Maisha ya Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja mkandamizaji na waliokuwa comedian wenzake

Maisha ya Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja mkandamizaji na waliokuwa comedian wenzake

Mkuu kutoa ni moyo hata wewe unaweza ukapeleka mchango wako hata kama ni buku 10, tatizo letu tunapenda kupangia matumizi pesa za watu...hata wewe nina imani una kitu chako hata kama ni cha bei rahisi kwa mujibu wa wewe kuna mwingine atakushangaa kwa kusema huyu jamaa anavaa shati la buku 10 wakati yapo kibao ya buku tatu tatu mnadani na hiyo ela si bora angenunua unga apeleke kituo cha watoto yatima
Umeongea vizuri sana mkuu.
 
Mkuu kutoa ni moyo hata wewe unaweza ukapeleka mchango wako hata kama ni buku 10, tatizo letu tunapenda kupangia matumizi pesa za watu...hata wewe nina imani una kitu chako hata kama ni cha bei rahisi kwa mujibu wa wewe kuna mwingine atakushangaa kwa kusema huyu jamaa anavaa shati la buku 10 wakati yapo kibao ya buku tatu tatu mnadani na hiyo ela si bora angenunua unga apeleke kituo cha watoto yatima
Ok mkuu
 
Hilo jiwe gizani vile [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe!!!! Kata pua uunge wajihi jambo usilolijua ni sawa na kina cha bahari asante nimeunganisha na kipande nilichokuwanacho.
 
Bora umuulize.watu wanapenda kweli kupangia hela za watu..na hilo gorofa atasema angejenga ya udongo hela asaidie
Mara nyingi wenye mawazo hayo ni wale masikini, wewe mtu utampangiaje namna ya kutumia hela yake aliyoitafuta kwa jasho lake!
 
Back
Top Bottom