Wazee waliposema usiku mrefu waliwaza vingi bwana, leo katika harakati nimejikuta nakosa msosi na kulala pakavu tumboni, sahizi nipo natapa tapa hapakuchi!! Nimeingia kitandani toka saa nne hadi sahizi saa tisa sipati usingizi nasinzia nikishtuka nakuta nimesinzia dakika kumi au kumi tano tu.
Umeme umekatwa na wapuuzi Tanesco joto la kuoka kuku asee plus njaa nahisi kuzimia, Mungu atusaidie Watanzania wasakatonge. Na sisi tuwe na uhakika wa kujaza matumbo na kuwasha air condition kwa kutumia standby generator umeme unapokatika #onedayyes
Umeme umekatwa na wapuuzi Tanesco joto la kuoka kuku asee plus njaa nahisi kuzimia, Mungu atusaidie Watanzania wasakatonge. Na sisi tuwe na uhakika wa kujaza matumbo na kuwasha air condition kwa kutumia standby generator umeme unapokatika #onedayyes