Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana hukupata,maana ungekufa siku hiyo hiyo[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana hukupata,maana ungekufa siku hiyo hiyo[emoji23]
Ddduuhhnh. [emoji134]....... Why!!!??!,[emoji22][emoji22][emoji22]Dogo anamiliki dollar billion 20, kama trilioni 46 hivi za kibongo.....
Ndio utajiri wake.Ddduuhhnh. [emoji134]....... Why!!!??!,[emoji22][emoji22][emoji22]
Yes na more appertiteHigh class wana extra vitamins au...?? 🙄
Wananchi kutolipa kodi peke yake haiwasaidii kitu. alichowafanyia mfalme wa QATAR wananchi wake ni 1) Hawalipi kodi 2)masomo bure, matibabu bure 3) mshahara kila mwezi bila kufanya kazi tena nyumba na usafiri juu yakeJina lake halisi ni (Sultan Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah ibni Al-Marhum Sultan Haji Omar Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien Sultan and Yang di-Pertuan) wa Brunei taifa lilopo mashariki kusini mwa bara la Asia.
Amekuwa sultan wa 29 wa Brunei yenye mji wake mkuu uitwao Darussalam kwa miaka 52 sasa tangu alipoingia madarakani mwaka 1967 kwa kumrithi baba yake.
Mwaka 1980 alitajwa na gazeti la Forbes kuwa mtu tajiri zaidi duniani akiwa na utajiri wa Dollar Bilioni 12.
Mbali na kuwa Sultan pia ni waziri mkuu wa Brunei, pia ni waziri wa ulinzi, amiri jeshi mkuu, waziri wa fedha, waziri wa mambo ya nje na biashara.
Anamiliki magari mengi zaidi duniani. Kwenye yadi yake Kuna Ferrari 452, Koenigeggs 134, BMWs 209, Jaguars 179, Aston Martin 11, McLaren F1s 11, Lamborghini 21 na Rolls Royals 600. Kwa hivyo pia ana garage kubwa zaidi duniani.
Anamiliki na kukaa kwenye jumba kubwa zaidi duniani lenye ukubwa wa ekari 49, Vyumba vya kulala 1788 na mabafu ya kuogea 257.
Ni msomi wa hali ya juu akijikusanyia jumla ya shahada za awali (bachelor degree) 6, shahada za uzamili (Masters degree) 6 na shahada za uzamivu (PhD) 2.
Ameifanya nchi yake kuwa ya kwanza kwa wananchi kutokulipa kodi. Huduma zote za afya ni bure kwa watu wote. Hazina ya mafuta na utalii ndizo zinalisha nchi nzima.
Anamiliki ndege iliyotengenzwa kwa dhahabu yenye thamani ya pesa za kitanzania Shilingi Bilioni 520. Ndege hiyo ina sebule, vyumba vya kulala na bafu na choo. Yeye mwenyewe ndiye rubani wa ndege hiyo.
Anamiliki viwanda vya kusafisha mafuta zinazomuingizia kiasi cha Dollar 6,000 kila dakika sawa na Shilingi milioni 13 za kitanzania.
View attachment 1751504
Fanya unaloweza utafute pesa mkuuHili swala hua linanifikirisha, hapa maisha yananipiga spana then ukifa mbinyo unaanza hapo hapo kaburini.
Ndio anae watoto tena mmoja katulia kwelikweli swala tano...ila mwingine kicheche balaa, mlevi anashindaga italia huko na mambo ya mpalange
Yaani Huyo ndio shujaaWananchi hawalipi kodi!ah wamwache atawale milele tu huyo ndiyo anajua kuongoza
Ova
Nadhani hata 2000 hivi[emoji1787][emoji1787]Mali bila wanawake wakustarehe nao ni ujinga tu, anamiliki wanawake wangapi Mkuu?
Huko Brunei Kama sijakosea si watu karibia wote wameshapatiwa chanjo ya covid-19Jina lake halisi ni (Sultan Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah ibni Al-Marhum Sultan Haji Omar Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien Sultan and Yang di-Pertuan) wa Brunei taifa lilopo mashariki kusini mwa bara la Asia.
Amekuwa sultan wa 29 wa Brunei yenye mji wake mkuu uitwao Darussalam kwa miaka 52 sasa tangu alipoingia madarakani mwaka 1967 kwa kumrithi baba yake.
Mwaka 1980 alitajwa na gazeti la Forbes kuwa mtu tajiri zaidi duniani akiwa na utajiri wa Dollar Bilioni 12.
Mbali na kuwa Sultan pia ni waziri mkuu wa Brunei, pia ni waziri wa ulinzi, amiri jeshi mkuu, waziri wa fedha, waziri wa mambo ya nje na biashara.
Anamiliki magari mengi zaidi duniani. Kwenye yadi yake Kuna Ferrari 452, Koenigeggs 134, BMWs 209, Jaguars 179, Aston Martin 11, McLaren F1s 11, Lamborghini 21 na Rolls Royals 600. Kwa hivyo pia ana garage kubwa zaidi duniani.
Anamiliki na kukaa kwenye jumba kubwa zaidi duniani lenye ukubwa wa ekari 49, Vyumba vya kulala 1788 na mabafu ya kuogea 257.
Ni msomi wa hali ya juu akijikusanyia jumla ya shahada za awali (bachelor degree) 6, shahada za uzamili (Masters degree) 6 na shahada za uzamivu (PhD) 2.
Ameifanya nchi yake kuwa ya kwanza kwa wananchi kutokulipa kodi. Huduma zote za afya ni bure kwa watu wote. Hazina ya mafuta na utalii ndizo zinalisha nchi nzima.
Anamiliki ndege iliyotengenzwa kwa dhahabu yenye thamani ya pesa za kitanzania Shilingi Bilioni 520. Ndege hiyo ina sebule, vyumba vya kulala na bafu na choo. Yeye mwenyewe ndiye rubani wa ndege hiyo.
Anamiliki viwanda vya kusafisha mafuta zinazomuingizia kiasi cha Dollar 6,000 kila dakika sawa na Shilingi milioni 13 za kitanzania.
View attachment 1751504
sasa huyu akisema mitano tena wananch wanasema milele sheikh 😀😀😀😀😀😀Wananchi kutolipa kodi peke yake haiwasaidii kitu. alichowafanyia mfalme wa QATAR wananchi wake ni 1) Hawalipi kodi 2)masomo bure, matibabu bure 3) mshahara kila mwezi bila kufanya kazi tena nyumba na usafiri juu yake
Ni kweli mkuu. Hivi unajua hata baadhi ya viongozi wa Marekani Protokali inaagiza walinzi wao wasizime magari 24/7???ndo mida yake hii na chapat mbili
Nadhani unamsemea mdogo wake, hadi walimkamata na kumnyang'anya baadhi ya mali maana alikua ana kufuru sana.Ana toto lake moja linapenda starehe balaa, linaimport kina kardashian, jlo , mariah carey etc