Maisha ya chuo

We jidanganye tu wanabanwa watoto wa siku hizi michezo wanainza mapema. [emoji23]
 
Mmmh hii chai kabsa hiw
 
Ujinga mtu hata uingo huwezi kutunga,eti alikuwa anasoma,sayansi sa hivi anafundisha kiswahili,sio bure una msongo wa mawazo wewe
 
Story Inaweza kua Nzuri ila Usimuliaji Ukawa Hamna!! Wakati mwingine Jitahidi Upangilie Visa Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…