Serikali yenyewe inahamasisha kamari kupitia TBC.hii kitu bila serekali kuingilia kati tunaenda pabaya km taifa
wapige marufuku aya matangazo ya kubet yamekuwa mengi mno ndo yanahamasisha watu kubet
Ushauri murua kabisa huuKubet kumefanya vijana kuhisi MAFANIKIO ni kitu cha ghafla kama chafya vile, kijana akiaangalia mkeka unasoma 5 million kama ukitiki sasa anaanzaje kutafuta kazi na kazi tayari yupo nayo.
Ila kwa namna nyingine vijana nao hawaitumii nafasi nzuri ya kubet kujiendeleza kwa kufanya deep analysis ya team wanazozibetia na stakes zake au odds zinazotolewa ili kujipatia kipato zaidi badala yake wanafata mkumbo au mahaba.
Kijana fanya sasa betting ndio ajira yako let say ndio Duka lako (online shop) then mtaji wako ni 5,000 ndio umechora Mkeka wako pale na umefanya feasibility analysis week nzima kuchambua zile team zako angalau 5 as a minimum. Then boom umepiga 1 million au hata 300K tumia 50k nyingine wekeza sehemu hata fungua kiduka uuze vocha au tigopesa cha kujishkiza.
TATIZO kijana akimfumua muhindi pesa yote anaifanyia ujinga anatumbua YOTE pombe na madem sasa hapo betting itamsaidia.
Mimi pia nabet. Naomba ajira niache kubet mkuuVijana wakubet na Kamari wenyewe Hawa Cha kujishughulisha Tena na kufanya kazi. Atashinda Ndani Masaa 24 ni kula, kubet Kamari.
Wenye Kazi nao, wamejikuta hawana Juhudi Tena ya kazi zao,kazi wanafanya tu ilimradi.
Serikali ya Ovyo nayo inajisifu, Et Kamari imetengeneza Ajira asilimia.
Taifa linazidi Kudidimia, Taifa linaenda kua na Kizazi ambacho Ubongo wake haunguki, kizazi Cha wasopenda kazi, wavivu wazembe, wenye kupenda Hela ila hawapendi kazi.
Yaani Taifa ambalo Baba ni Mbetishaji, Mama Mbetishaji, watoto Kamari.