Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
- Thread starter
- #21
Wapo waliowekaInawezekana rafiki usijali na usisubiri upate kikubwa jifunze kwa kuanza kidogokidogo...Ninaamini inawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo waliowekaInawezekana rafiki usijali na usisubiri upate kikubwa jifunze kwa kuanza kidogokidogo...Ninaamini inawezekana
SOMO linahitajika zaidiMSAADA NIFUNDISHENI KUWEKA AKIBA
Bahati mbaya wengi wao maeneo yaliishia kuuzwa na warithi baada ya wao kutangulia na kisha kuliwa bataaaa.Katika kuweka akiba kuna
1. Akiba kimiminika ambayo ni pesa
2. Akiba solid ambayo ni kama ardhi, nyumba,
Akiba kimiminika unaweza kuiweka benki na kula faida kila mwaka. Kama pesa ni nyingi.
Ardhi inategemea na sehemu ilipo. Wale waliowekeza Kariakoo miaka ya 1960-1970-1980 sasa hivi wanakula kivulini. Mchanga wa Kariakoo umekuwa dhahabu.
bila shaka mi na wewe ni baba 1 mama 1 hatujuani tuu.Sija ajira tokea march. Mpaka sasa Nakula Akiba Na nimejifunza pia kutokutegemea tu Ajira
Mkuu nadhani wewe ni mmoja wa wale watu wanaosinziaga mdomo wazi kwenye mabasi na daladala alafu ukiamka unadakia tu mada bila kujua undani wake.Mkuu kununua VIWANJA vingi pasipo kuviendeleza nalo nitatizo. Kama una VIWANJA na bado unalala njaa Ni tatizo kubwa. Wewe NI sawa na mmasai ana n'gombe 2500. Lakini analala kwenye tembe,
Hiyo yote Ni sababu HUJUI unahitaji Nini ufanye Nini Ila unaiga maisha ya watu wengine.
[emoji28][emoji28][emoji28]Kuna wale wazee waliopata pensheni milioni 90 au milioni 60 then wakazila zote na watoto wazuri na pombe kwa sana huku wake zao wakilalamika...ndani ya miezi 4 hivi zimeisha tayar.....sasa hv wana stress za kijeneza jeneza......
Hati inasaidia kuepusha kuvamiwa? Naomba nieleweshe hapaIla pia nakushauri hayo mashamba usiishie tu kuyanunua bali uyapime upate hati kabisa na kuyaendeleza ili kuepusha uvamizi au kunyang'anywa na serikali.
Jirani akivuka mpaka wake na kuingia hadi kwenye shamba lako si ni kuvamiwa huko? Au aliyekuuzia akimuuzia tena mtu mwingine. Ukiwa na hati itakulinda kisheria.Hati inasaidia kuepusha kuvamiwa? Naomba nieleweshe hapa
Ok mkuu ThanxJirani akivuka mpaka wake na kuingia hadi kwenye shamba lako si ni kuvamiwa huko? Au aliyekuuzia akimuuzia tena mtu mwingine. Ukiwa na hati itakulinda kisheria.
Uko kama mimi[emoji28][emoji28][emoji1787]Me nkiwa na ela asee nawashwa balaa mpaka ziishe hata usingiz cpat jaman dah ila n kumtanguliza Mungu mbele
Laki tatu (Laki 3).Watumishi wa Tanzania watawezaje kuweka akiba wakati hiyo mishahara yao inatumika muda wa siku kumi?Fikiria mtu anapata laki 300000 kwa mwezi hivi mtoa mada umewaza kwa upande upi ?Au upo TANAPA