Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Kazi zingine Mimi siyokuja kudhubutu kuzifanya hata niwe nimepigika kiasi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakaa unatunga uongo wa kitoto na kutuletea watu wazima humu!!:huo uongo wa kipumbavu wadanganye watoto wenzio.Dhahabu unayong'ara hupitishwa kwenye tanuru la Moto... Hakuna kitu rahisi kwenye utajiri, high risk high return jinsi unavyosacrifice Roho yako kutafuta utajiri siku ukitoboa unakuwa level nyingine kabisa
Kuna kaka mmoja nilikuwa sehem ya geita huko alikuwa akisimulia kaka ake alivyotoka kwenye umasikin na kuwa Tajiri wa kufa mtu, yeye alienda Kongo huko bila vibali nakumbuka Kongo kila hatua Kuna magaidi hawajawahi nyoa ndevu.
Sasa alienda huko na kuingia kwenye sehemu za madini unaambiwa alipofika alikaa sio chini ya miaka mitano kuchimba dhahabu Kwa jembe na nyundo huku wajeda wakija kukagua wenye vubali anajificha kwenye mashimo hata siku Tatu bila kula Wala Maji
Kufupisha tu story alikuja kupata jiwe la dhahabu maana Kuna Mawe wengine asilimia sabini ni dhahabu tupu, akaweka kwenye begi akaanza kukimbia pori Kwa pori kurudi Tanzania tena Kwa mguu alipofika kwenye misitu minene alikutana na makundi ya kigaidi waanza kumfurumusha Kwa risasi jamaa akawa anakimbia zigizaga akakuta mto akajirusha ndo pona yake akaja kuibukia ng'ambo japo mto ulikuwa na mamba wa kutosha alivuka salama.
Siku ya pili hajapata kitu mdomoni yupo na jiwe tu la dhahabu japo hana uhakika mpaka akaipime, bahati akafika ziwa tanganyika akapanda boti Kuja Tanzania alipofika kigoma akapanda gari la geita akaenda soko la madini, wakaisafisha lile jiwe akapata dhahabu kilo tano mzee mzima akaingiziwa mpunga CRDB
saizi ni Tajiri pale geita changanya Mali za Fred vunjabei na sandaland hawamfikii hata robo.
Hakuna jepesi hii Dunia ukitaka kubaki masikini basi endekeza uoga na usisumbue watu kuomba msaada wa pesa huwa mnakera
Anaitwa nani?Dhahabu unayong'ara hupitishwa kwenye tanuru la Moto... Hakuna kitu rahisi kwenye utajiri, high risk high return jinsi unavyosacrifice Roho yako kutafuta utajiri siku ukitoboa unakuwa level nyingine kabisa
Kuna kaka mmoja nilikuwa sehem ya geita huko alikuwa akisimulia kaka ake alivyotoka kwenye umasikin na kuwa Tajiri wa kufa mtu, yeye alienda Kongo huko bila vibali nakumbuka Kongo kila hatua Kuna magaidi hawajawahi nyoa ndevu.
Sasa alienda huko na kuingia kwenye sehemu za madini unaambiwa alipofika alikaa sio chini ya miaka mitano kuchimba dhahabu Kwa jembe na nyundo huku wajeda wakija kukagua wenye vubali anajificha kwenye mashimo hata siku Tatu bila kula Wala Maji
Kufupisha tu story alikuja kupata jiwe la dhahabu maana Kuna Mawe wengine asilimia sabini ni dhahabu tupu, akaweka kwenye begi akaanza kukimbia pori Kwa pori kurudi Tanzania tena Kwa mguu alipofika kwenye misitu minene alikutana na makundi ya kigaidi waanza kumfurumusha Kwa risasi jamaa akawa anakimbia zigizaga akakuta mto akajirusha ndo pona yake akaja kuibukia ng'ambo japo mto ulikuwa na mamba wa kutosha alivuka salama.
Siku ya pili hajapata kitu mdomoni yupo na jiwe tu la dhahabu japo hana uhakika mpaka akaipime, bahati akafika ziwa tanganyika akapanda boti Kuja Tanzania alipofika kigoma akapanda gari la geita akaenda soko la madini, wakaisafisha lile jiwe akapata dhahabu kilo tano mzee mzima akaingiziwa mpunga CRDB
saizi ni Tajiri pale geita changanya Mali za Fred vunjabei na sandaland hawamfikii hata robo.
Hakuna jepesi hii Dunia ukitaka kubaki masikini basi endekeza uoga na usisumbue watu kuomba msaada wa pesa huwa mnakera
Huko wanaopata ni wachache wachimbaji wako hoiNJOO KAHAMA WEWE MBONA WATU HAPA SEGESE WANAPATA DHAHABU VBYA MNOO
MBEYA CHUNYA HAMNA DHAHABU KBSA
Mkuu ulikua unaanguliwa nini[emoji3][emoji3]
Huko kuko kama kama za wakimbizi wa sudan....kumejaa maturubali na vibanda wanaopata hupata kidogo sanaNljichanganya nkaenda mwakitolyo bila mtaj nkasema ntakomaa asee[emoji119] kwanza jua n kal sana kulko sehem yoyote tanzania dhahabu kupatikana nikwa mbinde sana yan unachakaa mpaka unajisahau siku ukitaka kwenda mjin inabid upumzke hata siku mbil kwanza unyoe uoge mara mbil mbil il kesho hata ukienda mjin uonekane n mtu. Machimbon maisha ni ghal sana na hela ni ngum sana kupatikana
Mkuu, mbona unafoka tena🙄🙄Unakaa unatunga uongo wa kitoto na kutuletea watu wazima humu!!:huo uongo wa kipumbavu wadanganye watoto wenzio.
Wanapata pesa kiduchu ...tajiri nae yuko mob na wenzake wakipata 100m wanagawana na kuishi kunywa bei n wanawakeMkuu....
Hiyo Busulwangili, Nyalwanzaja, Namba 9, Namba 2 unauonaje mziki wake kwa wachimbaji wadogo...??
Njoo huku ruangwa tupige kaziGemstone ni tofauti na dhahabu istoshe huko kwenye gemstone mtu kupiga 500m ni kawaida ...kwenye dhahabu wanapata pesa ndogo wanaishia kununua crown n kluger tu
Na Hilo swala la vipimo lina habari yake wakati Mboma (Msafwa mwenzake na rafiki yake) akiwa mkuu wa majeshi( Hapa sitagusia[emoji3][emoji119])
Oh asante kwa kunisahihisha mkuu🤝Mboma ni Mmalila sio Msafwa.
Huku kwenye green kuna jamaa yangu alipiga pesa mwaka juzi n bdo yuko njema,anaitwa kidoleNjoo huku ruangwa tupige kazi
Njoo kwenye tanzanite tajiri akipata bilioni zake wachimbaji kushika 50m mpka 500m kitu cha kawaida...angalia mshindo wa laizer hakuna mtu huko kwenye dhahabu atashika hizo pesa labda yesu arudiDhahabu ina raha yake ukiipatia
Haya mambo nayatamani mno ila naona inatakiwa msuli sanaHuku kwenye green kuna jamaa yangu alipiga pesa mwaka juzi n bdo yuko njema,anaitwa kidole
Kabasi ila ukikuta mwenye mgodi ni mtu anajiweza na eneo la mgodi mikanda haiko mbali ...kupata madini mapemaHaya mambo nayatamani mno ila naona inatakiwa msuli sana
Get Rich or die trying....Kwenye shughuli ya machimbo unabeba zana ya jembe?
Basi hiyo ardhi ni soft sana
Nenda Chunya utaoneshwa sululu zilizopinda baada ya kukutana na hardcore rocks na vijana hawataki kukubali kuwa imeshindikana.
Mtaji mzuri wa kuanzia ni upi chief ?Kwa 25M alidhani atapata nini? 25M kwenye madini is nothing Bora angefuga kuku tu. Tatizo wengi wanadhani uchimbaji is a get rich quick scheme it's absolutely not.
Mtaji mzuri wa kuanzia ni upi chief ?