Wala siyo povu naweka taarifa sahihi. Hiyo taarifa ni ya Kenya nimekuonesha na Source yake. Hapa tunaenda kwa facts.
When you cheat, I correct it.
Twende this is the City of Nairobi
View attachment 500717
Wala siyo povu naweka taarifa sahihi. Hiyo taarifa ni ya Kenya nimekuonesha na Source yake. Hapa tunaenda kwa facts.
When you cheat, I correct it.
Twende this is the City of Nairobi
View attachment 500717
Tunao hapa kinondoni wanafanya kazi za kifala kabisa wameanzisha workshop yao ya kuchomelea, ila jamaa wanapiga kazi ile mbaya inavyoonyesha wametoka kwenye shidaNdio maana Wakenya wakijaga Tanzania hawataki kurudi kwao aiseee.
Utawasikia wanalalamika Tanzania life gumu sana pesa hakuna lakini hawarudi kwao hata kwa mtutu wa bunduki.
Kwikwikwikwi. Sasa mafuriko ya NairobiThe floating town that is Darislum
View attachment 500711
View attachment 500713
View attachment 500714
WEWE HUJAJIBU SWALI.. MBONA UNAHEPA HIVO... NYAMA YA BINADAMU INAONJA AJE??
Kwikwikwikwi. Sasa mafuriko ya Nairobi
Dandora Nairobi Kenya
List of Slums in Nairobi
Baba Ndogo
Dandora
Fuata Nyayo
Gatwekera
Huruma
Kambi Muru
Kangemi
Kawangware
Kiambiu
Kianda
Kibera (Kibera has been described as the largest slum in Kenya)
Kichinjio
Kisumu Ndogo
Korogocho
Laini Saba
Lindi
Majengo, Nairobi
Makina
Makongeni
Mashimoni
Matopeni
Mathare
Mathare Valley
Mugumoini
Mukuru kwa Njenga
Mukuru slums
Nyalenda
Pumwani
Raila
Sarang'ombe
Shilanga
Siranga
Soweto East
Soweto West
Ziwa la Ng'ombe
Tatizo lako unaleta taarifa za uongo
Nilienda Mombasa wakati wa Pasaka. Eneo la Bamburi Bia Za KBL ni Ksh 180 hadi 200 Sawa na Tsh 3960 - 4400: Mbuzi Choma au kukaanga kilo Ksh 700 same na kuku broiler Sawa na Tshs 15400. Matatu trip 50 Bob sawa na aTsh 1100/=. Wenzetu wana hali mbaya.
Tatizo lako unaleta taarifa za uongo
Hii picha
A Nigerian child squats by an open sewer in the neighbourhood of Isale-Eko in central Lagos, April 14, 2007. REUTERS/Finbarr O'Reilly
Source yake ni hapa:
Better sanitation has huge economic spin-offs: U.N.
Lea taarifa za ukweli zinazohusu Tanzania. Kama umekosa Taarifa za uhakika kaa kimya mimi naleta taarifa za kutoka kenya.
Wewe unaleta taarifa za uongo. Hii hapa siyo ya Tanzania ni ya KenyaTHE DRUG CAPITAL OF THE WORLD DAR IS SLUM
View attachment 500716
EVERYBODY USES....
View attachment 500718
View attachment 500719
HIVI HUYU NI WEWE??Wewe unaleta taarifa za uongo. Hii hapa siyo ya Tanzania ni ya Kenya
IV drug users in Kenya. Source: Mia Collis /PBS Newshour
IV Drug Use in East Africa: The Dangers of Reported Flashblood Phenomenon
Hii pia siyo ya Tanzania. Wewe leta infor za TZTHE DRUG CAPITAL OF THE WORLD DAR IS SLUM
View attachment 500716
EVERYBODY USES....
View attachment 500718
View attachment 500719
HIVI HUYU NI WEWE??
View attachment 500729
Huna uwezo wa kutoa taarifa. Zaidi sana unaleta uongo kujaribu kulinganisha TZ na Kenya. Kama kwenu kubaya kubaya tu. Huwezi ukatumia uongo kujifariji.HIVI HUYU NI WEWE??
View attachment 500729
Kweli kabisa kumiliki simu kenya ni kitu cha anasa/starehe.hapo kwenye simu unazojaza vocha mjini na kupiga simu kidogo mtindo huo ulipitwa na wakati..ilikuepo miaka ya 2002