Maisha ya Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja mkandamizaji na waliokuwa comedian wenzake

Maisha ya Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja mkandamizaji na waliokuwa comedian wenzake

Ukisema ukweli ni ukabila ?

- Tena hao kina Masanja washukuru maana Mengi angewafunga
Mkuu ondoa kabila,,ukweli ni kwamba matajiri wengi 98% ni matapeli na wauaji.
 
Tunapenda sana kupangia watu matumizi alafu sijui nani alituambia kwamba mtu akiwa na milioni kadhaa ndo anatakiwa awe mtu wa kugawa fedha wakati hata sie hoehae tunatakiwa tutoe kidogo tulichonacho pia hata ikifika tunazo nyingi ni mwendelezo


Kutoa misaada si vibaya., ni moja ya basic principle ya utajiri., Ila pia hulazimishwi..!! Maskini huwa wachoyo by nature, wasingekuwa wachoyo wasingekua maskini..!! Believe me or not, thats the universal law..
 
5m ndogo sn, ww ulishapeleka nn kijijini kwako?
Anatafuta kwa ajl ya familia yake na sio kijiji, kijiji kina serikali atiiii, na serikalini ukijependekeza sn yatakukuta ya manji, hii nchi sio ya kujionesha etii una hela
Umenena mkuu, nimeshuhudia wema ukigeuka maumivu
 
mzee wa poda na mtumiaji mzuri, zimempa pesa sana ila amecheza kama Pele kuwa na kiteteo cha ukulima wa mpunga na kuwahudumia kondoo waliopotea zizini..maisha tambalare ukijitoa mhanga
Wanadamu hawakosi kukushusha ukiwa na kipato, iwe kabeba au katumia, ukweli ni kwamba ni kijana mtafutaji na mwenye malengo
 
Ila nasisi wabongo tunapenda ku trace maisha ya watu
Anyway ni mojawapo ya uridhi tulioachiwa na wahenga
Sio mabaya sana.
Tanzania ya viwanda ikija tutakua busy sana hatutapata nafasi hii kwani tutafanya kwazi hadi usiku
Vyerehani vinaletwa kwa wingi
Kila mtu na kiwanda chake
 
Wanadamu hawakosi kukushusha ukiwa na kipato, iwe kabeba au katumia, ukweli ni kwamba ni kijana mtafutaji na mwenye malengo
Unajua maana ya kujitoa mhanga? Kuna sehemu nimesema siyo mtafutaji? Kwa akili yako unadhani watumia podaa si watafutaji?
 
Ila mie naona kama mtu ameweza kutengeneza hela na anaishi maisha mazuri kwa kuitendea haki hela sidhani kama ni mshamba...nadhani tumelelewa kwenye tamaduni za ukitembea barabarani huku unakunywa juice kwa mrija au kufanya mambo yanayoendana na hayo unachukulia kama unapenda kujionyesha na wengine watakuita mshamba though ukila muwa na karanga utaonekana normal
Sijamaanisha ushamba huo mkuu
 
Katupiga sana gap sisi tunaotambia Vyeti vyetu na GPA zetu kubwa kutwa humu mitandaoni na mitaani tukisaidiwa na tu vi degree, vi masters na vi phd vyetu na uchungu unakuja zaidi kwamba Jamaa hana hata Kidato / Elimu kivile ila katusua na anatuburuza kweli.

Shikamoo Masanja!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila nasisi wabongo tunapenda ku trace maisha ya watu
Anyway ni mojawapo ya uridhi tulioachiwa na wahenga
Sio mabaya sana.
Tanzania ya viwanda ikija tutakua busy sana hatutapata nafasi hii kwani tutafanya kwazi hadi usiku
Vyerehani vinaletwa kwa wingi
Kila mtu na kiwanda chake
Hahahahaha mkuu umenchekeshaa, kila familia itapata vyerehan vi4
 
Back
Top Bottom