Sex addict
JF-Expert Member
- Feb 21, 2023
- 902
- 1,815
Ras jeff kapita pita huku 😂😂😂Hiyo comment niliandika nikiwa nimelewa mm ni kapuku tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ras jeff kapita pita huku 😂😂😂Hiyo comment niliandika nikiwa nimelewa mm ni kapuku tu.
Tena wawe wa kila kabilaHii ndio point ya msingi mzeeya...magari miatano ya nini? Kuwa na magari matano na ndege basi. Alafu hakikisha sasa vidosho unao kama 20 hivi.
UPUMBAVU WAKO BADO TU HUJATIBIWA?,YAANI KILA KITU WEWE NI UTAAHILA TUHuyu sasa ndiye Sultan anaye stahili kuliliwa anapofariki! Siyo yule Sultan mwingine wa Darissalam aliyewaacha wananchi wake katika dimbwi la umaskini kwa sababu ya ukaidi, ubinafsi, ubaguzi na maamuzi yake ya hovyo!
Halafu kuna kenge eti wanamliliia baada ya kufariki!!
%95 ya wananch wake wana elim ya kiwangi cha rami yaan digree pombe marufk ndani ya brunei kitmoto marufk ukiumw unatbiw bure elim pia ni bureJina lake halisi ni (Sultan Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah ibni Al-Marhum Sultan Haji Omar Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien Sultan and Yang di-Pertuan) wa Brunei taifa lilopo mashariki kusini mwa bara la Asia.
Amekuwa sultan wa 29 wa Brunei yenye mji wake mkuu uitwao Darussalam kwa miaka 52 sasa tangu alipoingia madarakani mwaka 1967 kwa kumrithi baba yake.
Mwaka 1980 alitajwa na gazeti la Forbes kuwa mtu tajiri zaidi duniani akiwa na utajiri wa Dollar Bilioni 12.
Mbali na kuwa Sultan pia ni waziri mkuu wa Brunei, pia ni waziri wa ulinzi, amiri jeshi mkuu, waziri wa fedha, waziri wa mambo ya nje na biashara.
Anamiliki magari mengi zaidi duniani. Kwenye yadi yake Kuna Ferrari 452, Koenigeggs 134, BMWs 209, Jaguars 179, Aston Martin 11, McLaren F1s 11, Lamborghini 21 na Rolls Royals 600. Kwa hivyo pia ana garage kubwa zaidi duniani.
Anamiliki na kukaa kwenye jumba kubwa zaidi duniani lenye ukubwa wa ekari 49, Vyumba vya kulala 1788 na mabafu ya kuogea 257.
Ni msomi wa hali ya juu akijikusanyia jumla ya shahada za awali (bachelor degree) 6, shahada za uzamili (Masters degree) 6 na shahada za uzamivu (PhD) 2.
Ameifanya nchi yake kuwa ya kwanza kwa wananchi kutokulipa kodi. Huduma zote za afya ni bure kwa watu wote. Hazina ya mafuta na utalii ndizo zinalisha nchi nzima.
Anamiliki ndege iliyotengenzwa kwa dhahabu yenye thamani ya pesa za kitanzania Shilingi Bilioni 520. Ndege hiyo ina sebule, vyumba vya kulala na bafu na choo. Yeye mwenyewe ndiye rubani wa ndege hiyo.
Anamiliki viwanda vya kusafisha mafuta zinazomuingizia kiasi cha Dollar 6,000 kila dakika sawa na Shilingi milioni 13 za kitanzania.
View attachment 1751504
Anapitisha dole kabisa mkuu?Kibarua anayemtawaza huyu bwana analipwa dola 4000 kwa dakika.
Lakini keshaweka historia kubwa sana duniani, wewe huenda ukaacha historia ya kuzaa na kushindwa kuwalisha vyema na kuwasomesha!Bado kidogo tu atakufa. Ataacha vyote hivyo.
Mungu havutagi bangi japo wavuta bangi wanamtafsiri kibangi bangi.na pengine akifika kwa baba muumba kichapo kikaendelea 😂 😂 😂
okMungu havutagi bangi japo wavuta bangi wanamtafsiri kibangi bangi.