Maisha ya mtu ya baadaye huendeshwa na akiba

Bahati mbaya wengi wao maeneo yaliishia kuuzwa na warithi baada ya wao kutangulia na kisha kuliwa bataaaa.

Hata hivyo haikuwa kosa,walifanya vyema sana.
 
Mkuu nadhani wewe ni mmoja wa wale watu wanaosinziaga mdomo wazi kwenye mabasi na daladala alafu ukiamka unadakia tu mada bila kujua undani wake.

Hapo mimi nimezungumzia kununua mashamba na wala sio mapori kama ulivyoelewa wewe.

Pori likiendelezwa ndio linakuwa shamba na mimi namiliki mashamba.

Hilo swala la kulala njaa lisikuumize kichwa ni lugha ya picha hiyo.
 
Kuna wale wazee waliopata pensheni milioni 90 au milioni 60 then wakazila zote na watoto wazuri na pombe kwa sana huku wake zao wakilalamika...ndani ya miezi 4 hivi zimeisha tayar.....sasa hv wana stress za kijeneza jeneza......
 
Watumishi wa Tanzania watawezaje kuweka akiba wakati hiyo mishahara yao inatumika muda wa siku kumi?Fikiria mtu anapata laki 300000 kwa mwezi hivi mtoa mada umewaza kwa upande upi ?Au upo TANAPA
 
Uanalipwa laki 3 kwa mwez una mke na watoto wa3 na wategemez wengne wa3...kwa siku milo mi 3...hapo akibak itoke wapi?? Umeme,maji,vocha,tv unadaiwa kila mwez
 
Kuna wale wazee waliopata pensheni milioni 90 au milioni 60 then wakazila zote na watoto wazuri na pombe kwa sana huku wake zao wakilalamika...ndani ya miezi 4 hivi zimeisha tayar.....sasa hv wana stress za kijeneza jeneza......
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ila pia nakushauri hayo mashamba usiishie tu kuyanunua bali uyapime upate hati kabisa na kuyaendeleza ili kuepusha uvamizi au kunyang'anywa na serikali.
Hati inasaidia kuepusha kuvamiwa? Naomba nieleweshe hapa
 
Me nkiwa na ela asee nawashwa balaa mpaka ziishe hata usingiz cpat jaman dah ila n kumtanguliza Mungu mbele
 
Jirani akivuka mpaka wake na kuingia hadi kwenye shamba lako si ni kuvamiwa huko? Au aliyekuuzia akimuuzia tena mtu mwingine. Ukiwa na hati itakulinda kisheria.
Ok mkuu Thanx

Napenda kujua list ya umuhimu wa kulindwa na hati
 
Watumishi wa Tanzania watawezaje kuweka akiba wakati hiyo mishahara yao inatumika muda wa siku kumi?Fikiria mtu anapata laki 300000 kwa mwezi hivi mtoa mada umewaza kwa upande upi ?Au upo TANAPA
Laki tatu (Laki 3).
Laki 300000 ni msamiati mpya.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…