Ameen!π baada ya miaka mitano kwenda kumi hizi financial issues zitakata nitakuwa nmesajili kampuni na itakuwa na kuenea Africa mashariki na kati na kuzalisha biashara nyingine , itaondoa umaskini na shida zangu na za uzao wangu milele na milele, nitawapa ushuhuda hapa hizi ni nyakati tu zinapita comrade instagram
Ndio maana kumbeme na siasa tulishagombana toka natimiza umri wa kupiga kura
Nimeipenda hii! π€π baada ya miaka mitano kwenda kumi hizi financial issues zitakata nitakuwa nmesajili kampuni na itakuwa na kuenea Africa mashariki na kati na kuzalisha biashara nyingine , itaondoa umaskini na shida zangu na za uzao wangu milele na milele, nitawapa ushuhuda hapa hizi ni nyakati tu zinapita comrade instagram
Na siku mizuka ikiyapanda yanamtafuna....kama Mzee Kingunge(RiP)Pole mkuu, maisha hayana maaana.
Unakuta boss kanunulia Mbwa wake wawili maini rosti kilograms 3 na maziwa Lita 2 na bado hao mbwa wenyewe hawali hizo zaga ππππ
Na anafurahia wamasai kuhamishwa ngorongoro[emoji24][emoji24]Halafu ukute uko na card ya CCM huambiwi kitu