Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaukumbi.
Maisha ya kawaida yanaendelea katika Eneo Maalum la Kiuchumi la Bandari ya Imam Khomeini huko Khuzestan huku Israel ikidai mashambulizi dhidi ya malengo ya jeshi la Iran.
View: https://x.com/haiderali099/status/1850040504513163449?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Lazima maisha ya kawaida yaendelee, lengo la mashambulizi ilikuwa shabaha za kijeshi. Na hili limefanyika kikamilifu. Maeneo ya kiraia hawana haja ya kuwa na hofu wao si walengwa
Unalia dogo ....Leta video zako ila tunafanya censorship kwanza , acha uongo.! 😀Acheni kushare video Ayatollah kaongea na Allah kuwa atakaye share video za athari jela miaka 10.. so acheni kumdharau Allah