Maisha ya Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja mkandamizaji na waliokuwa comedian wenzake

Maisha ya Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja mkandamizaji na waliokuwa comedian wenzake

Walikosea walipoenda TBC... Anyway waliojipanga mapema wako vizuri mapaka sasa, sijui yule jamaa (vengu) aliyekua anaumwa anaendeleaje
 
Analipia plate no 5M kwa mwaka! angepeleka madawati kijijini kwao watu si wangemshukuru sana?
Wewe umepeleka mangapi kijijini kwenu?anatafuta kwa jasho lake bila kusaidiwa acha atumie bila kupangiwa
 
Asante kwa taarifa ila waache kumvalisha magauni


maxresdefault.jpg
 
Hivi kuna neno fulani alikuwa analitumia katika komedy zake siku za nyuma ila siku hizi huwa hatumii lina maana gani? " !!!!!!!!!!!MAPOUDOOOOOOO!!!!!!!!!!"
Alikuwa anawahamasisha waliokuwa wanambebesha kuwa yupo tayari muda wote, maana haya ndio yamechangia kumtoa alikuwa punda mzuri sana...
 
Ni kweli kilimo kinalipa sana ila sio kwa staili ya masanja.

Masanja kaanza kulima juzi kati tu mara keshanunua ghorofa mara VX mara BMW X6 mara ana mashine karibu zote za kilimo.

Nashindwa kabisa kukubali kama pesa zote zile ni za KILIMO ila naweza kuwaamin hata kama sio kwa 100% kwamba ngada inamhusu
 
Kutoa misaada si vibaya., ni moja ya basic principle ya utajiri., Ila pia hulazimishwi..!! Maskini huwa wachoyo by nature, wasingekuwa wachoyo wasingekua maskini..!! Believe me or not, thats the universal law..
Ni kweli mkuu hata hao maskini pia kuna ambao kwa kiasi walichojariwa huwa wanajitutumua.....matajiri wengi hasa wa kiafrika ni wachoyo pia kutokana na maisha ambayo tumekuwa na ukiona tajiri ni mtu wa kutoa misaada mara kwa mara hasa hawa wa kwetu utagundua kwamba wengi wao hapo nyuma kabla hawajachomoka walikuwa ni watu wanaojali maisha ya watu.

All in all ......observation yako / comment yako pia ina apply kwenye maisha yetu ya kila siku kwamba "kutoa msaada si vibaya, ni basic principle ya utajiri, ila ulazimishwi..........................."
 
Ni kweli kilimo kinalipa sana ila sio kwa staili ya masanja.

Masanja kaanza kulima juzi kati tu mara keshanunua ghorofa mara VX mara BMW X6 mara ana mashine karibu zote za kilimo.

Nashindwa kabisa kukubali kama pesa zote zile ni za KILIMO ila naweza kuwaamin hata kama sio kwa 100% kwamba ngada inamhusu
Mkuu kitu fedha kina fumbo kubwa sana na ndio maana watu mnaweza mkawa sehemu moja na fursa mnapata wote sawa lakini mwisho wa siku mnajikuta mwingine yupo juu ya mwingine aka hampo level moja .....all in all yote hayo anaweza kuyafanya kikubwa ametumia muda gani mpaka kufika hapo alipo ndo pakuhoji pia hicho kilimo anacholima ni ekari ngapi na gharama ya uwekezaji ni kiasi gani na mavuno kiasi gani.

Tusiamini sana kwenye ngada kwa kila mtu anaeonyesha amepiga hatua flani miongoni mwa vijana .......madogo wote hao (Zecomedi) wanajituma kiukweli hata kama asingekuwa na hilo ghorofa bado angeishi maisha flani hivi mazuri
 
Back
Top Bottom