Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Katika utawala wangu hakuna mkwepa kodi akaishi,, ni bora apoteeWananchi hawalipi kodi!ah wamwache atawale milele tu huyo ndiyo anajua kuongoza
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika utawala wangu hakuna mkwepa kodi akaishi,, ni bora apoteeWananchi hawalipi kodi!ah wamwache atawale milele tu huyo ndiyo anajua kuongoza
Ova
Kweli.Alafu maisha bana ukiwa na kila kitu au pesa nyingi yanaboa trust me I hv been there/nimepitia hiyo hali
Maisha matamu ni ya ku-truggle uumize kichwa upate kile unacho kitaka utaenjoy....Kweli.
Naunga mkono hoja. Maisha yawe na changamoto ndio yanakuwa maisha. Ukiwa na kila kitu unaweza ukaishia kuwa zuzu
HahahaUnaweza kukuta na utajiri woote huo jamaa ana kibamia!!?
manake waswahili wanasema huwezi kupewa vyote
Akitokea kiongozi nchi hiyo akawafanyia mageuz awalipishe kodi watu huko wataliaaMaisha matamu ni ya ku-truggle uumize kichwa upate kile unacho kitaka utaenjoy....
Ndio anae watoto tena mmoja katulia kwelikweli swala tano...ila mwingine kicheche balaa, mlevi anashindaga italia huko na mambo ya mpalange
Ndio ni wamilele kwavile ni Mfalme nchi ni milki yake na akifariki, anarithiwa na mwanawe au mtu wa kwenye family yakesasa huyu akisema mitano tena wananch wanasema milele sheikh 😀😀😀😀😀😀
Ata ukiwa rais na ukafanya hivyo wananchi watakwambia uwe rais mpaka kufaNdio ni wamilele kwavile ni Mfalme nchi ni milki yake na akifariki, anarithiwa na mwanawe au mtu wa kwenye family yake
Daaah!!! AiseeDogo anamiliki dollar billion 20, kama trilioni 46 hivi za kibongo.....
😀😀😀Mali bila wanawake wakustarehe nao ni ujinga tu, anamiliki wanawake wangapi Mkuu?
Utatawala viazi tu na mahindi shambani. 😂😂😂😂Katika utawala wangu hakuna mkwepa kodi akaishi,, ni bora apotee
We nae ni tajiri sioKweli.
Naunga mkono hoja. Maisha yawe na changamoto ndio yanakuwa maisha. Ukiwa na kila kitu unaweza ukaishia kuwa zuzu
Bado upo huko kwenye utajiri mkuuuAlafu maisha bana ukiwa na kila kitu au pesa nyingi yanaboa trust me I hv been there/nimepitia hiyo hali
Hiyo comment niliandika nikiwa nimelewa mm ni kapuku tu.Bado upo huko kwenye utajiri mkuuu