Maisha ya mtu ya baadaye huendeshwa na akiba

Naomba msilichukulie hili suala nitakaloandika kidini tafadhali,alichosema mtoa mada ni kweli,ukiangalia kanisa katoliliki ni miongoni mwa makanisa ambayo yana akiba kubwa duniani na ndo maana Lina nguvu kubwa hadi leo na kesho,mimi Sio mkatoliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…