Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Ukiufahamu vizuri wakati ujao utaelewa namna ya kuutumia wakati wako wa sasa kwa sababu wakati hupita kupisha wakati mwingine huku ukiacha alama.
Maisha yako ya baadae kwa zaidi ya asilimia 80% yatandeshwa na kile ulichohifadhi baada ya kutumia na siyo kile ulichopata katika wakati ukiwa na nguvu.
Jifunze kuweka akiba hata kwa kujilazimisha,akiba itakutunzia na kukuondilea aibu yako na pia nitakupa matumaini na hamasa ya kufanya zaidi juu ya kile unachofanya.
Inahitaji kupigana sana na kuvumilia mengi katika wakati uliopo ili kuweka akiba itakayokuwa nguzo yako katika wakati. unapoielekea. Serikali nyingi Duniani zimeitambua nguvu ya akiba nimeweka utaratibu wa mifuko ya huhifadhi ya jamii kwa watumishi wake.
Jizoeze kuweka akiba, hutajuta lucha ya kuona kama ni zoezi gumu. Amua sasa kwa ajili ya wakati wako na wakati wa kizazi vyako.
Maisha yako ya baadae kwa zaidi ya asilimia 80% yatandeshwa na kile ulichohifadhi baada ya kutumia na siyo kile ulichopata katika wakati ukiwa na nguvu.
Jifunze kuweka akiba hata kwa kujilazimisha,akiba itakutunzia na kukuondilea aibu yako na pia nitakupa matumaini na hamasa ya kufanya zaidi juu ya kile unachofanya.
Inahitaji kupigana sana na kuvumilia mengi katika wakati uliopo ili kuweka akiba itakayokuwa nguzo yako katika wakati. unapoielekea. Serikali nyingi Duniani zimeitambua nguvu ya akiba nimeweka utaratibu wa mifuko ya huhifadhi ya jamii kwa watumishi wake.
Jizoeze kuweka akiba, hutajuta lucha ya kuona kama ni zoezi gumu. Amua sasa kwa ajili ya wakati wako na wakati wa kizazi vyako.