Maisha ya Hussein Jumbe ni ushuhuda tosha kwamba jamii zetu zina wachawi, watu wenye roho mbaya sana na makatili. Tuwe na Imani kwa Mungu

Maisha ya Hussein Jumbe ni ushuhuda tosha kwamba jamii zetu zina wachawi, watu wenye roho mbaya sana na makatili. Tuwe na Imani kwa Mungu

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nikipitia maisha ya Hussein Jumbe, naona kama hakuwa na furaha, japo alikuwa anatumia muda mwingi katika kumbi za burudani zilizotarajiwa au zinazosemwa ni sehemu za furaha.

Moyo wake ulijaa mambo mazito, mzigo mzito, malalamiko, na kilio kwa Mungu. Alikuwa akionewa bila hatia. Hata uso wake haukuwa na Nuru ya furaha.

Mara kadhaa alilalamika kwamba Kuna vitendo vya kishirikina vilikuwa vinafanywa kwake. Aliugua sana, kipindi kile mpaka akatunga wimbo "nachechemea". Chanzo Cha kuugua, aliota nyoka anataka kumdhuru au amemdhuru, baada ya siku kadhaa, yule nyoka akaonekana chumbani kwake katika suruali, nyoka akauliwa na wanamtaa, hapo ndipo aliugua karibu kifo.

Baadae akajikuta tu anavunjika mfupa wa mguu, bila kujikwaa chochote. Hapo napo aliota ndoto ya ajabu, mara hiki na kile, anaamka asubuhi anaenda kusali, anarudi, mguu ukapata shida.

Stori ya huyu ndugu inanifanya niendelee kuiogopa Tanga. Na pia inanifanya nione jamii ya kiafrika Ina ushenzi fulani, kwa baadhi yetu.

Pumzika kwa amani Hussein Jumbe.

N.B: katika mahojiano fulani anaonekana kumsema kaka yake kwamba alikuwa anamzushia kuugua ngoma, kama kuzuia watu wasimsaidie, akapima akawa safi. Lakini bado anaumwa!!!!!

Medi Mpakanjia akampeleka Mombasa, akakutana na fundi, ndio akaponea huko, ila mchawi wake hakuchoka, aliendelea kumpa vitimbi. Bila shaka Sasa roho ya huyo mwanga itakuwa imetulia na atachinja kuku baada ya kusikia habari za kifo.

Sasa jamani mziki wa bendi posho kiduchu, ndio kumpiga mtu misumari hivyo?
 
B3EF9B5D-6622-4F98-B25F-AF81BD8D9592.jpeg
 
Nikipitia maisha ya Hussein Jumbe, naona kama hakuwa na furaha, japo alikuwa anatumia muda mwingi katika kumbi za burudani.

Moyo wake ulijaa mambo mazito, mzigo mzito, malalamiko, na kilio kwa Mungu. Alikuwa akionewa bila hatia.

Mara kadhaa alilalamika kwamba Kuna vitendo vya kishirikina vilikuwa vinafanywa kwake. Aliugua sana, kipindi kile mpaka akatuambia nga wimbo "nachechemea". Chanzo Cha kuugua, aliota nyoka anataka kumdhuru au amemdhuru, baada ya siku kadhaa, yule nyoka akaonekana chumbani kwake katika suruali, akaulizwa, hapo ndipo aliugua karibu kifo.

Baadae akajikuta tu anavunjika mfupa wa mguu, bila kujikwaa chochote. Hapo napo aliota ndoto ya ajabu, mara hiki na kile, anaamka asubuhi anaenda kusali, anarudi, mguu ukapata shida.

Stori ya huyu ndugu inanifanya niendelee kuiogopa Tanga. Na pia inanifanya nione jamii ya kiafrika Ina ushenzi fulani, kwa baadhi yetu.

Pumzika kwa amani Hussein Jumbe.
Hakuna uchawi. Ni watu tu wanaendekeza imani za uchawi.
 
Mwisho wa siku kila mmoja ataenda alipojichagulia. Usipokuwa mcha Mungu basi amua kuwa mchawi five star quality. Watu vuguvugu ndo hulalamika. Pia maisha ya watu maarufu hasa wasanii huwa yana mambo mengi ya majuto majuto.
Kabisa, ni Siri kubwa.
 
Nikipitia maisha ya Hussein Jumbe, naona kama hakuwa na furaha, japo alikuwa anatumia muda mwingi katika kumbi za burudani.

Moyo wake ulijaa mambo mazito, mzigo mzito, malalamiko, na kilio kwa Mungu. Alikuwa akionewa bila hatia.

Mara kadhaa alilalamika kwamba Kuna vitendo vya kishirikina vilikuwa vinafanywa kwake. Aliugua sana, kipindi kile mpaka akatuambia nga wimbo "nachechemea". Chanzo Cha kuugua, aliota nyoka anataka kumdhuru au amemdhuru, baada ya siku kadhaa, yule nyoka akaonekana chumbani kwake katika suruali, akaulizwa, hapo ndipo aliugua karibu kifo.

Baadae akajikuta tu anavunjika mfupa wa mguu, bila kujikwaa chochote. Hapo napo aliota ndoto ya ajabu, mara hiki na kile, anaamka asubuhi anaenda kusali, anarudi, mguu ukapata shida.

Stori ya huyu ndugu inanifanya niendelee kuiogopa Tanga. Na pia inanifanya nione jamii ya kiafrika Ina ushenzi fulani, kwa baadhi yetu.

Pumzika kwa amani Hussein Jumbe.
Tanga ya watu Haina shida mkuu
 
Nikipitia maisha ya Hussein Jumbe, naona kama hakuwa na furaha, japo alikuwa anatumia muda mwingi katika kumbi za burudani.

Moyo wake ulijaa mambo mazito, mzigo mzito, malalamiko, na kilio kwa Mungu. Alikuwa akionewa bila hatia.

Mara kadhaa alilalamika kwamba Kuna vitendo vya kishirikina vilikuwa vinafanywa kwake. Aliugua sana, kipindi kile mpaka akatuambia nga wimbo "nachechemea". Chanzo Cha kuugua, aliota nyoka anataka kumdhuru au amemdhuru, baada ya siku kadhaa, yule nyoka akaonekana chumbani kwake katika suruali, akaulizwa, hapo ndipo aliugua karibu kifo.

Baadae akajikuta tu anavunjika mfupa wa mguu, bila kujikwaa chochote. Hapo napo aliota ndoto ya ajabu, mara hiki na kile, anaamka asubuhi anaenda kusali, anarudi, mguu ukapata shida.

Stori ya huyu ndugu inanifanya niendelee kuiogopa Tanga. Na pia inanifanya nione jamii ya kiafrika Ina ushenzi fulani, kwa baadhi yetu.

Pumzika kwa amani Hussein Jumbe.
Story Nzuri SANA Ila hujaipangilia ipasavyo
 
Kuna watu wanaenda makwao kwa timing, akienda hasemi, anashtukiza kafika, akiondoka haagi.

Maofisini matunguri mwanzo mwisho, ukizubaa, wanakuondoa, mazishi alasiri
Tuishi kijanja... pia haya mambo ya kupeana mikono ovyo ovyo hayafai. Kuaga pia haifai. Kwa kikwetu kumuuliza mtu mzima "unaenda wapi?" ni kama kosa ingawa sio kosa. Binafsi hilo swali huwa sijibu na nikijibu nitakuwa nimekuheshimu kwa kukutajia sehemu tofauti. Na haya mambo ya kuleteana mazoea hadi mnatembeleana majumbani ovyo ovyo hayafai. Kimsingi kulogwa ni jambo ambalo ili lifanikiwe vizuri ni hadi mwili wako uguswe physically. So mtu anayeweza kukufikia kwa karibu ndo anaweza kufanikisha kirahisi. Hii ndo sababu ya watuhumiwa wengi wa haya mambo huwa ni watu wa karibu.
 
Na utakuta mashambulizi yote ni kutoka kwa ndugu wa karibu kabisa ni kwa sababu tu wanataka uwe na maisha magumu,uteseke na wala usifanikiwe chochote,dunia hii ina visa sana.
Kwa taratibu za kichawi ni rahisi kulogeka endapo mchawi ataweza kukufikia kwenye mwili wako, nguo au msosi. Inawezekana kuna watu wengi nje nao wanakuloga ila wanafeli kwasababu uchawi wireless ni ngumu sana ku-connect
 
Nikipitia maisha ya Hussein Jumbe, naona kama hakuwa na furaha, japo alikuwa anatumia muda mwingi katika kumbi za burudani zilizotarajiwa au zinazosemwa ni sehemu za furaha.

Moyo wake ulijaa mambo mazito, mzigo mzito, malalamiko, na kilio kwa Mungu. Alikuwa akionewa bila hatia. Hata uso wake haukuwa na Nuru ya furaha.

Mara kadhaa alilalamika kwamba Kuna vitendo vya kishirikina vilikuwa vinafanywa kwake. Aliugua sana, kipindi kile mpaka akatunga wimbo "nachechemea". Chanzo Cha kuugua, aliota nyoka anataka kumdhuru au amemdhuru, baada ya siku kadhaa, yule nyoka akaonekana chumbani kwake katika suruali, nyoka akauliwa na wanamtaa, hapo ndipo aliugua karibu kifo.

Baadae akajikuta tu anavunjika mfupa wa mguu, bila kujikwaa chochote. Hapo napo aliota ndoto ya ajabu, mara hiki na kile, anaamka asubuhi anaenda kusali, anarudi, mguu ukapata shida.

Stori ya huyu ndugu inanifanya niendelee kuiogopa Tanga. Na pia inanifanya nione jamii ya kiafrika Ina ushenzi fulani, kwa baadhi yetu.

Pumzika kwa amani Hussein Jumbe.

N.B: katika mahojiano fulani anaonekana kumsema kaka yake kwamba alikuwa anamzushia kuugua ngoma, kama kuzuia watu wasimsaidie, akapima akawa safi. Lakini bado anaumwa!!!!!

Medi Mpakanjia akampeleka Mombasa, akakutana na fundi, ndio akaponea huko, ila mchawi wake hakuchoka, aliendelea kumpa vitimbi. Bila shaka Sasa roho ya huyo mwanga itakuwa imetulia na atachinja kuku baada ya kusikia habari za kifo.

Sasa jamani mziki wa bendi posho kiduchu, ndio kumpiga mtu misumari hivyo?
Hakuna kitu kibaya duniani kama ugomvi wa kifamilia ama kati ya ndugu.. Lakini sometimes kinga za kiroho zinapokuwa chini bila hata ushirikina hakuna rangi utaacha kuona
Jumbe kwa sehemu kubwa kauliwa na hofu, hofu ya kurogwa na ndugu, hofu ya kurogwa na wasiompenda nknk.. Hiyo dhana ikishakuingia hata ukipaliwa utadhani umerogwa
 
Hakuna kitu kibaya duniani kama ugomvi wa kifamilia ama kati ya ndugu.. Lakini sometimes kinga za kiroho zinapokuwa chini bila hata ushirikina hakuna rangi utaacha kuona
Jumbe kwa sehemu kubwa kauliwa na hofu, hofu ya kurogwa na ndugu, hofu ya kurogwa na wasiompenda nknk.. Hiyo dhana ikishakuingia hata ukipaliwa utadhani umerogwa
Sure. Hofu hupukutisha afya.
 
Ukweli jamii zetu zimejaaa mambo mweusi. Na Kuna watu Hawa amini hata kidogo... Ila yakukukuta ndio unateseka sanaa hadi uje kugundua... Isha kula kwako. Muhimu watu tujue kuwa ulimwengu huu unamachaguo mawili tu. Kuwa mcha Mungu au kuwa mshirikina. Ukikaa katikati imekula kwako😁😁
usiku wa kuamkia jana nimeona kaja mgeni hapa kwangu anapiga hodi, nilipofungua door ni rafiki yangu wa enzi za shule ila ghafla alitoa mkuki na kunichoma tumboni

pia kuna hii ndoto naiota toka mwaka jana kati kati, kwamba nipo kitandani natoa uzi mrefu mdomoni usiokuwa na mwisho
 
Nikipitia maisha ya Hussein Jumbe, naona kama hakuwa na furaha, japo alikuwa anatumia muda mwingi katika kumbi za burudani zilizotarajiwa au zinazosemwa ni sehemu za furaha.

Moyo wake ulijaa mambo mazito, mzigo mzito, malalamiko, na kilio kwa Mungu. Alikuwa akionewa bila hatia. Hata uso wake haukuwa na Nuru ya furaha.

Mara kadhaa alilalamika kwamba Kuna vitendo vya kishirikina vilikuwa vinafanywa kwake. Aliugua sana, kipindi kile mpaka akatunga wimbo "nachechemea". Chanzo Cha kuugua, aliota nyoka anataka kumdhuru au amemdhuru, baada ya siku kadhaa, yule nyoka akaonekana chumbani kwake katika suruali, nyoka akauliwa na wanamtaa, hapo ndipo aliugua karibu kifo.

Baadae akajikuta tu anavunjika mfupa wa mguu, bila kujikwaa chochote. Hapo napo aliota ndoto ya ajabu, mara hiki na kile, anaamka asubuhi anaenda kusali, anarudi, mguu ukapata shida.

Stori ya huyu ndugu inanifanya niendelee kuiogopa Tanga. Na pia inanifanya nione jamii ya kiafrika Ina ushenzi fulani, kwa baadhi yetu.

Pumzika kwa amani Hussein Jumbe.

N.B: katika mahojiano fulani anaonekana kumsema kaka yake kwamba alikuwa anamzushia kuugua ngoma, kama kuzuia watu wasimsaidie, akapima akawa safi. Lakini bado anaumwa!!!!!

Medi Mpakanjia akampeleka Mombasa, akakutana na fundi, ndio akaponea huko, ila mchawi wake hakuchoka, aliendelea kumpa vitimbi. Bila shaka Sasa roho ya huyo mwanga itakuwa imetulia na atachinja kuku baada ya kusikia habari za kifo.

Sasa jamani mziki wa bendi posho kiduchu, ndio kumpiga mtu misumari hivyo?
Hatupaswi kuhukumu kwa hoja za upande mmoja.
 
Back
Top Bottom