Maisha ya Hussein Jumbe ni ushuhuda tosha kwamba jamii zetu zina wachawi, watu wenye roho mbaya sana na makatili. Tuwe na Imani kwa Mungu

Wewe unawaweza wajinga wajinga wengine wenye akili ndogo Mimi akili kubwa nakupa sipana za Moto hadi unani-ignore shida nini Moto imezidi au sio unawaka Moto hapo ulipo ? Nimekutia sipana za kichwa hadi unanikimbia
 
Kwa mara ya kwanza Kiranga katupa Taulo Chini belegezezi unawaweza wajinga wajinga tu humu unawapelekesha na philosophy na theory zako za kukaririshwa na wagiriki huko kumbe kichwani empty
 
Wewe Bwana Kiranga acha ubishi wako huo. Hayo mambo ni kweli hata tusipodhibitisha kwa sasa.
Wewe kwanza jifunze tofauti ya kudhibitisha na kuthibitisha.

Inaonekana Kiswahili tu kinakupiga chenga, acha kujishebedua kwenye haya makubwa zaidi.
 
Hakuna uchawi. Ni watu tu wanaendekeza imani za uchawi.

We jamaa hivi kuna kitu ambacho unakikubali?

Uchawi unatajwa kwenye vitabu vingi achilia mbali simulizi.

Kwako kila kitu unaona hakifai kuaminiwa bila kujali ushahidi wa matukio wanayokutana nayo.

Basi uheshimu tu kama vile ambavyo wewe hupangiwi juu ya imani zako.
 
Uchawi unatajwa kwenye vitabu vingi vipi?

Kutajwa katika vitabu vingi ndiyo kunafanya uchawi uwepo?

Mbona James Bond 007 katajwa katika vitabu vingi, na licha ya hilo, ni character wa hadithi tu?

Unaposema naona kila kitu hakifai una maana gani? "Kila kitu" maana yake nini?

Kwani wapi nimesema siheshimu?
 
Hizi habari za ulozi, Ulaya waliachana nazo enzi za The Dark Age yaani Miaka ya 1700 na kuingia kipindi cha Reinnassance! Leo hii mwaka 2023 Wabongo wanawaza ulozi halafu wanashangaa kwanini hawaendelei! This country bwana!!!
 
Hizi habari za ulozi, Ulaya waliachana nazo enzi za The Dark Age yaani Miaka ya 1700 na kuingia kipindi cha Reinnassance! Leo hii mwaka 2023 Wabongo wanawaza ulozi halafu wanashangaa kwanini hawaendelei! This country bwana!!!
Unajua Ulaya waliachanaje na ulozi? Watu waliuwawa sana, waliuwawa sana wachawi, hata ukihisiwa tu, hukumu ni kifo, Tanzania lilianza Jeshi la sungusungu lilikuwa linawachapa fimbo kwelikweli, kama unakumbuka skendo iliyomuondoa Ali Hassan Mwinyi madarakani, moja wapo ilikuwa skendo ya sungusungu kuwanyoosha wachawi.

Bahati mbaya au nzuri yakaingia masuala ya haki za binadamu kutoka kwa wazungu, na wazungu waliyaleta baada ya wao kuwamaliza wachawi kwao.
 
wewe njoo shinyanga mtu anasali na hirizi...anmiliki kanisa na anatibiwa kwa chale kinyeji...
Hayo yote yanaweza kuwa matokeo ya ujinga tu, hakuna uthibitisho wa uchawi hapo.

Kusali kwa hirizi, hili huhitaji kuwa na uchawi kufanya, hata kwenye movies watu wanafanya.

Kumiliki knisa huhitaji uchawi, ingekuwa hivyo tungesema Papa ni mchawi.

Kutibiwa kwa chale hakuthibitishi uchawi, pengine ni utamaduni tu.
 
wewe muumini ukatibiwe kwa mganga wa kienyeji....acha upuuzi wako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…