
Ili iweje? Hahaa Idea zipo zinazaliwa Daily mkuu,Una idea ya biashara mpya kabisa haijawah kufanyika tanzania uiseme hapa?
Idea gan umewqh kuitekeleza hapa bongo? Selcom? Ifike kipindi tuwe na hoja zinazofanana na uhalisia! Usilete hadithi mzee hazitusaidii wala hazikujengiIli iweje? Hahaa Idea zipo zinazaliwa Daily mkuu,