Maisha ya kutegemea nyumbani, ndugu, wazazi, jamaa na marafiki 'yamewalostisha' vijana wengi

Maisha ya kutegemea nyumbani, ndugu, wazazi, jamaa na marafiki 'yamewalostisha' vijana wengi

Mboka man

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2020
Posts
478
Reaction score
1,647
Hii tabia ya kukaa nyumbani alafu hujishughulishi na issue yeyote ile ya kukuletea pesa imewarostisha vijana wengi.

Maisha ya kukaa kutegemea nyumbani, wazazi, ndugu, marafiki na jamaa wawe ndo wanaendesha maisha yako iko siku utakuja kulostiii alafu hutoamini hapa tulipo kuna jamaa yetu alikuwa anaishi kwao kwa shemeji yake saivi.

Mambo yamebadilika nyumba ya shemeji yake inapigwa mnada na benki jamaa ana haha hatari na hajui nini cha kufanya.
 
Vijana tukishaonaga tupo kwenye hali ambayo siku zinaenda bila shida hua tunasahau kabisa kuhusu siku zijazo
Na ukijaribu kumwambia atafute hata kibarua cha kujishughulisha anaona humpendi unamtakia mabaya.
 
mnatokea familia za kifukara mnandugu mafukara ndo maana hamuwez kuendelezwa kwa chochote nawasikitikia sana wategemezi wanaojua familia zao duni na wanazitegemea
 
Sasa si muwasaidie kuwatafutia kazi

kuna brother wangu ilikuwa kila weeke hunipa k50 alafu nikimwambia suala la misheni kiswahili kibao nikaona ujinga nikachonga dili na afande niwekwe ndani aje anitoe kwa pesa nipate mtaji likachezwa dili la pesa kama m2 kutoka ndani kweli ikaletwa baada ya wiki mbili nikampa afande laki tano nyingine nikaanza mishe zangu kwa siri siku shemeji ananichoka mi nimenunua kiwanja nimejenga na familia juu hawakua amin [emoji6][emoji6] maisha mipango kaen bila mipango mnazani kuna watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si muwasaidie kuwatafutia kazi

kuna brother wangu ilikuwa kila weeke hunipa k50 alafu nikimwambia suala la misheni kiswahili kibao nikaona ujinga nikachonga dili na afande niwekwe ndani aje anitoe kwa pesa nipate mtaji likachezwa dili la pesa kama m2 kutoka ndani kweli ikaletwa baada ya wiki mbili nikampa afande laki tano nyingine nikaanza mishe zangu kwa siri siku shemeji ananichoka mi nimenunua kiwanja nimejenga na familia juu hawakua amin [emoji6][emoji6] maisha mipango kaen bila mipango mnazani kuna watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha safi sana
 
Hii tabia ya kukaa nyumbani alafu hujishughulishi na issue yeyote ile ya kukuletea pesa imewarostisha vijana wengi.

Maisha ya kukaa kutegemea nyumbani, wazazi, ndugu, marafiki na jamaa wawe ndo wanaendesha maisha yako iko siku utakuja kulostiii alafu hutoamini hapa tulipo kuna jamaa yetu alikuwa anaishi kwao kwa shemeji yake saivi.

Mambo yamebadilika nyumba ya shemeji yake inapigwa mnada na benki jamaa ana haha hatari na hajui nini cha kufanya.
Inasikitisha kweli jamani tumtegemeea muumba ata kama unaenda kuishi wapi ww jiripue kivyakovyako kwa kuamini kua yupo anaekusimamia
 
Sio kweli hii misemo ya kimaskini tu.

Sasa kama ndugu yangu Bakhresa? au Mo naanzaje kufa maskini?
Ata uwe na ndugu bill geti kukugaia chake mpaka apende Na huwez kumlaumu au kumsema wewe pambana upate chako ,,,Na nakusihi kwenye maisha ili uishi vizur miliki chako
 
Hii tabia ya kukaa nyumbani alafu hujishughulishi na issue yeyote ile ya kukuletea pesa imewarostisha vijana wengi.

Maisha ya kukaa kutegemea nyumbani, wazazi, ndugu, marafiki na jamaa wawe ndo wanaendesha maisha yako iko siku utakuja kulostiii alafu hutoamini hapa tulipo kuna jamaa yetu alikuwa anaishi kwao kwa shemeji yake saivi.

Mambo yamebadilika nyumba ya shemeji yake inapigwa mnada na benki jamaa ana haha hatari na hajui nini cha kufanya.
Sasa kama Hana kazi akaibe,kaa home kula bure ,lala bure ,oga bure😅
 
Back
Top Bottom