Pole mzee ukiona mtu anakuwa mkali bila sababu unabidi umuelewe tu maisha yanatupeleka lesNa mm nililala njaa kama wewe ,ingawaje sababu zinatofautiana kidogoo, ila mulemule tu......
Jitahidi uwe na duka moja la uhakika mtaani ili ukikwama unakopa chochote unakulaPole mzee ukiona mtu anakuwa mkali bila sababu unabidi umuelewe tu maisha yanatupeleka les
Iyo ni sheria kwa maisha yetu ya kuunga unga ila nilipo sijazoeleka hata mwezi sina hapaa ni makazi mapya kwangu.Jitahidi uwe na duka moja la uhakika mtaani ili ukikwama unakopa chochote unakula
Hahaha izi ni halakatii za mtu mweusi damu yangu kawaida ila asanteDaaah pole sana mkuu
MkuuWazee waliposema usiku mrefu waliwaza vingi bwana, leo katika harakati nimejikuta nakosa msosi na kulala pakavu tumboni, sahizi nipo natapa tapa hapakuchi!! Nimeingia kitandani toka saa nne hadi sahizi saa tisa sipati usingizi nasinzia nikishtuka nakuta nimesinzia dakika kumi au kumi tano tu.
Umeme umekatwa na wapuuzi Tanesco joto la kuoka kuku asee plus njaa nahisi kuzimia, Mungu atusaidie Watanzania wasakatonge. Na sisi tuwe na uhakika wa kujaza matumbo na kuwasha air condition kwa kutumia standby generator umeme unapokatika #onedayyes
AsanteMkuu
Hali unayopitia ni fursa KWAKO ya kumuomba Mungu na kuweka misingi ya nyakati zijazo maishani mwako!!
Ikitokea tena saa tisa usiku umeshtuka,muombe Mungu wako juu ya nini unataka maishani na usiombe KUHUSU kupata vya mwilini Pekee bali na vya rohoni na familia njema yenye KULETA furaha na tija TANZANIA!!
Saa za USIKU sana ukiamshwa ni saa za kumuita MWENYEZI!coz milango ya mbinguni inakua wazi kupokea MAOMBI YOTE!!
me na siasa tulishagombana toka natimiza umri wa kupiga kuraHalafu ukute uko na card ya CCM huambiwi kitu
Kwa kazi zangu bundle ni jambo ambalo siwezi kulikwepa na hapa kwasbbu ya kukosa tenda ndo nimebakiwa na bundle ila sina ela , me nafanya vibiashara mtaani na kwenye website za freelancing ,fiver na upwork nafanya part time job na ndo zinanisaidiaga always ila wakati huu mambo yameenda komboYani bora ulale njaa ila usikose bando?
Ukipata hela usiache kwenda kwa mangi hapo jirani ukatumie tumie ujenge mazoea na wauzaji hapo mtaani kwenu hata siku ukiwa huna unakopa tu unga robo mafuta robo na bando lako unalo unalala safi kabisa.Kwa kazi zangu bundle ni jambo ambalo siwezi kulikwepa na hapa kwasbbu ya kukosa tenda ndo nimebakiwa na bundle ila sina ela , me nafanya vibiashara mtaani na kwenye website za freelancing ,fiver na upwork nafanya part time job na ndo zinanisaidiaga always ila wakati huu mambo yameenda kombo
😁 baada ya miaka mitano kwenda kumi hizi financial issues zitakata nitakuwa nmesajili kampuni na itakuwa na kuenea Africa mashariki na kati na kuzalisha biashara nyingine , itaondoa umaskini na shida zangu na za uzao wangu milele na milele, nitawapa ushuhuda hapa hizi ni nyakati tu zinapita comrade instagramUkipata hela usiache kwenda kwa mangi hapo jirani ukatumie tumie ujenge mazoea na wauzaji hapo mtaani kwenu hata siku ukiwa huna unakopa tu unga robo mafuta robo na bando lako unalo unalala safi kabisa.