Maisha ya Dar vs Maisha ya mikoani

Hata Dar wakijua wa kuja lazima utapeliwe
 
Price/unit inawezekana ikawa sawa ila matumizi tofauti

Nyanda za juu kusini hatulali na feni wala hatuwashi mafriji sana
 
Dar movement nyingi zinahitaji usafiri/nauli ukitembea kidogo tu jasho, Mikoani watu movement kwakiasi kikubwa zinategemea mguu, Ukiwa mtu wamishemishe Dar utakunywa maji sio chini ya buku kwa siku ambapo mkoani hicho kiasi cha elfu thelathini kwa mwezi utafanyia mambo mengine, huo mchele wa 1200 ni ukiwa huku mikoani huwezi kuula kwani ni kwaajili ya kupikia vitumbua
 
Hizi ni biashara zinazofahamika na wachache, wapambanaji wengi wa Dar hawajui kwahiyo hauwezi kuwa utetezi.

Haya ni maandishi ya keyboard tu, lakini physically nina wanangu walifeli kabisa Dar
Wapo wanaotafuta fursa warudi mikoani
 
Huwa napitia comments zao afu nakaa kmya. Mkoan mtu kupata kibarua cha kulipwa 10k ni vigumu. Afu unategemea mtu huyo huyo awe na purchasing power kubwa kweli?

Akat dar, mtu kupata kibarua cha 20k ni dakika 0 tu
Unapata 20k inaisha hapo hapo

Miaka 10 mtu anamiliki geto tu uswahilini
 
dah ha ha ha
 
Fact
 
Hivi Mkoani ni Watu, Mi nikiwa Natoka Arusha kwenda Dar huwa nasema naenda Mkoani, nikiwa natokea Mwanza kwenda Kigoma nasema naenda Mkoani, hivi kumbe Mkoani ni wapi ?
 
Arusha Gharama za maisha zko juu sanaaaa, in short tangu niondoke Moshi mwaka 2016 cjawahi kuvutiwa kurudi tena. Yaaan arusha na moshi kuzuri kwenda kutalii sio kuishi
Nina miaka 2 sasa nipo Moshi kwa kweli hapana nishachoka.
 
Nina miaka 2 sasa nipo Moshi kwa kweli hapana nishachoka.
Huwa najiuliza hv watu wa kule wanaishije asee. Moshi&Arusha is a NO for me. Labda niwe nko kwny ajira inayonilazimu mm kuishi huko. Na ndo mana wachaga wengi wamejazana Dar na mikoa mingine wanaparangana kwny biashara afu mwisho wa mwaka ndo wanaenda kusalimia familia zao,,they know how hard is their homes,,,,,unakuta mtu anaacha mke na watoto watatu, anaenda morogoro kulima mpunga
 
Hivi Mkoani ni Watu, Mi nikiwa Natoka Arusha kwenda Dar huwa nasema naenda Mkoani, nikiwa natokea Mwanza kwenda Kigoma nasema naenda Mkoani, hivi kumbe Mkoani ni wapi ?
Mkoani ni Sehem yoyote ile tofauti na Dar.
 
Mtu wa dar maisha yakimshinda anarudi mkoani.

Mtu wa mkoani maisha yakimshinda anabaki mkoani hawezi kwenda dar.

Nadhani hadi hapo umeshaelewa wapi maisha magumu.
 
Acha tu mkuu. Mwaka jana nilitembelewa na bro angu yeye mtu wa mjini. Mwanzo nilimuonya huku siyo kama Dar hakunielewa kilichompata huko alipoenda kutafuta vibarua nilibaki namcheka tu.
 
Nimeenda mbeya, nimeenda iringa, nimeenda mafinga, nimeenda mwanza najuta kwa nini nimekomaa kukaa dar....nimepapenda sana mwanza na iringa! Hata mafinga pako poa sana. Mbeya balaa, very simpo!
Hapa nimeongelea kimamdhali, na hali ya hewa na simplicity ya kero ambazo dar zipo.
Mwanza iko poa sana
 
Mtu wa dar maisha yakimshinda anarudi mkoani.

Mtu wa mkoani maisha yakimshinda anabaki mkoani hawezi kwenda dar.

Nadhani hadi hapo umeshaelewa wapi maisha magumu.
Nimecheka sana kiongozi...Kwamba Dar ni moto wa petrol?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…