Maisha ya chuo

MAISHA YA CHUO NI KUWA MWANAFUNZI NA SHETANI MNAKUTA MMETENGANISHWA NA KITU KIDOGO SANA.

NI WACHACHE SANA AMBAO NAO HUANGUKIA KWENYE KUNDI LA KUJIITIA WACHUMBA LAKN MWISHOWE SARIS/ARIS HUWATENGANISHA KWA NJIA YA AJABU SANA HUSUSAN KWENYE ENEO LA REMARKS(continued or disco} KAMA SIYO MAHAFALI NA BAADAYE KUPATA KAZI AU KUKOSA KAZI
 
Chai
 
Cha
chai ya moto kabisa
 
Inaendelea ...

Shani ana asili ya Singida, rangi maji ya kunde ana umbo namba 8. Regina ndio room mate wake, Regina ni jina halisi. Nitaelezea baadae sababu ya kulitaja hapa. Yaani pale room muda wa kuunganisha viungo vyetu, ni kama Porno tukikiamsha nao wanazaghambuana.

Shani anapiga kelele Regina hapigi wao ni kimyakimya. Boyfr wake Regina hakuwa na mapenzi serious kwa sabab kuna wakati anaondoka, na anabaki Regina hata weeks. Tukikipiga Regina atagugumia tu. Siku moja Regina akaniomba nimzaghambue. Nikamwambia labda kama Shani atakubali tupige threesome, akikataa baasi. Siwezi maana nitasababisha magomvi.

Ilikuwa kwenye pool moja pale chuo. Nikamuuliza reggy sababu ya kutaka nimlambe anadai inaelekea shani anakuka raha. Nikacheka tu pale.

Kuazia pale niliona mambo yamegeuka na tutakuja kufarakana, sina budi kuweka sawa haya mambo. Nilizama mtaani kuna kijiwe cha madalali nikachonga nae nilipata getho safi sana self moja matata. Niliomba jamaa mmoja aniubganishe na mtu wa samani. Nikampa kazi ya kuweka kila kitu kwa bajeti affordable. Nikahamia getho na Shani wangu.

Hapa ndipo niliona shani ni wife material tatizo lake ni harage la mbeya. Yaani yeye ukimuacha dakika 10 ameliwa. Katika hawa watu watatu waliompiga mmoja alimaliza chuo ila wanawasiliana kwa siri sana. Huyu mmoja ambaye bado yupo chuo amamuwinda shani balaa. Yaani nakutaga sms za jamaa tumuite Hans(code) aliimba mchezo na shani hakatai. Sisi wanaume tunajua wanawake kunako 6x6 wanakupa ashiki kwa kulalamika, shani anahali flani wkt wa mnyanduano, anamaneno flan wkt dorge akianza kazi, yaani ile unaingiza ni kama anashituka na kilio kinaanzia hapo. Kule ghetto alinifanyia kitu sitakisahau, tulinyanduana kuanzia asb saa 2 au 3 mpaka saa 10 alasiri. Hii siku sitaisahau. Na hapa nikaanza kusababisha maneno na majirani etu tunawasumbua. Shani baada ya wiki moja akaanza kuniuliza kwa nini Regina amebadilika, nilijua atakuwa anajua nimeshatoa umbea kwamba alinitaka. Nikapiga kimya.

Maisha ya chuo yaliendelea kama kawaida, shani akaanza kumleta reggy ghetto.. binti yule alijisikia vibaya sana kuona maisha ya shani. Aliona kama kawivu flan...kwa kuwa tulikuwa mtaani reggy akaniomba tuonane mjini anadai anajambo la libamuumiza, nikajibu poa. Wapi? Akadai nichague then nimwelekeze. Nikahakikisha akija nitafuta hiyo sms yetu ya kukutana, maana hawa madem hawaeleweki.

Baada ya kipindi jioni jikajisogeza pub nikapata bia mbili. Nikamtext aje mjini atanikuta pub ......( ) akaja amewaka duh nikasema tamaa hizi zinataniua. Akakaa muhudum akamsikiliza akaagiza wine. Mimi..shem kumbe unapiga haya mambo.
Reggy. ..sana tu shem wangu.

Mimi...twende lwenye mada moja kwa moja maana sina muda wa kutosha leo.
Reggy..(alivuta punzi nyingi....) akaanza...shem dorge..kwanza assnte na samahan sana..
Mimi.....nakusikiliza reggy.. akawa analia
Reggy...nilidhani utamwambia shani kile kitu ila mlivyohama nilifikiria maneno yangu ndio sababu. ..akaa kimya...
Mimi...reggy endelea...

Akadai jamaa yake hamjali na hana future naye, anadai kwa imani yangu dorge naweza oa wake zaidi ya mmoja yeye yupo tayari na atakuwa mke mwema.

Duh..nilichoka kabisa. Maana nimekaa nawewe chumba kimoja umeliwa nakusikia ukiliwa leo nikuoae nikamwambia tu, kila jambo lazima kabla ya maamuzi ulipe muda, nipe muda, siku mbili tu nitakupa jibu.

Itaendelea
 
Inaendelea..


Baada ya wiki hivi ndio nilikutana na reggy kwa miadi palepale pa jana tukakutana. Tukaongea pale na nilimpa sharti moja tu. Kupima vvu na kuhama, kuanzia chuo, mkoa, kozi akasomee teaching kwa sabb alifanya Sayansi na pale alikuwa akisomea kozi ya sayansi niliamini akapata ualimu chap kwa masomo ya sayansi.

Reggy alinijibu palepale. Yuko tayari hata kuanzia hapohapo. Huyu dem kweli bana alitafuta chuo na akahama. Nikawa nasafiri kwa mke mdogo. Regina kwa sasa yupo nchini Canada kama lecturer lugha ya kiswahili.

Shani alikuja akatoa mimba zangu. Ndio nilivuoona hafai, kuna siku alikwenda kutoa mimba wakati sikukutana naye miez mitatu. Kwanza ilikuwa hivi. Nilisafiri kama miezi minne nikawa ule mwez wa tatu nilikuja bongo one time. Ile nikutane nae, akadai anaumwa, kutokana nanfani yangu akadai yuko MP nikasema okay, sasa nikaona dalili sio mp nikamtime nikachukua damu kwenda nayo maabara, kupima ina dalili zote za mimba.

Alivyogundua kosa lake alikata mguu, nikiwa nimerejea nikamfata kwao, mapokezi yalikuwa ya ajabu sana. Mmh nikaa pembeni nikalambwa matusi na mama mkwe mamaake mdg. Nikaona sio kesi nikasepa.

Shani akapata mshkaji ana asili ya kwao. Basi nikawa mpole. Hawakudumu sana, eti shani akarudi kwangu. Duh nikasema hii balaa sasa kwa sababu nijikaza kiutu uzima nikaona kama imejileta yenyewe kwanini niiache, nikaifunua, ivi kumbe kurma zinaota sugu aisee nilishangaa sana..yaani imepigwa nikajiona kumbe mimi cha mtoto kuna watu wanavyuma.

Nae sikukaa naye muda mrefu nikamkataa. Hadi leo ananitafuta. Anataka anipe mzigo nakimbia

Mwisho
 
Kwa iyo regina mliishia wap dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…