kitowowoti
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 756
- 510
Ile habari y'a ngamia natundu LA sndano inamhusuUtofauti wa kifo chake na chako ni kwamba mwamba amekula maisha mazuri tangu enzi na enzi wakati wewe unapigiwa mpaka muumba atakapokuita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile habari y'a ngamia natundu LA sndano inamhusuUtofauti wa kifo chake na chako ni kwamba mwamba amekula maisha mazuri tangu enzi na enzi wakati wewe unapigiwa mpaka muumba atakapokuita.
Na ana mpwa wake ni mchezaji tajiri duniani sema wadau hawamjui,anaitwa Faiq Bolkiah..miaka 22 tu[emoji847]
Koo jina la jiji letu tulitoa huko
Nimeona jina la Dar es SalaamJina lake halisi ni (Sultan Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah ibni Al-Marhum Sultan Haji Omar Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien Sultan and Yang di-Pertuan) wa Brunei taifa lilopo mashariki kusini mwa bara la Asia.
Amekuwa sultan wa 29 wa Brunei yenye mji wake mkuu uitwao Darussalam kwa miaka 52 sasa tangu alipoingia madarakani mwaka 1967 kwa kumrithi baba yake.
Mwaka 1980 alitajwa na gazeti la Forbes kuwa mtu tajiri zaidi duniani akiwa na utajiri wa Dollar Bilioni 12.
Mbali na kuwa Sultan pia ni waziri mkuu wa Brunei, pia ni waziri wa ulinzi, amiri jeshi mkuu, waziri wa fedha, waziri wa mambo ya nje na biashara.
Anamiliki magari mengi zaidi duniani. Kwenye yadi yake Kuna Ferrari 452, Koenigeggs 134, BMWs 209, Jaguars 179, Aston Martin 11, McLaren F1s 11, Lamborghini 21 na Rolls Royals 600. Kwa hivyo pia ana garage kubwa zaidi duniani.
Anamiliki na kukaa kwenye jumba kubwa zaidi duniani lenye ukubwa wa ekari 49, Vyumba vya kulala 1788 na mabafu ya kuogea 257.
Ni msomi wa hali ya juu akijikusanyia jumla ya shahada za awali (bachelor degree) 6, shahada za uzamili (Masters degree) 6 na shahada za uzamivu (PhD) 2.
Ameifanya nchi yake kuwa ya kwanza kwa wananchi kutokulipa kodi. Huduma zote za afya ni bure kwa watu wote. Hazina ya mafuta na utalii ndizo zinalisha nchi nzima.
Anamiliki ndege iliyotengenzwa kwa dhahabu yenye thamani ya pesa za kitanzania Shilingi Bilioni 520. Ndege hiyo ina sebule, vyumba vya kulala na bafu na choo. Yeye mwenyewe ndiye rubani wa ndege hiyo.
Anamiliki viwanda vya kusafisha mafuta zinazomuingizia kiasi cha Dollar 6,000 kila dakika sawa na Shilingi milioni 13 za kitanzania.
View attachment 1751504
Na atazikwa bila hata kuvalishwa chupi!Bado kidogo tu atakufa. Ataacha vyote hivyo.
Ndio maana hukupata,maana ungekufa siku hiyo hiyo😂Aisee ningepata huo utajiri
Kwanza ningegonga ma slay Queen wote daslamu
Pengine nguvu za kiume hafifu,.Hii ndio point ya msingi mzeeya...magari miatano ya nini? Kuwa na magari matano na ndege basi. Alafu hakikisha sasa vidosho unao kama 20 hivi.
angekufa vipi wakati angekuwa anagonga wanawake high class.Ndio maana hukupata,maana ungekufa siku hiyo hiyo😂
hamna kitu kama hicho....kinachochangia upungofu wa nguvu za kiume kwa 80% ni kukosa hela😂😂😂Pengine nguvu za kiume hafifu,.
Hii ndio point ya msingi mzeeya...magari miatano ya nini? Kuwa na magari matano na ndege basi. Alafu hakikisha sasa vidosho unao kama 20 hivi.
High class wana extra vitamins au...?? 🙄angekufa vipi wakati angekuwa anagonga wanawake high class.
Jipe moyooo😜hamna kitu kama hicho....kinachochangia upungofu wa nguvu za kiume kwa 80% ni kukosa hela😂😂😂
sio jipe moyo, huo ndio ukweli maana ukiwa na heala unasasambua warembo kama kina paula....sasa mtoto kama yule ukimuone tuu dushe lenyewe linasimama. hela myt not bring u love and a wife but it certainly will buy u the sexiest lady ur heart desires. mvuto kitu muhimu sana kwenye kugegedana.Jipe moyooo😜
wana nyegesha vilivyo bwana yaani hadi round tano unafika.High class wana extra vitamins au...?? 🙄
na pengine akifika kwa baba muumba kichapo kikaendelea 😂 😂 😂Utofauti wa kifo chake na chako ni kwamba mwamba amekula maisha mazuri tangu enzi na enzi wakati wewe unapigiwa mpaka muumba atakapokuita.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]na pengine akifika kwa baba muumba kichapo kikaendelea [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tungebadilishana maisha.Mimi nikepewa maisha hayo gafla.ntakufa kabla ya mudA.
Na yeye angepewa yangu.hata siku mbili asingefika.