Maisha ya machimbo ya dhahabu ni zaidi ya jeshi, nilikimbia

Maisha ya machimbo ya dhahabu ni zaidi ya jeshi, nilikimbia

Dhahabu unayong'ara hupitishwa kwenye tanuru la Moto... Hakuna kitu rahisi kwenye utajiri, high risk high return jinsi unavyosacrifice Roho yako kutafuta utajiri siku ukitoboa unakuwa level nyingine kabisa

Kuna kaka mmoja nilikuwa sehem ya geita huko alikuwa akisimulia kaka ake alivyotoka kwenye umasikin na kuwa Tajiri wa kufa mtu, yeye alienda Kongo huko bila vibali nakumbuka Kongo kila hatua Kuna magaidi hawajawahi nyoa ndevu.

Sasa alienda huko na kuingia kwenye sehemu za madini unaambiwa alipofika alikaa sio chini ya miaka mitano kuchimba dhahabu Kwa jembe na nyundo huku wajeda wakija kukagua wenye vubali anajificha kwenye mashimo hata siku Tatu bila kula Wala Maji

Kufupisha tu story alikuja kupata jiwe la dhahabu maana Kuna Mawe wengine asilimia sabini ni dhahabu tupu, akaweka kwenye begi akaanza kukimbia pori Kwa pori kurudi Tanzania tena Kwa mguu alipofika kwenye misitu minene alikutana na makundi ya kigaidi waanza kumfurumusha Kwa risasi jamaa akawa anakimbia zigizaga akakuta mto akajirusha ndo pona yake akaja kuibukia ng'ambo japo mto ulikuwa na mamba wa kutosha alivuka salama.

Siku ya pili hajapata kitu mdomoni yupo na jiwe tu la dhahabu japo hana uhakika mpaka akaipime, bahati akafika ziwa tanganyika akapanda boti Kuja Tanzania alipofika kigoma akapanda gari la geita akaenda soko la madini, wakaisafisha lile jiwe akapata dhahabu kilo tano mzee mzima akaingiziwa mpunga CRDB

saizi ni Tajiri pale geita changanya Mali za Fred vunjabei na sandaland hawamfikii hata robo.

Hakuna jepesi hii Dunia ukitaka kubaki masikini basi endekeza uoga na usisumbue watu kuomba msaada wa pesa huwa mnakera
Oyaa mwanangu Mpwayungu Village
Acha kuleta story za vijiwe vya bodaboda

Utembee misitu ya kongo unaijua wewe

Yani story umesimuliwa
Na aliekusimilia alisimuliwa
Na alisimuliwa na kak yake
 

Attachments

  • PXL_20230629_180450178.MP.jpg
    PXL_20230629_180450178.MP.jpg
    625.9 KB · Views: 26
Dahhh maisha haya.Ila umenikumbusha kisa fulan hivi.Jamaa alienda kuchimba na yeye alitokea town alikuja vizuri yaan kifedha.alichimba kama wiki mbili hivi bila kupata akijitahid anapata 8000 ahhh akaamua kuacha.Na kutangazia umma kuwa ile kazi haifai.jamaa mmoja akamwomba lile shimo aendelee kuchimba mwenye shimo kakubali,ehhh bwana haikupita siku jamaa kangusha mzigo milion mia mbili.sasa ule ugomvi uliwa sio wa inchi hii. na yule jamaa aliye achia shimo.Maisha kaka ni kujifunza si mpaka upate
Duuh hawa hawakuuana kwelii..
 
Dhahabu unayong'ara hupitishwa kwenye tanuru la Moto... Hakuna kitu rahisi kwenye utajiri, high risk high return jinsi unavyosacrifice Roho yako kutafuta utajiri siku ukitoboa unakuwa level nyingine kabisa

Kuna kaka mmoja nilikuwa sehem ya geita huko alikuwa akisimulia kaka ake alivyotoka kwenye umasikin na kuwa Tajiri wa kufa mtu, yeye alienda Kongo huko bila vibali nakumbuka Kongo kila hatua Kuna magaidi hawajawahi nyoa ndevu.

Sasa alienda huko na kuingia kwenye sehemu za madini unaambiwa alipofika alikaa sio chini ya miaka mitano kuchimba dhahabu Kwa jembe na nyundo huku wajeda wakija kukagua wenye vubali anajificha kwenye mashimo hata siku Tatu bila kula Wala Maji

Kufupisha tu story alikuja kupata jiwe la dhahabu maana Kuna Mawe wengine asilimia sabini ni dhahabu tupu, akaweka kwenye begi akaanza kukimbia pori Kwa pori kurudi Tanzania tena Kwa mguu alipofika kwenye misitu minene alikutana na makundi ya kigaidi waanza kumfurumusha Kwa risasi jamaa akawa anakimbia zigizaga akakuta mto akajirusha ndo pona yake akaja kuibukia ng'ambo japo mto ulikuwa na mamba wa kutosha alivuka salama.

Siku ya pili hajapata kitu mdomoni yupo na jiwe tu la dhahabu japo hana uhakika mpaka akaipime, bahati akafika ziwa tanganyika akapanda boti Kuja Tanzania alipofika kigoma akapanda gari la geita akaenda soko la madini, wakaisafisha lile jiwe akapata dhahabu kilo tano mzee mzima akaingiziwa mpunga CRDB

saizi ni Tajiri pale geita changanya Mali za Fred vunjabei na sandaland hawamfikii hata robo.

Hakuna jepesi hii Dunia ukitaka kubaki masikini basi endekeza uoga na usisumbue watu kuomba msaada wa pesa huwa mnakera
Sawa kama unaweza ukawa na ujasiri huo basi Chunya panakufaa.
 
Dhahabu unayong'ara hupitishwa kwenye tanuru la Moto... Hakuna kitu rahisi kwenye utajiri, high risk high return jinsi unavyosacrifice Roho yako kutafuta utajiri siku ukitoboa unakuwa level nyingine kabisa

Kuna kaka mmoja nilikuwa sehem ya geita huko alikuwa akisimulia kaka ake alivyotoka kwenye umasikin na kuwa Tajiri wa kufa mtu, yeye alienda Kongo huko bila vibali nakumbuka Kongo kila hatua Kuna magaidi hawajawahi nyoa ndevu.

Sasa alienda huko na kuingia kwenye sehemu za madini unaambiwa alipofika alikaa sio chini ya miaka mitano kuchimba dhahabu Kwa jembe na nyundo huku wajeda wakija kukagua wenye vubali anajificha kwenye mashimo hata siku Tatu bila kula Wala Maji

Kufupisha tu story alikuja kupata jiwe la dhahabu maana Kuna Mawe wengine asilimia sabini ni dhahabu tupu, akaweka kwenye begi akaanza kukimbia pori Kwa pori kurudi Tanzania tena Kwa mguu alipofika kwenye misitu minene alikutana na makundi ya kigaidi waanza kumfurumusha Kwa risasi jamaa akawa anakimbia zigizaga akakuta mto akajirusha ndo pona yake akaja kuibukia ng'ambo japo mto ulikuwa na mamba wa kutosha alivuka salama.

Siku ya pili hajapata kitu mdomoni yupo na jiwe tu la dhahabu japo hana uhakika mpaka akaipime, bahati akafika ziwa tanganyika akapanda boti Kuja Tanzania alipofika kigoma akapanda gari la geita akaenda soko la madini, wakaisafisha lile jiwe akapata dhahabu kilo tano mzee mzima akaingiziwa mpunga CRDB

saizi ni Tajiri pale geita changanya Mali za Fred vunjabei na sandaland hawamfikii hata robo.

Hakuna jepesi hii Dunia ukitaka kubaki masikini basi endekeza uoga na usisumbue watu kuomba msaada wa pesa huwa mnakera
Wewe naona umeamua kutuletea habari za SISU 😂
 
Billionaire gani huyu analalia tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]pesa ambayo hata Fred vunjabei anaipiga ndani ya mwaka mmoja tu, kweli pesa Zipo mjini tu
Kuna watu wanapesa mbaya hapa hapa Tz nadhani nikisema hivyo unaelewa but they always keep their profile low mkuu. Nenda Chunya wapo huko na hawataki kujulikana hata kidogo😆
 
Mpwayungu Village sio wa kumchukulia seriously analeta story za vijiweni hapa. Ndo huyu huyu kasema 8B ya Mdimi ndogo analeta story zake za kusadikika.

View attachment 2673591
Nyie mnasema ni Tajiri wa madini namm ninavyojua matajiri wa madini hiyo pesa ni ndogo sana hata kukopa hatakopa maana wanaingiza Kwa wiki tu, nenda katoro kaone watoto waliozaliwa 1992 wanachukua mzigo wa kilo tano mpaka kumi wa dhahabu kila siku nahawalingi
 
Unakadiri uwekezaji wa size ya kati kua kiasi gani mkuu?

Mkuu, siwezi kukupa a definite number ila inabidi ujipange maana hakika kuna changamoto si mchezo usiingie kinyonge kama hawa wadundulizaji uchwara wanaojiita wachimbaji. Unakuta hata kabla hujaanza uzalishaji vifaa vinaungua na kuharibika kila siku utatamani upige ukunga. Moreover, inabidi uwekeze sana and I insist sana kupata maarifa na utaalam. Nenda kaongee na wachimbaji wakati kama hao kina Mdimi, Achimwene, Isaya nk uzuri wengi wao wanatoa maarifa bure kabisa bila hiana.
 
Back
Top Bottom