Kazi ya mpumbuvu ni kupinga ukweli,kama hakuna uchawi hili jina uchawi lilitoka wapi?Hakuna uchawi. Ni watu tu wanaendekeza imani za uchawi.
Hakika mfano wa hungaji wanafanya uchawi wazi wazi kabisa alafu wanaupondaJamii za Kitanzania nyingi kama sio zote zinafanya uchawi ila tunapenda sana kujibaraguza kujifanya hatuamini uchawi!
Nyiyi watu wamazigaobwe hata nyiyi ni wachawi tu mlio jificha kwenye kichaka cha urokole kuwa pumbaza wajingaKosa kubwa sana. Ila kwa kuwa tumepewa neema ya kuombeana, kwa jina la Yesu nakufungua na vifungo vya mauti kuanzia sasa kwa jina la Yesu. Bwana Mungu akutetee mbele ya watesi wako. Walilolikusudia lisifanikiwe kwa jina la Yesu.
Mantiki ya hoja yako ni kwamba kila kitu kinachosemwa na kupewa jina kipo.Kazi ya mpumbuvu ni kupinga ukweli,kama hakuna uchawi hili jina uchawi lilitoka wapi?
Kuna kitu kinaitwa ulimwengu wa giza ambao kwa macho ya kawaida uwezi kuona. Katika ulimwengu wa giza kuna shetani na malaika zake ambao ni roho na kwa taarifa yako ndiye anatawala huu ulimwengu pasipo mwanadamu kujua. Sasa hizo roho zina uwezo wake wa kutengeneza vitu na kuleta uharibifu mkubwa sana kwa mwanadamu. Hizo roho ziko katika makundi mengi sana na ninachelea kukuambia kwamba dini nyingi unazoziona hapa duniani aliyeanzisha ni hizo roho hili kunfanya mwadamu hasimjue Mungu wa kweli. Makundi mengine ni ya wachawi ambao wana uwezo wa kugeuza mwanadamu kuwa kitu cha ajabu. Nenda Google utapata maelezo zaidi maana muda hautoshi. Wewe ushukuru Mungu hujakutana nao na endelea hivyo hivyo hiyo itakusaidia maana ukiwaamini pia ni tatizo maana kila kitu kwako utaona umelogwa na ukishaanza kwenda kwa waganga basi umeshaunganshwa nao teyari.Uchawi ni nini? Tuanzie hapo kwanza.
Unaweza kuthibitisha huo ulimwengu wa giza wa shetani na malaika wake upo kweli na si hadithi za mapokeo zinazorudiwa vizazi na vizazi na watu wasiozihoji kwa kina tu?Kuna kitu kinaitwa ulimwengu wa giza ambao kwa macho ya kawaida uwezi kuona. Katika ulimwengu wa giza kuna shetani na malaika zake ambao ni roho na kwa taarifa yako ndiye anatawala huu ulimwengu pasipo mwanadamu kujua. Sasa hizo roho zina uwezo wake wa kutengeneza vitu na kuleta uharibifu mkubwa sana kwa mwanadamu. Hizo roho ziko katika makundi mengi sana na ninachelea kukuambia kwamba dini nyingi unazoziona hapa duniani aliyeanzisha ni hizo roho hili kunfanya mwadamu hasimjue Mungu wa kweli. Makundi mengine ni ya wachawi ambao wana uwezo wa kugeuza mwanadamu kuwa kitu cha ajabu. Nenda Google utapata maelezo zaidi maana muda hautoshi. Wewe ushukuru Mungu hujakutana nao na endelea hivyo hivyo hiyo itakusaidia maana ukiwaamini pia ni tatizo maana kila kitu kwako utaona umelogwa na ukishaanza kwenda kwa waganga basi umeshaunganshwa nao teyari.
Je, unatambua uwepo wa Sayansi nje ya hii ya darasani? Na makuu yake?Bado hujajibu swali langu, maana na wewe pia unatakiwa uishi kwa kanuni yako uliyonipa.
Kanuni ya kujiwekea kwamba inawezekana ukawa hujui ni nzuri, na mimi ndiyo maana sikukuambia wewe hujui, mimi najua.
Nimekuuliza tu. Tutajuaje (wote) kwamba maneno yako ni ukweli na si hadithi za kujidanganya tu?
Tuweke njia ya uhakiki vizuri ili tusiende kwa mihemko ya kutaka upande fulani ushinde ligi.
Tutajua vipi haya maneno yako ni ukweli na si hadithi za kujidanganya tu?
Huj
Na wakinga..,waha,wakerewe , mbeya huko na wasukuma pia Ni watu wa pwani..mkuu..maana wanajipaka mpaka mafuta ya Binadamu!Hiyo yote ni pwani tamaduni nimemaanisha Zanzibar yote, Yanga, Dar, mtwara na lindi, Pwani
Sayansi ni nini kwanza?Je, unatambua uwepo wa Sayansi nje ya hii ya darasani? Na makuu yake?
mchawi hanaga sababu kwenye kuroga...anaweza hata kukuroga just kwa sababu una kipara!!Sasa jamani mziki wa bendi posho kiduchu, ndio kumpiga mtu misumari hivyo?
Hakuna kitu kibaya duniani kama ugomvi wa kifamilia ama kati ya ndugu.. Lakini sometimes kinga za kiroho zinapokuwa chini bila hata ushirikina hakuna rangi utaacha kuona
Jumbe kwa sehemu kubwa kauliwa na hofu, hofu ya kurogwa na ndugu, hofu ya kurogwa na wasiompenda nknk.. Hiyo dhana ikishakuingia hata ukipaliwa utadhani umerogwa
Jibia kulingana na Tafsiri uliyonayo wewe, ili tusirefushe mjadala.Sayansi ni nini kwanza?
Kila kitu ni hatari ila tu kinatumiwaje.Jibia kulingana na Tafsiri uliyonayo wewe, ili tusirefushe mjadala.
Wana makorokocho Yao tofauti, Mimi nazungunzia madawa Fulani wanajipaka Yana hafufu Fulani mbaya inayofanana. Hao watakuwa na ushirikina wao ila wa pwani ndio hujipaka hayo na sijui mganga wao ni mmoja? Maana unakuta mfanyakazi kapaka ili aogopewe na boss. na boss naye kapaka ili aogopewe na mfanyakazi. Sasa wewe wa mataifa ukifikan ofisini kwake au upo naye siyo Moja kwenye CHOMBO Cha usafiri Cha moto utakiona hilo liharufu la kukera ila yeye yupo comfortableNa wakinga..,waha,wakerewe , mbeya huko na wasukuma pia Ni watu wa pwani..mkuu..maana wanajipaka mpaka mafuta ya Binadamu!