Maisha ya kutegemea nyumbani, ndugu, wazazi, jamaa na marafiki 'yamewalostisha' vijana wengi

Maisha ya kutegemea nyumbani, ndugu, wazazi, jamaa na marafiki 'yamewalostisha' vijana wengi

Inatakiwa hekima, ubinadamu na utukufu wa Mungu Kwa mwenye shibe kumkumbuka mwenye NJAA.....
 
Hii tabia ya kukaa nyumbani alafu hujishughulishi na issue yeyote ile ya kukuletea pesa imewarostisha vijana wengi.

Maisha ya kukaa kutegemea nyumbani, wazazi, ndugu, marafiki na jamaa wawe ndo wanaendesha maisha yako iko siku utakuja kulostiii alafu hutoamini hapa tulipo kuna jamaa yetu alikuwa anaishi kwao kwa shemeji yake saivi.

Mambo yamebadilika nyumba ya shemeji yake inapigwa mnada na benki jamaa ana haha hatari na hajui nini cha kufanya.
Sasa kama Hana kazi akaibe,kaa home kula bure ,lala bure ,oga bure
 
Back
Top Bottom