Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
MKEO KAMA ANASOMA CHUO JUA NI ANAPIGWA BAKOLA NA WALIMU WAKE MIXER BY VITOTO VYA CHUO MKEO NI CHAKULA CHUO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChaiWana Jf
Nilijiunga chuo kikuu cha serikali nikitokea kazini. Hii inamaanisha nilikwenda nikiwa mtu mzima umri wa miaka 35. Kwa kuwa nilikuwa mtu mzima nilikutana na watoto wadogo sana na wengine nilifamiana nao.
Sikuwa mtu wa kampani. Nilipendelea kukaa peke angu. Wakati wote nimekuwa nikiwavutia mabinti na nilijua sababu maana maisha ya chuo yalihitaji pesa, wengi walijua ninakipato, uvaaji ulikuwa wa kuvutia mno. Nguo nilipendelea ni suruali za vitambaa japo ni mitumba na mashati yangu nilipendelea kununua kwa jamaa mmoja anaitwa black(code).
Hostel nilimuomba warden nisikae na watu wengi, nilimuomba na kumlipa nikae na japo mtu mmoja na alikubali.
Cafeteria, nililipa bili kwa hiyo sikuwa mtu wa kupanga foleni. maisha yangu yakikuwa simple sana.
Kuna tabia moja vyuoni, wadada kubadili mabwana, mimi nilichagua mrembo ambaye nilihakikisha hatoki ndani huyu binti aliyajua mapenzi. Tatizo lake anapenda ngono mno.
Sikumbuki nilifamiana nae vipi ila kuna siku nilikutana na binti wa kiongozi mmoja mjini nadhani tulisalimiana ila nilikuja kugundua alikuwa akinitaka kwa sababu binti mpenda ngono tumuite (shani) sio nina halisi walisoma wote Advance, huyu binti wa kiongozi mkubwa serikalini tumuite Mwajei(sio jina halisi) sasa kutokana na mwajei kuwa na uwezo, Shani ni yatima mwajei akatokea kunichukia sana bila sababu za msingi. Mimi sikujali kwa sababu sikuwa na cha kujali. Maisha yetu na Shani yalikuwa mazuri nilikuwa na vyanzo vya fedha vinne boom,mshahara,biashara zangu na mkali mmoja alikuwa ananipa msaada, binafsi niliona bora kuwa na Shania nimsaidie na ukizingatia ndio first born. Wakiwa Advance walikuwa na mahusiano na mkuu wa shule na mtaaluma. Pale chuoni alitembea na jamaa watatu. Haya yote niliyajua baada ya kuhakikisha hawi na mahusiano na mtu. Nilimiliki simu yake kwa sababu tulilala wote labda akienda lecture. Shani alikuwa na umbo flani ni wale wanawake akisimama unaona tobo katika ya miguu na hips pana.
Chumba chetu kilikuwa juu na jamaa tulikubaliana kuishi na wanawake wetu, kila mtu deka lake juu mabegi.
Yale yalikuwa maisha ya ajabu sana. Na huko vyuoni waliopita huko wanajua, kuna mambo mengi.
Inaendelea
chai ya moto kabisaWana Jf
Nilijiunga chuo kikuu cha serikali nikitokea kazini. Hii inamaanisha nilikwenda nikiwa mtu mzima umri wa miaka 35. Kwa kuwa nilikuwa mtu mzima nilikutana na watoto wadogo sana na wengine nilifamiana nao.
Sikuwa mtu wa kampani. Nilipendelea kukaa peke angu. Wakati wote nimekuwa nikiwavutia mabinti na nilijua sababu maana maisha ya chuo yalihitaji pesa, wengi walijua ninakipato, uvaaji ulikuwa wa kuvutia mno. Nguo nilipendelea ni suruali za vitambaa japo ni mitumba na mashati yangu nilipendelea kununua kwa jamaa mmoja anaitwa black(code).
Hostel nilimuomba warden nisikae na watu wengi, nilimuomba na kumlipa nikae na japo mtu mmoja na alikubali.
Cafeteria, nililipa bili kwa hiyo sikuwa mtu wa kupanga foleni. maisha yangu yakikuwa simple sana.
Kuna tabia moja vyuoni, wadada kubadili mabwana, mimi nilichagua mrembo ambaye nilihakikisha hatoki ndani huyu binti aliyajua mapenzi. Tatizo lake anapenda ngono mno.
Sikumbuki nilifamiana nae vipi ila kuna siku nilikutana na binti wa kiongozi mmoja mjini nadhani tulisalimiana ila nilikuja kugundua alikuwa akinitaka kwa sababu binti mpenda ngono tumuite (shani) sio nina halisi walisoma wote Advance, huyu binti wa kiongozi mkubwa serikalini tumuite Mwajei(sio jina halisi) sasa kutokana na mwajei kuwa na uwezo, Shani ni yatima mwajei akatokea kunichukia sana bila sababu za msingi. Mimi sikujali kwa sababu sikuwa na cha kujali. Maisha yetu na Shani yalikuwa mazuri nilikuwa na vyanzo vya fedha vinne boom,mshahara,biashara zangu na mkali mmoja alikuwa ananipa msaada, binafsi niliona bora kuwa na Shania nimsaidie na ukizingatia ndio first born. Wakiwa Advance walikuwa na mahusiano na mkuu wa shule na mtaaluma. Pale chuoni alitembea na jamaa watatu. Haya yote niliyajua baada ya kuhakikisha hawi na mahusiano na mtu. Nilimiliki simu yake kwa sababu tulilala wote labda akienda lecture. Shani alikuwa na umbo flani ni wale wanawake akisimama unaona tobo katika ya miguu na hips pana.
Chumba chetu kilikuwa juu na jamaa tulikubaliana kuishi na wanawake wetu, kila mtu deka lake juu mabegi.
Yale yalikuwa maisha ya ajabu sana. Na huko vyuoni waliopita huko wanajua, kuna mambo mengi.
Inaendelea
Kwa iyo regina mliishia wap dogoInaendelea..
Baada ya wiki hivi ndio nilikutana na reggy kwa miadi palepale pa jana tukakutana. Tukaongea pale na nilimpa sharti moja tu. Kupima vvu na kuhama, kuanzia chuo, mkoa, kozi akasomee teaching kwa sabb alifanya Sayansi na pale alikuwa akisomea kozi ya sayansi niliamini akapata ualimu chap kwa masomo ya sayansi.
Reggy alinijibu palepale. Yuko tayari hata kuanzia hapohapo. Huyu dem kweli bana alitafuta chuo na akahama. Nikawa nasafiri kwa mke mdogo. Regina kwa sasa yupo nchini Canada kama lecturer lugha ya kiswahili.
Shani alikuja akatoa mimba zangu. Ndio nilivuoona hafai, kuna siku alikwenda kutoa mimba wakati sikukutana naye miez mitatu. Kwanza ilikuwa hivi. Nilisafiri kama miezi minne nikawa ule mwez wa tatu nilikuja bongo one time. Ile nikutane nae, akadai anaumwa, kutokana nanfani yangu akadai yuko MP nikasema okay, sasa nikaona dalili sio mp nikamtime nikachukua damu kwenda nayo maabara, kupima ina dalili zote za mimba.
Alivyogundua kosa lake alikata mguu, nikiwa nimerejea nikamfata kwao, mapokezi yalikuwa ya ajabu sana. Mmh nikaa pembeni nikalambwa matusi na mama mkwe mamaake mdg. Nikaona sio kesi nikasepa.
Shani akapata mshkaji ana asili ya kwao. Basi nikawa mpole. Hawakudumu sana, eti shani akarudi kwangu. Duh nikasema hii balaa sasa kwa sababu nijikaza kiutu uzima nikaona kama imejileta yenyewe kwanini niiache, nikaifunua, ivi kumbe kurma zinaota sugu aisee nilishangaa sana..yaani imepigwa nikajiona kumbe mimi cha mtoto kuna watu wanavyuma.
Nae sikukaa naye muda mrefu nikamkataa. Hadi leo ananitafuta. Anataka anipe mzigo nakimbia
Mwisho
Hahahah sio mchezoMaisha ya chuo ukiwa na jiko la gesi, sufuria mbili, vijiko na unga/mchele haukauki ndani utapita nao sana.
Noma sana mkuuHahahah sio mchezo
Iv chuo napo Kuna gono??Noma sana mkuu