Maisha ya machimbo ya dhahabu ni zaidi ya jeshi, nilikimbia

Maisha ya machimbo ya dhahabu ni zaidi ya jeshi, nilikimbia

Hapa tunaelezea risk zilizopo kwenye machimbo ili kutoa mwanga kwa watu ambao hawajawahi kufanya shughuli kama hizo na wanataka kujaribu.

Unajua wengi wasiojua, wakisikia neno dhahabu wanajua ni kitu simple na kinapatikana kirahisi?

Upande mzuri kuhusu madini pia upo ila upande huo ili uweze kuona neema zake basi hakikisha unakuwa na mtaji mkubwa.

In short ni kwamba kwenda kuchimba dhahabu ukiwa huna hela kwa lengo upate hela ni worse idea.

Kwasababu utalazimika kufanya kazi katika mazingira magumu na ya hatari kwa guarantee ya kipato kidogo.

Ukiwa huna hela itakulazimu tu uchimbe machimbo yasiyohitaji mtaji, labda kuokota mawe au ukasambaze (kubinuka)

Ambapo huko kwenye mawe ili angalau upate pesa ya kueleweka itakubidi upate sehemu yenye mawe yenye dhahabu nyingi.

Mfano kule kuna kipimo cha makadirio kujua kiwango cha dhahabu kilichopo kwenye mawe.

Hicho kipimo kinakadiliwa kupitia idadi ya ujazo wa mawe kwenye kile kiroba cha jumla cha sabuni ya unga. Kule ujazo huo unafahamika kwa neno "dumu"

Sasa ili at least uonekane upo kwenye malengo basi walau kila dumu liwe na possibility ya kutoa point 2.

Ambapo point 1 sawa na 10,000 and this is high maximum approximation. Sio rahisi dhahabu ya kutoka karashani kuuzwa bei hiyo labda ichomwe na chemicals iwe pure.

Na mind you, the more you melting it to get it pure, the more weight decreasing.

So ni msala hakuna nafuu.

Sasa angalia hali ya sasa ilivyo pamoja na kwamba unaona pointi 2 ambayo value yake ni sawa na 20,000 (kwa makadirio ya juu) unaweza kuona kama sio kubwa hiyo pesa ukilinganisha na upatikanaji wake.

Lakini katika hiyo hela kumbuka kila dumu kuna percent utakuwa unakatwa kwa ajili ya kulipia huduma ya kusagiwa mawe kwa mwenye karasha.

Angalia sasa hali ilivyo, ni kwamba ni vigumu sana kupata eneo ambalo utapata mawe yenye sample ya point 2 kwa dumu moja.

Sehemu ambayo utakuta kuna mawe yenye sample yenye kutoa point zaidi ya 2 kupanda juu. Mara nyingi hiyo sio sehemu salama.

Mfano kuna kijiji kimoja kinaitwa "Shoga" huko ziliwahi kufunguka yani dumu moja lilikuwa linatoa hadi Gram kasoro lakini usalama wake ulikuwa mdogo.

Watu walikuwa ni wengi, na penye wengi kuna mengi, watu wako ladhi kukuua ili wakupore gema.

Ndugu yangu kama una ndoto ya kwenda kwenye madini jaribu kuangalia hizi changamoto na uzipime kama unaweza kuzimudu.

Ukiona unaziweza basi unaweza kwenda, ila usije ukaenda ukategemea kitu tofauti na hiki nilichokiandika kwa kudhani mambo ni simple.

Unaweza ukakutana na makubwa mengine ambayo hata hapa mimi sijayaandika.
Ningetangulia kuusoma huu uzi wala nisingeenda machimboni kabisa..
Ila nilienda mwezi wa kumi na moja mwaka huu nimerudi mwezi wa kumi na mbili kati kati aisee aisee aisee..
Na sisi tulifungua duara tukiwa wanne tu so mgao unaenda kwa jina kamili ama jina nusu.
Na huko ni mgodi wa dhahabu pure ama vikole na sample..
Oyaa nyie viroba 30 vinatoa pointi mbili au mbili na nusu daily na hapo mko karibia tisa pamoja waoshaji kwenye ushirika huo.
Nilichoishia kukipata huko ni elfu ishirini mpya mpya tu
Sijapata hata ile ya kujitetea maisha yangu..
Hapa nilikuwa nimekaa navuta pumzi niibukie huko mbeya mara paaap uzi huu hapa..
Na hapo mimi ni nyoka tu wa fonko.
Aisee sijui niende mgodi mwingine sijui nitafute vibarua vingine nifanye tu maana daah sio poa..
Au niende Shinyanga kwenye almasi yaani hata sielewi niko dilema wakuu
 
Ningetangulia kuusoma huu uzi wala nisingeenda machimboni kabisa..
Ila nilienda mwezi wa kumi na moja mwaka huu nimerudi mwezi wa kumi na mbili kati kati aisee aisee aisee..
Na sisi tulifungua duara tukiwa wanne tu so mgao unaenda kwa jina kamili ama jina nusu.
Na huko ni mgodi wa dhahabu pure ama vikole na sample..
Oyaa nyie viroba 30 vinatoa pointi mbili au mbili na nusu daily na hapo mko karibia tisa pamoja waoshaji kwenye ushirika huo.
Nilichoishia kukipata huko ni elfu ishirini mpya mpya tu
Sijapata hata ile ya kujitetea maisha yangu..
Hapa nilikuwa nimekaa navuta pumzi niibukie huko mbeya mara paaap uzi huu hapa..
Na hapo mimi ni nyoka tu wa fonko.
Aisee sijui niende mgodi mwingine sijui nitafute vibarua vingine nifanye tu maana daah sio poa..
Au niende Shinyanga kwenye almasi yaani hata sielewi niko dilema wakuu
Sijui kuhusu upande mwingine wa hayo madini hali yake ikoje.

Ila dhahabu naijua misoto yake. Machimbo yanafilisi, machimbo yanahitaji roho ngumu haswa.

Ukishaona mpaka wamiliki wa makarasha wanafikia hatua ya kuwasagia watu bure ndio ujue kiasi gani soko limekuwa gumu.

Kama kuna ushauri ambao naweza kumpa kijana mwenzangu katika harakati za kujitafuta, siwezi nikamshauri afanye kazi ya machimbo hususan dhahabu.
 
Wale walioko kwenye Tanzanite na Almasi wanipe koneksheni basi nichomoke kutoka huku Rock city nizamie mgodini tupige kazi naamini wapo humu..wanaojua machimbo ikibidi na namba waweke kwa msaada zaidi..
 
Ningetangulia kuusoma huu uzi wala nisingeenda machimboni kabisa..
Ila nilienda mwezi wa kumi na moja mwaka huu nimerudi mwezi wa kumi na mbili kati kati aisee aisee aisee..
Na sisi tulifungua duara tukiwa wanne tu so mgao unaenda kwa jina kamili ama jina nusu.
Na huko ni mgodi wa dhahabu pure ama vikole na sample..
Oyaa nyie viroba 30 vinatoa pointi mbili au mbili na nusu daily na hapo mko karibia tisa pamoja waoshaji kwenye ushirika huo.
Nilichoishia kukipata huko ni elfu ishirini mpya mpya tu
Sijapata hata ile ya kujitetea maisha yangu..
Hapa nilikuwa nimekaa navuta pumzi niibukie huko mbeya mara paaap uzi huu hapa..
Na hapo mimi ni nyoka tu wa fonko.
Aisee sijui niende mgodi mwingine sijui nitafute vibarua vingine nifanye tu maana daah sio poa..
Au niende Shinyanga kwenye almasi yaani hata sielewi niko dilema wakuu
machimbo ni zaidi ya kamari,...nimechimba chunya,..lile life ni 🤐🔥🔥🙌🙌
 
Yap wewe mwenyeji na eneo hilo kabisa yani kulikuwa na kinu chenye mawe mawili meupe.

Lakini kama utakuwa unakumbuka pia maeneo fulani ya porini kule kwenye minara ya simu kama unaenda Mlima njiwa, kulikuwa kuna mzee mmoja anaitwa "Alialiu"

Huyu naye alikuwa ana karasha lake anasaga mawe.

Huyu mzee ana historia moja ya ajabu sana
Tupe hiyo historia ya huyo mzee mkuu
 
Ningetangulia kuusoma huu uzi wala nisingeenda machimboni kabisa..
Ila nilienda mwezi wa kumi na moja mwaka huu nimerudi mwezi wa kumi na mbili kati kati aisee aisee aisee..
Na sisi tulifungua duara tukiwa wanne tu so mgao unaenda kwa jina kamili ama jina nusu.
Na huko ni mgodi wa dhahabu pure ama vikole na sample..
Oyaa nyie viroba 30 vinatoa pointi mbili au mbili na nusu daily na hapo mko karibia tisa pamoja waoshaji kwenye ushirika huo.
Nilichoishia kukipata huko ni elfu ishirini mpya mpya tu
Sijapata hata ile ya kujitetea maisha yangu..
Hapa nilikuwa nimekaa navuta pumzi niibukie huko mbeya mara paaap uzi huu hapa..
Na hapo mimi ni nyoka tu wa fonko.
Aisee sijui niende mgodi mwingine sijui nitafute vibarua vingine nifanye tu maana daah sio poa..
Au niende Shinyanga kwenye almasi yaani hata sielewi niko dilema wakuu
Elekea Katoro au Kakola

Ukifika Katoro ulizia Lwamgasa
 
😹😹😹
Huyo baba yako mimba yako itakuwa mama yako alimsingizia..!!
Nimecheka hapo wewe ulivyochakaa kuliko uliokuwa unawashangaa mwanzo 🤣
 
Nimekwenda mchimbo ila, Kazi yangu ilikuwa ni kusupply water pumps kwa. Ajili ya kusafisha mchujo wa dhahabu, kwangu haikuwa kamali maana ni kazi mnapatana kabisa, ila kwa wachimbaji ni bahati nasibu sana
 
Hujapiga hata M5 in summation mkuu?
sijui labda,.. lakini kuna kipindi hadi msosi ilikuwa mzozo,....unashusha nyundo ukiwa na njaa,.....hili life hapana,.....kwa ufupi maisha ya chimbo yameniachia, funzo, trauma na makovu,..🙌🙌
 
sijui labda,.. lakini kuna kipindi hadi msosi ilikuwa mzozo,....unashusha nyundo ukiwa na njaa,.....hili life hapana,.....kwa ufupi maisha ya chimbo yameniachia, funzo, trauma na makovu,..🙌🙌
Kwa ushuhuda huu acha tu nikawe kondakta DSM tu nitatibu njaa
Na kumake chapaa japo ni ado ado but nitafika target hata kama ni baada ya miaka mitatu sawa
Maana naweka targets za miaka mitano mitano..
 
Ningetangulia kuusoma huu uzi wala nisingeenda machimboni kabisa..
Ila nilienda mwezi wa kumi na moja mwaka huu nimerudi mwezi wa kumi na mbili kati kati aisee aisee aisee..
Na sisi tulifungua duara tukiwa wanne tu so mgao unaenda kwa jina kamili ama jina nusu.
Na huko ni mgodi wa dhahabu pure ama vikole na sample..
Oyaa nyie viroba 30 vinatoa pointi mbili au mbili na nusu daily na hapo mko karibia tisa pamoja waoshaji kwenye ushirika huo.
Nilichoishia kukipata huko ni elfu ishirini mpya mpya tu
Sijapata hata ile ya kujitetea maisha yangu..
Hapa nilikuwa nimekaa navuta pumzi niibukie huko mbeya mara paaap uzi huu hapa..
Na hapo mimi ni nyoka tu wa fonko.
Aisee sijui niende mgodi mwingine sijui nitafute vibarua vingine nifanye tu maana daah sio poa..
Au niende Shinyanga kwenye almasi yaani hata sielewi niko dilema wakuu
Aisee mbona umekata moto mapema hivyo jomba ?
Miners huwa ni roho ya paka ,sasa wewe unakata tamaa mapema hivyo vipi wewe ,,?
 
Aisee mbona umekata moto mapema hivyo jomba ?
Miners huwa ni roho ya paka ,sasa wewe unakata tamaa mapema hivyo vipi wewe ,,?
Mjomba,, we only need to be stable financially and On top of that,, kuna kupiga mark-time huku ukiwa unapoteza kila kitu only to chase for money!!
Konda wa Dar analaza 25k to 15k per day thats a lot of money if well managed..
Hakuna kikubwa sana kurisk life lako underground ukisaka tofali man
 
Back
Top Bottom