Maisha ya bongo ili utoboe jifunze sana kuroga

Maisha ya bongo ili utoboe jifunze sana kuroga

Naja naja

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
747
Reaction score
1,454
Kuna mambo mengi sana yanaendelea nyuma ya pazia bila ya wewe mwenyewe tafadhari usipuuzie tafuta mtaalamu akuwekee sawa mambo yako la sivyo utatumia nguvu kubwa sana lakini hutotoboa .

Kama utaona aibu kwenda kwa mtaalamu basi nenda maduka ya dawa ya asili wakuuzie dawa zitakazokukinga na husda za walimwengu kuna dawa utapewa unywe kama uliwahi kulishwa uchawi basi utatapika uchawi wote zipo dawa za kukuondolea mikosi na kukukinga dhidi ya uchawi na wabaya wako.

Gharama zake sio nyingi kipimo kuanzia Tsh mia 5 tu.

Ukishindwa basi jitahidi KUSALI/KUSWALI SANA baadhi ya binadamu sio viumbe wazuri.
 
Kuna mambo mengi sana yanaendelea nyuma ya pazia bila ya wewe mwenyewe tafadhari usipuuzie tafuta mtaalamu akuwekee sawa mambo yako la sivyo utatumia nguvu kubwa sana lakini hutotoboa .

Kama utaona aibu kwenda kwa mtaalamu basi nenda maduka ya dawa ya asili wakuuzie dawa zitakazokukinga na husda za walimwengu kuna dawa utapewa unywe kama uliwahi kulishwa uchawi basi utatapika uchawi wote zipo dawa za kukuondolea mikosi na kukukinga dhidi ya uchawi na wabaya wako.

Gharama zake sio nyingi kipimo kuanzia Tsh mia 5 tu.

Ukishindwa basi jitahidi KUSALI/KUSWALI SANA baadhi ya binadamu sio viumbe wazuri.
HUO NI UPUUZI KAMA ULE WA WALE WANAAMINI WATAFANIKIWA KWA KUSALIMIANA GOOD MORNING HATA USIKU WA MANANE. KALOGE UTAISHIA KUUA WAZAZI NA NDUGU ALAFU UNABAKI MASKINI WA KILA KITU
 
Kuna mambo mengi sana yanaendelea nyuma ya pazia bila ya wewe mwenyewe tafadhari usipuuzie tafuta mtaalamu akuwekee sawa mambo yako la sivyo utatumia nguvu kubwa sana lakini hutotoboa .

Kama utaona aibu kwenda kwa mtaalamu basi nenda maduka ya dawa ya asili wakuuzie dawa zitakazokukinga na husda za walimwengu kuna dawa utapewa unywe kama uliwahi kulishwa uchawi basi utatapika uchawi wote zipo dawa za kukuondolea mikosi na kukukinga dhidi ya uchawi na wabaya wako.

Gharama zake sio nyingi kipimo kuanzia Tsh mia 5 tu.

Ukishindwa basi jitahidi KUSALI/KUSWALI SANA baadhi ya binadamu sio viumbe wazuri.
Ivi huwa nasikia maduka ya asili yanapatikana wap hya apa dar
 
Husuda ni miongoni mwa magonjwa makubwa ya moyo. Mtu mwenye husuda anadonda la chuki moyoni mwake juu ya neema alizoneemeshwa mwingine na Mwenyezi Mungu. Kwa maana nyingine anachukia utaratibu wa Mwenyezi Mungu aliouweka katika kugawanya neema zake kwa waja wake. Hasidi(mtu mwenye husda) kutokana na chuki yake dhidi ya mja aliyeneemeshwa na Mwenyezi Mungu, huwa tayari kwa hali na mali kumdhuru mja huyo asiye na hatia yoyote.
 
Hajamaanisha amloge mtu. kamaanisha jujieka sawa, kuondoa vitanzi au ulikofungwa. Kuna watu wanafungwa wasifanikiwe, kuna wengine ni mambo mengi balaaaaa

umeelewa hapo je?
Kuna unatajiri wa waganga usiohusisha kafara? Fanyeni kazi kwa bidii utapata unachokipata. Hata ukiwa bilionare utalala chumba kimoja ktk vyumba vyote vilivyoko kwenye Mansion yako, ukifa kaburi halizidi ukubwa wa futi tatu kwa sita kutoka katika maelfu ya maekari utakayo kuwa nayo. Pata hela ya halali ya kukuwezesha kula unachotaka, gari ya kutembelea , nyumba, uweze kumudu mahitaji ya familia basi. Hayo mengine ni anasa tu.
 
Kuna unatajiri wa waganga usiohusisha kafara? Fanyeni kazi kwa bidii utapata unachokipata. Hata ukiwa bilionare utalala chumba kimoja ktk vyumba vyote vilivyoko kwenye Mansion yako, ukifa kaburi halizidi ukubwa wa futi tatu kwa sita kutoka katika maelfu ya maekari utakayo kuwa nayo. Pata hela ya halali ya kukuwezesha kula unachotaka, gari ya kutembelea , nyumba, uweze kumudu mahitaji ya familia basi. Hayo mengine ni anasa tu.
Kwa akili yako unahisi hiyo gari na nyumba vinapatikana kizembe?
 
Mazwazwa tu ndo yaamini kuna ushirikina karne hii.
 
Kwa akili yako unahisi hiyo gari na nyumba vinapatikana kizembe?

Kwa akili yako unahisi hiyo gari na nyumba vinapatikana kizembe?
kwa kamusi ya ukoo wenu mzembe ni mtu asiyejihusisha na ushirikina, ulozi, shiriki nk. Basi niko tayari kuitwa mzembe maadamu nina kila kitu anachostahili mwanadamu, kwa maana ya afya, ardhi, elimu, nyumba, gari, mke na watoto.
 
Back
Top Bottom