Maisha ya Kamari yamefanya Vijana wawe wavivu, wazembe ,wasofanya kazi Kwa Bidii

Maisha ya Kamari yamefanya Vijana wawe wavivu, wazembe ,wasofanya kazi Kwa Bidii

hii kitu bila serekali kuingilia kati tunaenda pabaya km taifa

wapige marufuku aya matangazo ya kubet yamekuwa mengi mno ndo yanahamasisha watu kubet
Serikali yenyewe inahamasisha kamari kupitia TBC.
 
Kubet kumefanya vijana kuhisi MAFANIKIO ni kitu cha ghafla kama chafya vile, kijana akiaangalia mkeka unasoma 5 million kama ukitiki sasa anaanzaje kutafuta kazi na kazi tayari yupo nayo.

Ila kwa namna nyingine vijana nao hawaitumii nafasi nzuri ya kubet kujiendeleza kwa kufanya deep analysis ya team wanazozibetia na stakes zake au odds zinazotolewa ili kujipatia kipato zaidi badala yake wanafata mkumbo au mahaba.

Kijana fanya sasa betting ndio ajira yako let say ndio Duka lako (online shop) then mtaji wako ni 5,000 ndio umechora Mkeka wako pale na umefanya feasibility analysis week nzima kuchambua zile team zako angalau 5 as a minimum. Then boom umepiga 1 million au hata 300K tumia 50k nyingine wekeza sehemu hata fungua kiduka uuze vocha au tigopesa cha kujishkiza.

TATIZO kijana akimfumua muhindi pesa yote anaifanyia ujinga anatumbua YOTE pombe na madem sasa hapo betting itamsaidia.
Ushauri murua kabisa huu
 
Hili taifa siyo la baba yako wacha wapotee tu.No hurry in Africa,usiumize kichwa sana linapo kuja suala linalo husu Africa na uongozi wake au na kili kitu kilichomo Africa.Professor Lumumba anasema tatizo la Africa wenge madaraka hawana akili za maendeleo na wenye akili za maendeleo hawana madaraka,ila akashangazwa kwamba unapokuja uchaguzi nguvu ya hao wenye akili ya maendeleo kuwashobokea wenye madaraka ni ya kushangaza sana.Pia rejea Donald Trump alisha sema ukitaka Africa ibadirike inatakiwa iendelee kutawaliwa upya.Pia bear in your mind that hakuna hata raisi mmoja katika bara hili anaye tawala bara hili hawa wote maraisi wa Africa ni vivuli tu vya mataifa makubwa,Akitokea mpiga kelele mmoja anauliwa chini kwa chini ili bara la Africa liendelee kutawaliwa.Sasa vijana wa Africa wasipowekewa mkazo kwenye kubet si itakuwa vigumu kuwatawala huko mbele?Inabidi wajengewe mazingira ya kuwachanganya na maisha kiasi kwamba wasiwaze hata kesho yao itakuweje.

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Wakibadilisha mfumo mbovu wa elimu ya kikoloni na kuacha kutumia akili bandia na wazee wasio na mchango wowote katika sekta nyeti ndani ya nchi wanao vurunda kila kukicha . Na badala yake wakawekeza katika matumizi mazuri ya nguvu na akili za hali ya juu zinazotumiwa na vijana kubet taifa litafika mbali sana na kuokoa vijana wengi.

Swali..

Hiv mlilishawahi kujiuliza haya maswali

i) ba+ ba= Baba

ii) ba +ba = 2ba ( kwanini isiwe na hii ""baba"

iii) 2+2 = 4 ( kwanini isiwe 22 kama msingi ulivyojengwa tokea utotoni kupitia swali kipengle cha kwanza)

Je, mlishawahi kujiuliza kwanini hii hesabu inakua hivyo na je, zinakusaidia nini basi wewe katika kujiajiri na kujikwamua kiuchumi ili uweze kujitegemea na kulipa kodi halali kwa maendeleo ya Taifa lako bila kukuletea mchanganyo mchanganyo kama ilivyo hapo juu?

Nb: Mfumo wa uchumi wa vijana na taifa husika umeathiriwa na mfumo wa elimu walioipata vijana miaka yote wa wapo mashuleni na vyuoni huku wakipewa karatasi lisilo wasaidia kujiajiri wala kuajiriwa popote pale ,bali wazee wao wakizidi kung'ang'ania madaraka na sekta za kiuchumi wasizo na uwezo nazo badala ya kukaa pembeni na kuwaachia vijana


Nb: MSINGI UKIWA MBOVU NYUMBA HUHARIBIKA, JE SWALI LA KIPENGELE CHA KWANZA HUKO JUU SINDIYO MSINGI ULIVYO ?

Ba + ba = baba

Kwanini basi ubadilike kila unaposogea mbele?
 
Vijana wakubet na Kamari wenyewe Hawa Cha kujishughulisha Tena na kufanya kazi. Atashinda Ndani Masaa 24 ni kula, kubet Kamari.

Wenye Kazi nao, wamejikuta hawana Juhudi Tena ya kazi zao,kazi wanafanya tu ilimradi.

Serikali ya Ovyo nayo inajisifu, Et Kamari imetengeneza Ajira asilimia.

Taifa linazidi Kudidimia, Taifa linaenda kua na Kizazi ambacho Ubongo wake haunguki, kizazi Cha wasopenda kazi, wavivu wazembe, wenye kupenda Hela ila hawapendi kazi.

Yaani Taifa ambalo Baba ni Mbetishaji, Mama Mbetishaji, watoto Kamari.
Mimi pia nabet. Naomba ajira niache kubet mkuu
 
Back
Top Bottom